Poland imeshtuka kuingizwa mtegoni na Marekani Vita ya Urusi na Ukraine

Kwa hiyo kwa Ukraine kipigo inachopata Uchumi wake utakuwa mzuri kuliko wa Russia? Uchumi wa Russia unaweza kuinuka kwa haraka kuliko wa Ukraine.
Russia na Ukraine wote wanaathirika kiuchumi, na Ukraine hana namna ya kuepuka hilo make kavamiwa lazima alinde nchi yake, lakin Russia alikuwa na namna ya kutovamia nchi ya watu ili kuepusha mauaji na hasara za kiuchumi
 
Urusi ina zaidi ya elfu 6 na US ina zaidi ya elfu 5 hapo ujaingiza za washirika wake kama canada, UK na EU

Hao wote wanatoshana kumalizana, lakin je inafaida gani kwa US

US hapigani pasipo na maslai
Ukitaka kujua kwanin anaitwa superpower gusa maslai yake
Ujue pia washirika wa urusi kuilaani wapo!! China, India, Pakistan na mzee wa kiduku!!
 
Russia na Ukraine wote wanaathirika kiuchumi, na Ukraine hana namna ya kuepuka hilo make kavamiwa lazima alinde nchi yake, lakin Russia alikuwa na namna ya kutovamia nchi ya watu ili kuepusha mauaji na hasara za kiuchumi
Mkuu Russia angefanyaje wakati alikuwa anajihami na maadui waliokuwa wanaitumia Ukraine kukaribia mipaka yake?
 
Mkuu Russia angefanyaje wakati alikuwa anajihami na maadui waliokuwa wanaitumia Ukraine kukaribia mipaka yake?
Adui wa jirani yako akiwa rafiki yako haruhusiwi kuja kwako? Wewe utakubali rafiki yako asije kwako kisa jirani anapiga bit kuwa ni adui yake?! Na vipi akikuvamia utamwangalia tu?!
 
Adui wa jirani yako akiwa rafiki yako haruhusiwi kuja kwako? Wewe utakubali rafiki yako asije kwako kisa jirani anapiga bit kuwa ni adui yake?! Na vipi akikuvamia utamwangalia tu?!
Hapana Mkuu! Yaani Rafiki yangu wa kweli afanye urafiki na adui yangu na zaidi ya hapo anamfadhiri na kumpa eneo la kufanya mipango ya kunidhuru mimi? Harafu nimemwonya rafiki yangu hakusikia bado anamkaribisha adui yangu! Hapana aise tutazipiga tu.
 
Hapana Mkuu! Yaani Rafiki yangu wa kweli afanye urafiki na adui yangu na zaidi ya hapo anamfadhiri na kumpa eneo la kufanya mipango ya kunidhuru mimi? Harafu nimemwonya rafiki yangu hakusikia bado anamkaribisha adui yangu! Hapana aise tutazipiga tu.
Nimesema rafiki yako ambaye ni adui wa jirani yako.
 
Siioni russia kuwa na nguvu zaidi kivita kama zilivyokuwa propaganda za watu wengi, russia walitegemea kuiangusha ukraine within 2 days, lakini na wao saiv wanavizia kama wanavyoviziwa Kiev, majeshi yao mingi yameuliwa wakiwemo majenerali wao 2, hii ni habari mbaya zaidi kwa Putini plus vikwazo vinaendelea kuwatesa ndio mana putini sasa aidha anatishia nuclear au kuua kwa kutumia kemilai
waulize Us bei ya mafuta ipo vipi sasa? Vita ya uchumi haina mbabe, wanaumia wananchi sio Putin wala Biden.

Pale Ukraine msaada wa silaha na mercenaries kutoka nje ndio unawafanya kua na uhai mpaka sasa, ila mwisho wa siku tutajua maana wakubwa wanapambana kwenye ardhi ya Ukraine. Si umeona Syra ndio itakua Ukraine.
 
Marekani msanii sana.
Kulikuwa na suala la kupata ndege za kivita ili kupeleka Ukraine zikasaidie kupambana na Urusi. Nchi zote zikaingia baridi, halafu Marekani ikasema inafanya majadiliano na Poland ili ikubali kupeleka ndege zake Ukraine. Poland hakutaka kumkatisha tamaa Marekani, ila ikamwambia kuwa haiwezi kuzipeleka moja kwa moja Ukraine kutokea Poland isije ijikuta kwenye midomo ya Putin.

Ila Poland ikasema nitazipeleka hizo ndege na kuzikabidhi kwa Marekani kwenye kambi ya Marekani iliyoko Ujerumani TENA BILA GHARAMA! Halafu Marekani kama ina ubavu huo ndio izipeleke hizo ndege huko Ukraine!

Marekani kuona hivyo ikaruka kimanga!! Tuambizane ukweli, hakuna mwenye ubavu wa kujitumbukiza kwenye midomo ya Putin. Ikasema SIWEZI KUFANYA HIVYO!!

Sasa najiuliza, wakati Marekani inaiambia Poland (mwanachama wa NATO) kuwa ipeleke ndege zake Ukraine haikuwa inajua kuwa itaziingia nchi za NATO kwenye vita na Urusi? Ila kwa sasa Marekani ilipoambiwa yenyewe ndiyo izipeleke ndo inajua kuwa itaziingiza NATO vitani na Urusi??

Mchezo uko hivi: Putin aliipigia simu Poland kuitonya kuwa usijaribu kuleta ndege zako Ukraine, iambie Marekani kama ina ubavu izilete yenyewe!! Ona hapa!

A plan under which the US would transfer Polish-owned planes to Ukraine risks dragging NATO directly into a military conflict between Kiev and Moscow, the Pentagon said, as it seemingly rejected a deal earlier proposed by Warsaw.

On Tuesday, Poland announced that it was ready to deploy “immediately and free of charge” its fleet of MiG-29 jets to a NATO base in Germany and hand them over to the US military.

Marekani kwa suala hili imepata aibu sana!! Ni sawa na baba mtu aliposikia kuna sauti ya hatua za mtu akitembea kuzunguka nyumba yake usiku halafu akamtuma mtoto atoke nje kwenda kuangalia ni kitu gani. Mtoto akamjibu baba kuwa hawezi maana anaogopa, ila ataenda kufungua mlango ili baba mwenyewe atoke nje!!

Baba kuambiwa hivyo akasema, "mwanangu kutoka nje usiku ni hatari sana kwa maisha yetu wote hapa nyumbani". Sasa mtoto atabaki akijiuliza hii hatari ameijua saa ngapi? Wakati ananiambia mimi nitoke hakuwa anajua hatari hiyo?

Kumtegemea baba wa hivyo yatakukuta yaliyomkuta Rais Zelensky wa Ukraine, alivimbishwa kichwa kwa kuahidiwa kujiunga na NATO na kupewa vimsaada vya kijeshi ambavyo mpaka sasa vimeshasambaratishwa!
images%20(14).jpeg
 
Soma tena habari hii vizuri!! Marekani imesema inaepusha kuitumbukiza NATO kwenye vita na URUSI!! Swali: Wakati inaiomba Poland kupeleka ndege zake Ukraine ilikuwa haijui kufanya hivyo ni kuingia vitani na Urusi?? Haya mambo ya mafunzo kwanza hayajawahi kusemwa popote!! Ukraine wenyewe ndio waliomba hizo Mig 29 maana wana uzoefu nazo na pia wao walikuwa nazo lakini zimeshaharibiwa karibuni zote mpaka sasa!! Tuukabili ukweli, Marekani yuko tayari kumtanguliza mwingine lakini yenyewe haiko tayari. Marekani katumia karibuni miaka 20 nchini Afghanistan akipigana na Taliban lakini ameshindwa na kukimbia na Taliban wakakamata nchi!! Huyo ndo leo umtegemee atangulize pua yake kwa Putin-Thubutu!!!!! Katika hili Poland wameivua nguo Marekani, huo ndio ukweli!

Hivi huyu rais wa Poland mbona hamstui menzake muigizaji wa Ukraine kwamba vita hii ni mbaya. Maana jamaa marekani na nato wanapenda kuchuuza wenzao, na Putin hana simile na ajizi ktk hili!!!??
 
Hata marekani wenyewe hawawezi kuthubutu kurusha kombora Moscow.
Kurudha komboro Moscow ni ngumu kutokana na mfumo wa Russia wa S 800 upo very power full sana hata ule wa izrael Dome , lkn piq itasababisha rushia kutembeza pigo kwa ADUI take ambalo litaathiri mpk ulaya ,
 
Kulikuwa na suala la kupata ndege za kivita ili kupeleka Ukraine zikasaidie kupambana na Urusi. Nchi zote zikaingia baridi, halafu Marekani ikasema inafanya majadiliano na Poland ili ikubali kupeleka ndege zake Ukraine. Poland hakutaka kumkatisha tamaa Marekani, ila ikamwambia kuwa haiwezi kuzipeleka moja kwa moja Ukraine kutokea Poland isije ijikuta kwenye midomo ya Putin.

Ila Poland ikasema nitazipeleka hizo ndege na kuzikabidhi kwa Marekani kwenye kambi ya Marekani iliyoko Ujerumani TENA BILA GHARAMA! Halafu Marekani kama ina ubavu huo ndio izipeleke hizo ndege huko Ukraine!

Marekani kuona hivyo ikaruka kimanga!! Tuambizane ukweli, hakuna mwenye ubavu wa kujitumbukiza kwenye midomo ya Putin. Ikasema SIWEZI KUFANYA HIVYO!!

Sasa najiuliza, wakati Marekani inaiambia Poland (mwanachama wa NATO) kuwa ipeleke ndege zake Ukraine haikuwa inajua kuwa itaziingia nchi za NATO kwenye vita na Urusi? Ila kwa sasa Marekani ilipoambiwa yenyewe ndiyo izipeleke ndo inajua kuwa itaziingiza NATO vitani na Urusi??

Mchezo uko hivi: Putin aliipigia simu Poland kuitonya kuwa usijaribu kuleta ndege zako Ukraine, iambie Marekani kama ina ubavu izilete yenyewe!! Ona hapa!

A plan under which the US would transfer Polish-owned planes to Ukraine risks dragging NATO directly into a military conflict between Kiev and Moscow, the Pentagon said, as it seemingly rejected a deal earlier proposed by Warsaw.

On Tuesday, Poland announced that it was ready to deploy “immediately and free of charge” its fleet of MiG-29 jets to a NATO base in Germany and hand them over to the US military.

Marekani kwa suala hili imepata aibu sana!! Ni sawa na baba mtu aliposikia kuna sauti ya hatua za mtu akitembea kuzunguka nyumba yake usiku halafu akamtuma mtoto atoke nje kwenda kuangalia ni kitu gani. Mtoto akamjibu baba kuwa hawezi maana anaogopa, ila ataenda kufungua mlango ili baba mwenyewe atoke nje!!

Baba kuambiwa hivyo akasema, "mwanangu kutoka nje usiku ni hatari sana kwa maisha yetu wote hapa nyumbani". Sasa mtoto atabaki akijiuliza hii hatari ameijua saa ngapi? Wakati ananiambia mimi nitoke hakuwa anajua hatari hiyo?

Kumtegemea baba wa hivyo yatakukuta yaliyomkuta Rais Zelensky wa Ukraine, alivimbishwa kichwa kwa kuahidiwa kujiunga na NATO na kupewa vimsaada vya kijeshi ambavyo mpaka sasa vimeshasambaratishwa!
Story za vijiweni unawapigia wanaume wenye familia
 
Zelensky kichwa maji, ameisambaratisha nchi yake kwa kutafuta sifa za kijinga.

Hata ikitokea Warusi wamerudi nyuma uharibifu uliyofanyika ni mkubwa mno.

Serikali yake itakuwa na jukumu la kujenga tena miundombinu iliyoharibika.

'Nchi imejidumaza'.

Sent from my TECNO KA7O using JamiiForums mobile app
Hicho ndicho ukionacho. Yaani aache kusimamia taifa lake afuate mawazo ya kishoga kama hayo yako?
 
Back
Top Bottom