Poland imeshtuka kuingizwa mtegoni na Marekani Vita ya Urusi na Ukraine

Usikalili, wale kwa Sasa ni marafiki sio maadui, kumbuka Hana adui wala rafiki wa kudumu sera nzuri sana hii.

Lakini Iran imeshamshtukia marekani tayari!! Imesema vikwazo sawa nifungulieni lakini bado nitafanya biashara na Urusi!!!!! Hapo pia Marekani nduki!!!
Ila yule Rais Maduro wa Venezuela yeye bado hajaweka hadharani msimamo wake!!
Nitashangaa sana kama Maduro atawakubalia Marekani!! Huo utakuwa ni ujuha wa hali na usaliti wa hali ya juu dhidi ya Urusi!! Kumbuka bila Urusi Maduro angekuwa ameshaondolewa tayari, kama ilivyo kwa Rais Saad wa Syria!!
Hebu tangalie kwa pamoja: Venezuela ilikuwa na akaunti yake Marekani ambapo walikuwa wanaweka pesa zao za mauzo ya mafuta huko. Marekani ikaamua kutokumtambua Maduro kama Rais halali wa Venezuela, badala yake
Nchi takriban 14 duniani zimepeleka msaada wa silaha za kivita Ukraine, hata Marekani wenyewe wamepeleka matani kwa matani kabla ya vita na sasa vita inaendelea mbona huyo babako Putin hakurespond? Germany pekee wamepeleka Ant-tank 500 na Missles karibu 1000 zaidi, mindege ya kivita kibao Ukraine wamepewa unafkiri iyo vita iliyoko Ukraine ni ya kitoto?

Kwanini hujiulizi kama Russia anatisha kiasi hicho angechukua leo siku ya 14 Kiev bado yuko pembeni pembeni uko anajamba jamba, jana jenerali wao kapigwa chuma.,

Putini amepanik sasa ukimgusa anatishia nuclear mana mbinu zake zimegonga mwamba, alidhani siku 2 zitamtosha kuichukua Kiev

View attachment 2144264

Sijui una umri gani na sijui wakati wa vita ya ghuba ambapo mataifa karibuni yote ya magharibi (ukiondoa Ufaransa) yaliishambulia Iraq ya Sadam Hussein kwa kupitia kuwait. Kama unafahamu niambie walichukua siku ngapi miezi mingapi kumshinda Sadam Hussein? Kumbuka walikuwa nchi nyingi zenye nguvu zote huku zikiwa hazijawekewa vikwazo vyovyote lakini zilichukua miezi mingi sana kumwangusha kabisa Sadam Hussein. Sasa kama muungano wa NATO (isipokuwa Ufaransa) walichukuwa miezi lukuki kuishinda kabisa serkali ya Sadam Hussein na bado wakachukua miaka kadhaa wafuasi wa Sadam wakiwa bado wanawasumbua, unadhani ingewezekana kiuhalisia Urusi kushinda kwa siku mbili huku akiwa na vikwazo kila kona!!! Mwilize google marekani alifiwa na askari wangapi huko Iraq na alipoteza ndege ngapi? kisha njoo hapa utoe majibu!!
 
Lakini Iran imeshamshtukia marekani tayari!! Imesema vikwazo sawa nifungulieni lakini bado nitafanya biashara na Urusi!!!!! Hapo pia Marekani nduki!!!
Ila yule Rais Maduro wa Venezuela yeye bado hajaweka hadharani msimamo wake!!
Nitashangaa sana kama Maduro atawakubalia Marekani!! Huo utakuwa ni ujuha wa hali na usaliti wa hali ya juu dhidi ya Urusi!! Kumbuka bila Urusi Maduro angekuwa ameshaondolewa tayari, kama ilivyo kwa Rais Saad wa Syria!!
Hebu tangalie kwa pamoja: Venezuela ilikuwa na akaunti yake Marekani ambapo walikuwa wanaweka pesa zao za mauzo ya mafuta huko. Marekani ikaamua kutokumtambua Maduro kama Rais halali wa Venezuela, badala yake


Sijui una umri gani na sijui wakati wa vita ya ghuba ambapo mataifa karibuni yote ya magharibi (ukiondoa Ufaransa) yaliishambulia Iraq ya Sadam Hussein kwa kupitia kuwait. Kama unafahamu niambie walichukua siku ngapi miezi mingapi kumshinda Sadam Hussein? Kumbuka walikuwa nchi nyingi zenye nguvu zote huku zikiwa hazijawekewa vikwazo vyovyote lakini zilichukua miezi mingi sana kumwangusha kabisa Sadam Hussein.
Venezuela na Iran wanashida na pesa wala hawanashida na Putin.
 
Lakini Iran imeshamshtukia marekani tayari!! Imesema vikwazo sawa nifungulieni lakini bado nitafanya biashara na Urusi!!!!! Hapo pia Marekani nduki!!!
Ila yule Rais Maduro wa Venezuela yeye bado hajaweka hadharani msimamo wake!!
Nitashangaa sana kama Maduro atawakubalia Marekani!! Huo utakuwa ni ujuha wa hali na usaliti wa hali ya juu dhidi ya Urusi!! Kumbuka bila Urusi Maduro angekuwa ameshaondolewa tayari, kama ilivyo kwa Rais Saad wa Syria!!
Hebu tangalie kwa pamoja: Venezuela ilikuwa na akaunti yake Marekani ambapo walikuwa wanaweka pesa zao za mauzo ya mafuta huko. Marekani ikaamua kutokumtambua Maduro kama Rais halali wa Venezuela, badala yake


Sijui una umri gani na sijui wakati wa vita ya ghuba ambapo mataifa karibuni yote ya magharibi (ukiondoa Ufaransa) yaliishambulia Iraq ya Sadam Hussein kwa kupitia kuwait. Kama unafahamu niambie walichukua siku ngapi miezi mingapi kumshinda Sadam Hussein? Kumbuka walikuwa nchi nyingi zenye nguvu zote huku zikiwa hazijawekewa vikwazo vyovyote lakini zilichukua miezi mingi sana kumwangusha kabisa Sadam Hussein.
Wiki mbili zilitosha Marekani kuishika baghdad under control, sadam alichelewa kushikwa sababu alijificha mapangoni huko, lakini dola ya Iraq iliangushwa not more then 3 weeks
 
Ukitaka aongoze nchi kwa kufuata maelekezo kutoka Moscow, kichwa maji ni Putin anayeharibu uchumi wa nchi yake huku akigharimu maisha ya Askari wake. Zelensky kavamiwa ulitaka asitetee nchi yake?!
Zelensky ni Mchokozi asiyenaubavu ndio maana nasema ameharibu uchumi na miundombinu mingine ya nchi yake kwa uzembe wa kufikiria.

Sent from my TECNO KA7O using JamiiForums mobile app
 
Kulikuwa na suala la kupata ndege za kivita ili kupeleka Ukraine zikasaidie kupambana na Marekani. Nchi zote zikaingia baridi, halafu Marekani ikasema inafanya majadilioano na Poland ili ikubali kupeleka ndege zake Ukraine. Poland hakutaka kumkatisha tamaa Marekani, ila ikamwambia kuwa haiwezi kuzipeleka moja kwa moja Ukraine kutokea Poland isije ijikuta kwenye midomo ya Putin.

Ila Poland ikasema nitazipeleka hizo ndege na kuzikabidhi kwa Marekani kwenye kambi ya Marekani iliyoko Ujerumani TENA BILA GHARAMA! Halafu Marekani kama ina ubavu huo ndio izipeleke hizo ndege huko Ukraine!

Marekani kuona hivyo ikaruka kimanga!! Tuambizane ukweli, hakuna mwenye ubavu wa kujitumbukiza kwenye midomo ya Putin. Ikasema SIWEZI KUFANYA HIVYO!!

Sasa najiuliza, wakati Marekani inaiambia Poland (mwanachama wa NATO) kuwa ipeleke ndege zake Ukraine haikuwa inajua kuwa itaziingia nchi za NATO kwenye vita na Urusi? Ila kwa sasa Marekani ilipoambiwa yenyewe ndiyo izipeleke ndo inajua kuwa itaziingiza NATO vitani na Urusi??

Mchezo uko hivi: Putin aliipigia simu Poland kuitonya kuwa usijaribu kuleta ndege zako Ukraine, iambie Marekani kama ina ubavu izilete yenyewe!! Ona hapa!

A plan under which the US would transfer Polish-owned planes to Ukraine risks dragging NATO directly into a military conflict between Kiev and Moscow, the Pentagon said, as it seemingly rejected a deal earlier proposed by Warsaw.

On Tuesday, Poland announced that it was ready to deploy “immediately and free of charge” its fleet of MiG-29 jets to a NATO base in Germany and hand them over to the US military.

Marekani kwa suala hili imepata aibu sana!! Ni sawa na baba mtu aliposikia kuna sauti ya hatua za mtu akitembea kuzunguka nyumba yake usiku halafu akamtuma mtoto atoke nje kwenda kuangalia ni kitu gani. Mtoto akamjibu baba kuwa hawezi maana anaogopa, ila ataenda kufungua mlango ili baba mwenyewe atoke nje!!

Baba kuambiwa hivyo akasema, "mwanangu kutoka nje usiku ni hatari sana kwa maisha yetu wote hapa nyumbani". Sasa mtoto atabaki akijiuliza hii hatari ameijua saa ngapi? wakati ananiambia mimi nitoke hakuwa anajua hatari hiyo?

Kumtegemea baba wa hivyo yatakukuta yaliyomkuta Rais Zelensky wa Ukraine, alivimbishwa kichwa kwa kuahidiwa kujiunga na NATO na kupewa vimsaada vya kijeshi ambavyo mpaka sasa vimeshasambaratishwa!
Hii habari haijakamilika, NATO na US walikuwa wanampango wa kupeleka ndege vita kuisaidia Ukraine. Kabla hata mashauriano ya ndani hayakakamilika Poland wakasema wako tayari kukabidhi hizi kwa US ili zipelekwe Ukraine kwa sharti la Marekani kupeleka ndege nyingine Poland. Wamarekani wanasita kupeleka hizi ndege kwa sababu kama mbili hivi, kwanza itabidi waipatie Poland ndege nyingine, ila pia US ana wasiwasi hizi ndege zitahitaji mafunzo kwani ni upgraded version lakini pia Ukraine hana total control hivyo zinaweza angushwa na Urusi muda wowote.
Hakuna anayeogopa kupeleka silaha Ukraine ndio maana nchi kama Finland, Ujerumani, Canada, Uingereza zimepeleka silaha bila kuficho.
Marekani wiki hii katoa silaha za kulipua vifaru,makombora ya kuangusha ndege ili kuwapa Ukraine uwezo mzuri wa kukabaliana na vitisho vya Urusi.
 
Hii habari haijakamilika, NATO na US walikuwa wanampango wa kupeleka ndege vita kuisaidia Ukraine. Kabla hata mashauriano ya ndani hayakakamilika Poland wakasema wako tayari kukabidhi hizi kwa US ili zipelekwe Ukraine kwa sharti la Marekani kupeleka ndege nyingine Poland. Wamarekani wanasita kupeleka hizi ndege kwa sababu kama mbili hivi, kwanza itabidi waipatie Poland ndege nyingine, ila pia US ana wasiwasi hizi ndege zitahitaji mafunzo kwani ni upgraded version lakini pia Ukraine hana total control hivyo zinaweza angushwa na Urusi muda wowote.
Hakuna anayeogopa kupeleka silaha Ukraine ndio maana nchi kama Finland, Ujerumani, Canada, Uingereza zimepeleka silaha bila kuficho.
Marekani wiki hii katoa silaha za kulipua vifaru,makombora ya kuangusha ndege ili kuwapa Ukraine uwezo mzuri wa kukabaliana na vitisho vya Urusi.

Soma tena habari hii vizuri!! Marekani imesema inaepusha kuitumbukiza NATO kwenye vita na URUSI!! Swali: Wakati inaiomba Poland kupeleka ndege zake Ukraine ilikuwa haijui kufanya hivyo ni kuingia vitani na Urusi?? Haya mambo ya mafunzo kwanza hayajawahi kusemwa popote!! Ukraine wenyewe ndio waliomba hizo Mig 29 maana wana uzoefu nazo na pia wao walikuwa nazo lakini zimeshaharibiwa karibuni zote mpaka sasa!! Tuukabili ukweli, Marekani yuko tayari kumtanguliza mwingine lakini yenyewe haiko tayari. Marekani katumia karibuni miaka 20 nchini Afghanistan akipigana na Taliban lakini ameshindwa na kukimbia na Taliban wakakamata nchi!! Huyo ndo leo umtegemee atangulize pua yake kwa Putin-Thubutu!!!!! Katika hili Poland wameivua nguo Marekani, huo ndio ukweli!
 
Analysis yako
Nchi takriban 14 duniani zimepeleka msaada wa silaha za kivita Ukraine, hata Marekani wenyewe wamepeleka matani kwa matani kabla ya vita na sasa vita inaendelea mbona huyo babako Putin hakurespond? Germany pekee wamepeleka Ant-tank 500 na Missles karibu 1000 zaidi, mindege ya kivita kibao Ukraine wamepewa unafkiri iyo vita iliyoko Ukraine ni ya kitoto?

Kwanini hujiulizi kama Russia anatisha kiasi hicho angechukua leo siku ya 14 Kiev bado yuko pembeni pembeni uko anajamba jamba, jana jenerali wao kapigwa chuma.,

Putini amepanik sasa ukimgusa anatishia nuclear mana mbinu zake zimegonga mwamba, alidhani siku 2 zitamtosha kuichukua Kiev

View attachment 2144264
mbovu kabisa , kwahiyo unataka putin apige pige hovyo kuuwaa hadi raia? Ingekuwa hivyo kyiev ingepotezwa ndani masaa mawili tuu
 
Pamoja na mambo mengine US haamini kama Ukraine wataweza kuzilinda hizi ndege, mbona silaha nyingine kazipeleka kweupe kabisa?
Kama anaamini hivyo mbona alikuwa anazishawishi nchi za NATO zipeleke ndege zake huko Ukraine!! Ukumbuke silaha nyingi walizopeleka Ukraine ilikuwa ni kabla ya vita. Vita ilipoanza PUTIN akachora mstari mwingine mwekundu, kuwa atakayesogeza pua mimi na yeye!!
 
tunapoandika habari za hii vita tuwe kidogo tunaweka ushabiki pembeni na kujadili kitaalamu..

Poland aliiombwa maana anapakana direct na Ukraine, hivyo kuingiza silaha Ukraine kupitia Poland inakuwa rahisi... Ujerumani na Ukraine kimipaka ni mbingu na ardhi..... kutoa ndege ya kivita Ujerumani unafikiri itapita anga ngapi kufika Ukraine + refueling?.. kwa Poland maana yake unazipeleka kwa train au barabara from anywhere ndio unaingia Ukraine...
 
Chini Putin kama rais wa Urusi Ulaya yote haiko salama, hao Poland, Hungary nk wote hawako salama kama ikitokea Urusi ameikalia Ukraine..

Urusi akili yake ni kuwa na buffer zone dhidi ya maadui zake wa Ulaya Magharibi hasa UK na baba lao USA... ndio maana analazimishi kuzikalia nchi zote za jirani au kuwa na political influence....kwa mtazamo huo hizo nchi nje ya EU, NATO na USA haziwezi kuwa huru na demokrasia waitakayo labda wakubali kuwa upande wa urusi waishi maisha ya kijamaa na kushikiwa akili na Mrusi...
 
Venezuela na Iran wanashida na pesa wala hawanashida na Putin.
Iran keshachomoa tayari!!! Venezuela bado hajaweka msimamo hadharani, ila itashangaza kama ataikumbatia Marekani sasa na Kuitosa Urusi ambayo ndiyo iliyomwezesha kubakia madarakani kwa kumkingia kifua dhidi ya Marekani. Hivi unajua kuwa Marekani waliipokonya Venezuela mabilioni ya dola wakidai hawamtambui kama ni rais wa Venezuela kisha wakaamua kumpa fedha hizo kibaraka wao wakidai ndiyo rais halali wa Venezuela. Inabidi awaambie nendeni mkajadiliane na huyo "rais" wenu wa Venezuela mnayemtambua!! Kisha Uingereza pia waliamua kuipokonya Venezuela tani kadhaa za dhahabu wakidai hawamtambui!! Rais Maduro atakuwa ni juha wa kutisha kama ataiamini Marekani. Vita vikiisha atamgeuka fasta!!!
 
Hapo Putin anajazwa ili aendelee kufirisiwa. Marekani ni mjanja sana, anataka vita isiishe mapema ili mrusi afirisike.

Yaan hawa watu wanawachukulia simple marekani, hapo kuna game zinachezwa tusubirini

Kwa jinsi hii vita ilivyoanza nani wote tuliamini kwa kasi aliyokua nayo mrusi ni zaidi ya wiki mbili lakin hadi leo kashindwa kuichukua kiev

Hapo mimi naona kuna upinzani wa kimkakat na uongo pia ila dhumuni ni kumnyamazisha mrusi

Alaf unafikiri ni kweli poland kumkatalia US wakati wote ni member wa Nato na katiba yao ipo wazi kua ukimgusa mmoja umewagusa wanachama wote
 
Sio Urusi tu.Anataka na Ulaya wafilisike. Ona sasa hivi Ulaya ndo wanahangaika na wakimbizi. Marekani yupo zake mbali huko anakula raha tu.EU lazima waamke sasa. Wasiingie kwenye mtego wa US.

Kweli ulaya itafisika kwa kupokea wakimbizi 1M wa ukrain?
Think bro
 
Kama anaamini hivyo mbona alikuwa anazishawishi nchi za NATO zipeleke ndege zake huko Ukraine!! Ukumbuke silaha nyingi walizopeleka Ukraine ilikuwa ni kabla ya vita. Vita ilipoanza PUTIN akachora mstari mwingine mwekundu, kuwa atakayesogeza pua mimi na yeye!!
US kapeleka silaha wiki hii,hizi za kulipua vifaru na kuangusha ndege ni mzigo mpya. Hata ndege wanaweza tuma ikiwa wana uhakika air defense system ikiwa chini ya control ya Ukraine, siyo unatuma asubuhi afu mchana zimeharibiwa.
Hivi hujiulizi silaha zote wanazotumia Ukraine zinatoka wapi?.
 
I dont care the reasons wanapigana. Huwezi ku justify vita katika enzi hizi.

Mtu yeyote anayeshabikia huu ujinga na kum support Qumer putin namuona ni kijana mdogo anayekaa sebuleni kwa shemeji yake.

Kisha pia namuona ni msssssenge tu anayepumuliwa na ku earn kipata.

Kama ujajitafutiaga hata senti moja tu ya kula utagundua jinsi gani dunia haihitaji vita.
Umekuzwa kwenye malezi machafu sana
 
Nchi takriban 14 duniani zimepeleka msaada wa silaha za kivita Ukraine, hata Marekani wenyewe wamepeleka matani kwa matani kabla ya vita na sasa vita inaendelea mbona huyo babako Putin hakurespond? Germany pekee wamepeleka Ant-tank 500 na Missles karibu 1000 zaidi, mindege ya kivita kibao Ukraine wamepewa unafkiri iyo vita iliyoko Ukraine ni ya kitoto?

Kwanini hujiulizi kama Russia anatisha kiasi hicho angechukua leo siku ya 14 Kiev bado yuko pembeni pembeni uko anajamba jamba, jana jenerali wao kapigwa chuma.,

Putini amepanik sasa ukimgusa anatishia nuclear mana mbinu zake zimegonga mwamba, alidhani siku 2 zitamtosha kuichukua Kiev

View attachment 2144264

Sure! hawa watu hawaelew mleta mada kakurupuka

Almost mbinu zake zinaelekea kufeli pale kakutana na upinzani wenye mipango bila hata Nato kujiingiza zasmi
Huku tukiendelea na sanctions zinaendelea
 
Back
Top Bottom