Poland imeshtuka kuingizwa mtegoni na Marekani Vita ya Urusi na Ukraine

Soma tena habari hii vizuri!! Marekani imesema inaepusha kuitumbukiza NATO kwenye vita na URUSI!! Swali: Wakati inaiomba Poland kupeleka ndege zake Ukraine ilikuwa haijui kufanya hivyo ni kuingia vitani na Urusi?? Haya mambo ya mafunzo kwanza hayajawahi kusemwa popote!! Ukraine wenyewe ndio waliomba hizo Mig 29 maana wana uzoefu nazo na pia wao walikuwa nazo lakini zimeshaharibiwa karibuni zote mpaka sasa!! Tuukabili ukweli, Marekani yuko tayari kumtanguliza mwingine lakini yenyewe haiko tayari. Marekani katumia karibuni miaka 20 nchini Afghanistan akipigana na Taliban lakini ameshindwa na kukimbia na Taliban wakakamata nchi!! Huyo ndo leo umtegemee atangulize pua yake kwa Putin-Thubutu!!!!! Katika hili Poland wameivua nguo Marekani, huo ndio ukweli!
Hebu tupe data kabla ya hivi vita Ukraine alikuwa na hizi ndege ngapi na sasa zimebakia ngapi, kwa sababu ni kama upo ndani ya jeshi la Ukraine.
 
Kama anaamini hivyo mbona alikuwa anazishawishi nchi za NATO zipeleke ndege zake huko Ukraine!! Ukumbuke silaha nyingi walizopeleka Ukraine ilikuwa ni kabla ya vita. Vita ilipoanza PUTIN akachora mstari mwingine mwekundu, kuwa atakayesogeza pua mimi na yeye!!

Acha uongo soma habari juzi hapa bbc wamesema silaha zilizotoka west zimefika kiev
Unachotakiwa kujua sio kwamba Nato anamuogopa rusia
Ni wanajaribu kuepusha vita ya 3 ya dunia na wanafanya hivyo kwa kutopeleka majeshi yake tu
Ila silaha zinaenda kama kawaida
 
Zelensky ni Mchokozi asiyenaubavu ndio maana nasema ameharibu uchumi na miundombinu mingine ya nchi yake kwa uzembe wa kufikiria.

Sent from my TECNO KA7O using JamiiForums mobile app
Naona unarudia kitu kilekile umekosa points za kutetea hoja yako
JamiiForums-20459693.jpg
 
Kweli ulaya itafisika kwa kupokea wakimbizi 1M wa ukrain?
Think bro
Nimetoa mfano tu.Sanctions pia. Jana US na UK wamesitisha kununua mafuta na gas Russia. Wao wanategemea kidogo sana ukilinganisha na jinsi EU wanavyotegemea Gas na mafuta kwa Russia. Ujerumani peke yao wanategemea gas ya Russia kwa asilimia 40.Sasa US kawaomba EU nao wafanye the same EU wakiingia mkenge what the next ?Viwanda vitafanya vipi kazi ?Kuna nchi zinategemea gas ya Russia kwa almost asilimia 100.US na UK wana nia mbaya kwa nchi hizi.
 
Lakini Iran imeshamshtukia marekani tayari!! Imesema vikwazo sawa nifungulieni lakini bado nitafanya biashara na Urusi!!!!! Hapo pia Marekani nduki!!!
Ila yule Rais Maduro wa Venezuela yeye bado hajaweka hadharani msimamo wake!!
Nitashangaa sana kama Maduro atawakubalia Marekani!! Huo utakuwa ni ujuha wa hali na usaliti wa hali ya juu dhidi ya Urusi!! Kumbuka bila Urusi Maduro angekuwa ameshaondolewa tayari, kama ilivyo kwa Rais Saad wa Syria!!
Hebu tangalie kwa pamoja: Venezuela ilikuwa na akaunti yake Marekani ambapo walikuwa wanaweka pesa zao za mauzo ya mafuta huko. Marekani ikaamua kutokumtambua Maduro kama Rais halali wa Venezuela, badala yake


Sijui una umri gani na sijui wakati wa vita ya ghuba ambapo mataifa karibuni yote ya magharibi (ukiondoa Ufaransa) yaliishambulia Iraq ya Sadam Hussein kwa kupitia kuwait. Kama unafahamu niambie walichukua siku ngapi miezi mingapi kumshinda Sadam Hussein? Kumbuka walikuwa nchi nyingi zenye nguvu zote huku zikiwa hazijawekewa vikwazo vyovyote lakini zilichukua miezi mingi sana kumwangusha kabisa Sadam Hussein. Sasa kama muungano wa NATO (isipokuwa Ufaransa) walichukuwa miezi lukuki kuishinda kabisa serkali ya Sadam Hussein na bado wakachukua miaka kadhaa wafuasi wa Sadam wakiwa bado wanawasumbua, unadhani ingewezekana kiuhalisia Urusi kushinda kwa siku mbili huku akiwa na vikwazo kila kona!!! Mwilize google marekani alifiwa na askari wangapi huko Iraq na alipoteza ndege ngapi? kisha njoo hapa utoe majibu!!
Wengine ni watoto hata hawaelewi mkuu, kuna vita ya siku mbili au labda pambano la Evander na Tyson?
 
Mtu yeyote anayeshabikia huu ujinga na kum support Qumer putin namuona ni kijana mdogo anayekaa sebuleni kwa shemeji yake.

Kisha pia namuona ni msssssenge tu anayepumuliwa na ku earn kipata.

Kama ujajitafutiaga hata senti moja tu ya kula utagundua jinsi gani dunia haihitaji vita.
Puta relax
 
Kulikuwa na suala la kupata ndege za kivita ili kupeleka Ukraine zikasaidie kupambana na Marekani. Nchi zote zikaingia baridi, halafu Marekani ikasema inafanya majadilioano na Poland ili ikubali kupeleka ndege zake Ukraine. Poland hakutaka kumkatisha tamaa Marekani, ila ikamwambia kuwa haiwezi kuzipeleka moja kwa moja Ukraine kutokea Poland isije ijikuta kwenye midomo ya Putin.

Ila Poland ikasema nitazipeleka hizo ndege na kuzikabidhi kwa Marekani kwenye kambi ya Marekani iliyoko Ujerumani TENA BILA GHARAMA! Halafu Marekani kama ina ubavu huo ndio izipeleke hizo ndege huko Ukraine!

Marekani kuona hivyo ikaruka kimanga!! Tuambizane ukweli, hakuna mwenye ubavu wa kujitumbukiza kwenye midomo ya Putin. Ikasema SIWEZI KUFANYA HIVYO!!

Sasa najiuliza, wakati Marekani inaiambia Poland (mwanachama wa NATO) kuwa ipeleke ndege zake Ukraine haikuwa inajua kuwa itaziingia nchi za NATO kwenye vita na Urusi? Ila kwa sasa Marekani ilipoambiwa yenyewe ndiyo izipeleke ndo inajua kuwa itaziingiza NATO vitani na Urusi??

Mchezo uko hivi: Putin aliipigia simu Poland kuitonya kuwa usijaribu kuleta ndege zako Ukraine, iambie Marekani kama ina ubavu izilete yenyewe!! Ona hapa!

A plan under which the US would transfer Polish-owned planes to Ukraine risks dragging NATO directly into a military conflict between Kiev and Moscow, the Pentagon said, as it seemingly rejected a deal earlier proposed by Warsaw.

On Tuesday, Poland announced that it was ready to deploy “immediately and free of charge” its fleet of MiG-29 jets to a NATO base in Germany and hand them over to the US military.

Marekani kwa suala hili imepata aibu sana!! Ni sawa na baba mtu aliposikia kuna sauti ya hatua za mtu akitembea kuzunguka nyumba yake usiku halafu akamtuma mtoto atoke nje kwenda kuangalia ni kitu gani. Mtoto akamjibu baba kuwa hawezi maana anaogopa, ila ataenda kufungua mlango ili baba mwenyewe atoke nje!!

Baba kuambiwa hivyo akasema, "mwanangu kutoka nje usiku ni hatari sana kwa maisha yetu wote hapa nyumbani". Sasa mtoto atabaki akijiuliza hii hatari ameijua saa ngapi? wakati ananiambia mimi nitoke hakuwa anajua hatari hiyo?

Kumtegemea baba wa hivyo yatakukuta yaliyomkuta Rais Zelensky wa Ukraine, alivimbishwa kichwa kwa kuahidiwa kujiunga na NATO na kupewa vimsaada vya kijeshi ambavyo mpaka sasa vimeshasambaratishwa!
Kinachoenda kutokea ni Irán na North Korea kuota mapembe na kujikuta wana kauli nzitonzito,

Iran, sidhani kama itataka kutumia mwanya huo kufanya ujinga, atakachofanya atafanya upya negotiation na marekani ili aruhusiwe kuzalisha umeme wa nyuklia (sio mabomu, ni umeme) sidhani kama mabomu ana faida nayo ama anayataka sana ni wazi irán inataka raia wake waishi kwa amani kwenye nchi yao, ila huu mwanya uliopo itasaidia kumpa irán nguvu kidogo na kumtoa unyonge kwenye negotiations

North Korea, ni wazi yule rais wao ni chizi, kashaanza majaribio ya makombora ni wazi mwanya huu atautumia kufanyia majaribio hayo ya kutishia amani, badala ya kuutumia kwa faida ya wananchi wake
 
Kuirudisha Ukraine ilivyokuwa awali itahitaji miaka 30-50 wakati Russia alijarushwa hata jiwe. Mwisho wa siku Russia atapiga hiyo nchi nzima na wataenda Moscow kupiga goti.
hiv kwa nn na ukraen asipewe kombora moja hatari alirushe moscow iwe ngoma droo?
 
Nimetoa mfano tu.Sanctions pia. Jana US na UK wamesitisha kununua mafuta na gas Russia. Wao wanategemea kidogo sana ukilinganisha na jinsi EU wanavyotegemea Gas na mafuta kwa Russia. Ujerumani peke yao wanategemea gas ya Russia kwa asilimia 40.Sasa US kawaomba EU nao wafanye the same EU wakiingia mkenge what the next ?Viwanda vitafanya vipi kazi ?Kuna nchi zinategemea gas ya Russia kwa almost asilimia 100.US na UK wana nia mbaya kwa nchi hizi.

Kwa EU hawawezi kufanya maamuzi hayo kwa haraka hivyo
So they need time ila by the end of 2022 wamesema watapunguza utegemeezi wao kwa mafuta na gasi za russia
 
Mtu yeyote anayeshabikia huu ujinga na kum support Qumer putin namuona ni kijana mdogo anayekaa sebuleni kwa shemeji yake.

Kisha pia namuona ni msssssenge tu anayepumuliwa na ku earn kipata.

Kama ujajitafutiaga hata senti moja tu ya kula utagundua jinsi gani dunia haihitaji vita.
Dunia inahitaji vita, kwa uoga ulionao wewe ni rahisi sana kubakwa kisa umekutana na mtu kashika kisu.
Dunia inahitaji balance of power, na ili iwepo lazima vita iwepo. Acha ujinga na ufala
 
Ulitaka aongoze nchi kwa kufuata maelekezo kutoka Moscow, kichwa maji ni Putin anayeharibu uchumi wa nchi yake huku akigharimu maisha ya Askari wake. Zelensky kavamiwa ulitaka asitetee nchi yake?!
We usiye kichwa maji uliwahi kupigana vita gani hasa tangu dunia iumbwe

Unajizima data kutojua Putin alishapigana WW2 na hakupatwa na madhara yoyote hadi apigane tena vita hii

Wamarekani wa Mwabepande bhana
 
Unaweza kuwa mmoja wa vijana wajinga zaidi hapa. Wtf is mstari mwekundu. Yeyote atakayeshinda vita kiuchumi atafaidikaje? Nazidi kuamini unaishi kwa shemejiako

Alaf kingine wanachoshindwa kuelewa ni kua marekani hana interest na hii vita coz haina maslai kwake na wala ucrain sio mshirika wao

Kusema Marekani inamuogopa Russia sio kweli kwasababu Marekani inamzidi kila kitu russia

Budget ya jeshi la russia ni USD 48 Billion
While Marekani ni USD 686 Billion

Kwa kuangalia tu hata hiyo tofauti kweli marekani inamuogopa russia hapo bado ujaweka washirika wake
 
Lakini Iran imeshamshtukia marekani tayari!! Imesema vikwazo sawa nifungulieni lakini bado nitafanya biashara na Urusi!!!!! Hapo pia Marekani nduki!!!
Ila yule Rais Maduro wa Venezuela yeye bado hajaweka hadharani msimamo wake!!
Nitashangaa sana kama Maduro atawakubalia Marekani!! Huo utakuwa ni ujuha wa hali na usaliti wa hali ya juu dhidi ya Urusi!! Kumbuka bila Urusi Maduro angekuwa ameshaondolewa tayari, kama ilivyo kwa Rais Saad wa Syria!!
Hebu tangalie kwa pamoja: Venezuela ilikuwa na akaunti yake Marekani ambapo walikuwa wanaweka pesa zao za mauzo ya mafuta huko. Marekani ikaamua kutokumtambua Maduro kama Rais halali wa Venezuela, badala yake


Sijui una umri gani na sijui wakati wa vita ya ghuba ambapo mataifa karibuni yote ya magharibi (ukiondoa Ufaransa) yaliishambulia Iraq ya Sadam Hussein kwa kupitia kuwait. Kama unafahamu niambie walichukua siku ngapi miezi mingapi kumshinda Sadam Hussein? Kumbuka walikuwa nchi nyingi zenye nguvu zote huku zikiwa hazijawekewa vikwazo vyovyote lakini zilichukua miezi mingi sana kumwangusha kabisa Sadam Hussein. Sasa kama muungano wa NATO (isipokuwa Ufaransa) walichukuwa miezi lukuki kuishinda kabisa serkali ya Sadam Hussein na bado wakachukua miaka kadhaa wafuasi wa Sadam wakiwa bado wanawasumbua, unadhani ingewezekana kiuhalisia Urusi kushinda kwa siku mbili huku akiwa na vikwazo kila kona!!! Mwilize google marekani alifiwa na askari wangapi huko Iraq na alipoteza ndege ngapi? kisha njoo hapa utoe majibu!!
Achana na wapumbavu wenye mahaba niue wa USA watakupotezea tu muda
 
Mtu yeyote anayeshabikia huu ujinga na kum support Qumer putin namuona ni kijana mdogo anayekaa sebuleni kwa shemeji yake.

Kisha pia namuona ni msssssenge tu anayepumuliwa na ku earn kipata.

Kama ujajitafutiaga hata senti moja tu ya kula utagundua jinsi gani dunia haihitaji vita.
Sio kilamtu anatabia zako. Relax acha watu waweupande wanaopenda wao
 
We usiye kichwa maji uliwahi kupigana vita gani hasa tangu dunia iumbwe u

Unajizima data kutojua Putin alishapigana WW2 na hakupatwa na madhara yoyote hadi apigane tena vita hii

Wamarekani wa Mwabepande bhana
Nilipigana WW2, ulivyo kichwa maji haujui kwamba Kuna watanganyika tulipigana WWII, Pole.
 
Back
Top Bottom