mfianchi
Platinum Member
- Jul 1, 2009
- 11,855
- 8,253
Angekuwa na huo mkwanja asingekuwa kibarua wa domoKutembea na hela nyingi, tena hela za kibongo milioni gunia, ni ujima.
Mimi natembea kwenye wallet ukichukua kadi moja tu ina $20,000.
Na hiyo ni moja tu. Bado account nyingine.
Natembea na $200 cash za $20 (noti kumi) kwa emergency itakayohitaji cash au manunuzi ya sehemu ambazo hawachukui card, ambazo ni chache sana. Ni rahisi kuambiwa watu hawachukui cash wanachukua card tu kuliko kuambiwa hawachukui card wanachukua hela cash tu.
Hususan kwa sababu watu wanatumia sana mitandao na kadi siku hizi.
Zaidi ya hapo ni ushamba na kujifanya uwe target. Sasa hiyo watoto wa kihuni wakishamjua hivyo wanamfanya target.