Play Gal ( Tina zoa zoa)

Play Gal ( Tina zoa zoa)

Ilipoishia... ...
Baba Latifah alikaa kimya huku
akihema juu, hapo hapo nikavua
kikoti changu nakusingizia joto..
Akiwa bado ananishangaa
nikaanza kuvua vishikizo vya shati
huku kisketi nikikipandisha kwa juu nakuachia mapaja wazi...
'
Endelea...
Kigugumizi kiliendelea kumshika baba Latifah,
"..vipi binti..? Mbona sikuelewi..?"
"..hunielewi..? Mwenzio nasikia joto kweli hapa,
yaani hili joto la Dar balaa kweli.."
Niliendelea kusingizia joto huku nikitoa tabasamu
feki kwa baba Latifah.. "..lakini gari yangu ina A/c si ungeniambia tu
nikuwashie.."
"..dah.. Nilijisahau, lakini nilivyofanya kwani ni
vibaya..?"
Hakunijibu zaidi yakuliwasha gari, niliuwahi
ufunguo kabla hajaondoka nikalizima kisha nikatoa ufunguo wa gari nakumtolea macho baba
Latifah.
"..Samahani kwa kukufanyia hivi ila nakuomba
unisaidie kitu kimoja tu.."
"..eh..! kitu gani hicho..?"
Nikachukuwa pochi yangu nakuchomoa shilingi elfu mbili.
"..samahani sana, unajua mimi ni mtoto wakike
kama walivyo wengine, na hali hii imenitokea
ghafla.."
Baba Latifah alionesha kushtuka huku akihema juu
juu. "..sijakuelewa, unamaanisha nini tena.."
"..nimeingia katika mwezi ghafla (na bleed), na
sijatembea hata na 'pedi' nakuomba ukanichukulie
pale dukani, samahani sana mzee wangu, kwani
hapa nilipo nahisi damu zinanimwagika na
nimeshachafua chu**" Baba Latifah alinielewa, hakuchukuwa pesa yangu,
alichokifanya alishuka kwenye gari nakuelekea
dukani.
Ndani ya muda mchache alikuwa amesharudi huku
mkononi mwake akiwa ameshikilia mfuko.
Alinipa nikaufungua nakutoa 'pedi' moja kisha.. "..samahani tena..?"
"..kwanini..?"
"..siwezi kubadilisha pedi kwani nimechafuka sana,
nahitaji nijisafishe kwanza, pili sijatembea na chu**
ya akiba.."
"..kwa hapo sijui hata nitakusaidiaje binti.." Baba Latifah akiwa bado anajifikiria huku
ananiangalia, na ukizingatia tulikuwa ndani ya gari
lenye vioo vyeusi huku nje giza likiwa
limeshatanda.
Niliivua ile nguo yangu ya ndani kisha nikafungua
kioo nakuitupa kwa nje, lakini muda huo.. "...najitahidi kujizuia lakini mie mtoto wakike tena
niliyeumbwa kwa aibu, nisamehe kwa
kilichonitokea.."
"..hilo tu..! Wala usijari kabisa.."
"..hivi kwa mfano nikawa mke wako wa pili, si
utakubali..?" Nilianza maswali yakumtega baba Latifah kabla
hajaliwasha tena gari..
"...ni kweli hata dini yetu inaruhusu, ila kwa wewe
bado mdogo sana, na wala bado sijalifikiria hilo.."
Nilimwangalia kwa jicho la hasira tena ile ya ghafla
huku nikiubenua mdomo wangu.. "..Ananiona mdogo hee, na leo ataniona mkubwa
sasa.."
Nilijisemea kimya kimya huku nikiuchukuwa
mkono wangu mpaka kifuani mwake nakuanza
kumshika manywele yake ya kifuani bila ruhusa
yake, kitendo cha kukaa kimya bila kuniongelesha chochote kilichochea zaidi hisia zangu
nakuusogeza uso wangu mpaka nikakutana na
uso wake, kisha nikatoa ulimi wangu nakumpa
mate..
Uzalendo ulimshinda baba Latifah nakujisahau
kabisa huku akiuleta mkono wake mpaka kifuani kwake nakuanza kushika shika maziwa yangu..
"..baba Latifah, mie bado binti mdogo tena sana,
najishangaa nimepatwa na hisia ghafla, najua hii
yote inatokana na hii 'bleed'.. Nakuomba uwashe
gari unipeleke kwangu Ilala.."
baba Latifah hakunielewa wala kunijibu chochote, nikamwita tena..
"..baba Latifah, naongea na wewe..?"
Bado alinitazama tu, nilichokifanya, nilivua kabisa
lile shati langu nakubakiwa kifua wazi kilichojaa
maziwa, kisha nikavua nakile kisketi changu
nakubakiwa uchi mule ndani ya gari kwani taa zote za nje na ndani zilikuwa zimezimwa japo alilipaki
maeneo yapale 'subway' posta..
"..mwili wangu umeshakuwa wamoto ghafla,
nakuomba nikuridhishe sasa hivi..
Niliongea kwa kujiamini huku nikikaa juu ya
mapaja ya baba Latifah.. "..utanichafua na damu zako binti, kwanza si una
'bleed' wewe..?" nilicheka kwa muda kisha
nikazibana nywele zangu vizuri nakumjibu..
"..hapana bwana baba Latifah, nilifanya vile
kujiweka sawa tu, si unajua sisi wasichana tukianza
kujihisi hali kama ile tunatakiwa tuwa na 'pedi' karibu.."
"..kwa hiyo unamaanisha hau 'bleed'..?"
"..ndio manake, au kama unabisha washa taa au
lete mkono wako.."
Niliuchukuwa mkono wake kishb nikakiweka
kidole chake sawa nakukidumbukiza mpaka kwenye nanii yangu nakukitoa.."
"..haya umeniamini sasa..?"
Tayari baba Latifah alikuwa kwenye himaya yangu
huku akiwa si mtu wakujiamini amini kwa kile
nilichomfanyia..
Alijikuta akivua nguo zake mwenyewe nakuniweka sawa.
"..unataka tu sex baba Latifah..?"
"..nashindwa kujizuia pliz..!"
"..Lakini si unamke wako nyumbani, acha mie nivae
nguo, ukifika kwako utafanya naye ngono tu.."
Nilimtega baba Latifah kwani nawajua kabisa wanaume, ukishamruhusu hata akushike maziwa,
hiyo hamu atakayokuwa nayo mbona atakulilia
usipompa.
Aliona kama naendelea kumchelewesha,
akaniweka vizuri juu ya mapaja yake.
"..baba Latifah, mwenzio naogopa sana mimba na sina mtoto mpaka sasa, nakuomba urudi pale pale
dukani uliponinunulia 'pedi' ukanunue na
kondomu au unaniamini."
"..mie nakuamini bwana kwanza hapa nilipo ngut
zote zishanilegea na mpaka nivae nguo, siwezi."
"..haya basi, namimi nakuamini, ila iwe siri, mfanyakazi mwenzangu Jerry asijekujua kwani
anamjua mchumba wangu na mie pia nitakutunzia
heshima hutasikia popote.."
Maneno hayo yalizidi kumpa nguvu baba Latifah
nakumfanya anivae nakuanza kufanya naye
ngono kavu kavu bila kutumia kinga huku nikimdhihirishia kuwa mie siye binti mdogo kwa
ukubwa wa sehemu zangu za ndani mpaka viuno
nilivyokuwa namkatikia.
Tulipomaliza cha pili tu, mara tukasikia hodi
ikipigwa kwenye vioo vya gari...
Baba Latifah alionesha kushangaa sana, alinisukuma pembeni kisha akavaa nguo zake
haraka haraka nami nikavaa hivyo hivyo japokuwa
tayari nguo yangu ya ndani nilikuwa nimeshaitupa
nje kabisa..
Ndani ya muda mchache Baba Latifah alinitolea
macho kisha akabonyeza kidude cha kushusha kioo ili kumjua ni nani..
"..ahaa hujambo John.."
"..sijambo shikamoo kaka.."
Nilikuwa nimeshagundua kuwa alikuwa ni John
tena yule niliyempa ukimwi na kwa muda huu
nilibaki ndani ya gari huku Baba Latifah akishuka nakuongea naye..
Nilitega sikio huku nikiwasikiliza kwa mbaali..
"..vipi unafanyaje huku John.."
"..bro nilikuja mara moja na rafiki yangu
tunayesoma naye hapo 'Ifm' lakini nimeshaachana
naye baada ya kuona gari lako umepaki maeneo haya vipi bro Jerry anaendeleaje..?"
John alizidisha story na Baba Latifah hadi woga
ukaniingia nakuona hapa kama nitaendelea
kuwasikiliza hawachelewi kuingia ndani ya gari
tukaondoka wote na nitakuwa nimeshaumbuka.
Nilichokifanya niliiacha ile zawadi ya Jerry 'khanga' kisha nikavishika viatu vyangu mikononi
nakufungua mlango wa pili yake taaaratibu
nikinyata huku nikiwaacha wakiendelea na
maongezi..
"..watajuana tu ndo nimeshawaachia, mie ndio Tina
sifi na mmoja na mwaka huu hata nikifa nahakikisha ukoo wao wote unanifuata kaburini.."
Niliendelea kujisemea mwenyewe huku nikikatiza
mitaa ya posta nakwenda mpaka 'cbe' kwa mguu
kwani hakukuwa mbali.
Nikiwa bado nipo njiani huku nimeshavalia viatu
vyangu japokuwa nywele zilikuwa zimenivurugika hilo wala sikulijari mtoto wakike mie, mara ghafla
simu yangu ikaita, nikaitoa kwenye pochi haraka
haraka huku nikiangalia jina. Alikuwa ni John tena
John yule niliyempa ukimwi pale kinondoni kwake,
nikaipokea huku nikiongea kwa sauti ya taaratibu,
"...hallow..!" "..hivi we mwanamke? Umeniambukiza ukimwi
ukaona haitoshi na sasa umeamia kwa kaka yangu
si ndio..?"
"..hiyo ndio salamu, na huyo kaka yako
sikumlazimisa alinifuata mwenyewe hapo
unapopaona.." "..embu ona, ana familia inayomtegemea na hapa
alipo ameniambia alikuwa na mdada hamuoni
humu ndani, nilivyomonesha namba yako ya simu
akapata presha ya ghafla, ona sasa unamuua
pumbavu zako..."
"..wapumbavu ni wewe Jerry na huyo sijui ndo kaka yenu mkubwa sijui ndo baba Latifah, na tena
msubiri kama sijaja kwenye msiba wenu mtakuja
kwenye msiba wangu.."
"..unasemaje..?"
"..kama ulivyosikia.."
"..nilishakwambia na narudia kukwambia ama zangu ama zako nikikushika nahakikisha
nakishona kwa sindano hicho kinanii chako
unachowaambukiza watu wasio na hatia.."
Hasira za ghafla zilinipanda nikaikata ile simu
nakuizima hapo hapo kisha nikaidumbukiza
kwenye kipochi changu nakuendelea na safari yangu yakurudi chuoni..
Nilipofika tu Aisha rafiki yangu alinipokea kwa fujo
zote,
"..niambie Tina wangu wa ukwee..! Ehh vipi tena
shosti mbona leo umepooza hivyo..?"
"..hamna wala hata sijisikii chochote, nimeamua tu niwe mpole, kwani hupendi..?"
"..hee..? Makubwa, haya ndio ujiandae hivyo leo
tunaenda muziki, tena nipo na shemeji yako
ambaye hata humjui.."
Nilibaki namtolea tu Aisha macho akiendelea
kuongea kwani yote yalikuwa yanapitia sikio la huku nakutokea upande wa pili..
"..jamani Tina, si ujiandae twende wote na hivi leo
'club bills' wasichana bure.."
"..Aisha..? Tungeenda ila akili yangu haiko sawa
kabisa, ila kama utakubali nipumzike kama nusu
saa ndio twende sawa tutaenda.." Aisha alinielewa, kwa uchovu nakulegea kwa
mawazo yalionitawala kichwani mwangu nililala
hivyo hivyo na nguo nilizokuwa nazo bila hata
yakwenda kujisafisha..
Baada ya kama lisaa zima niliamshwa na rafiki
yangu Lucy.. "..jamani bado nina usingizi mbona tunakatishana,
haya huyo Aisha yuko wapi..?"
"...yupo nje anaongea na bwana wake, na
amenipigia simu nikuamshe ujiandae kisha
tumfuate mpaka alipo huko nje.."
Kwa jinsi nilivyonapenda starehe Tina miimi, haraka haraka niliingia bafuni nakuoga nilipotoka nilivaa
kipensi changu kilichoachia mapaja yote wazi huku
juu nikiwa na kiblauzi kilichoshikilia matiti tu, huku
tumbo lote likiwa wazi nikaongozana na Lucy huku
tukitoka nje..
"..haya we Lucy yuko wapi sasa huyo Aisha..? Na kama ametuachaaa...?"
Niliongea kwa hasira baada ya kutoka nje
nakuwakuta hawapo. Nikampigia Aisha simu..
"..hee Aisha mko kwa wapi..?"
Simu yake ilipokelewa tu lakini haongei zaidi ya
kusikia sauti za mahaba.. Nilikata nikapiga tena kwa mara ya pili
ikapokelewa..
"..Aisha uko wapi, sie tunarudi kubadilisha nguo
bwana..?"
"..angalieni upande wa pili huku kwenye giza giza
karibu na ukuta wa chuo cha 'Dit' kwenye kagiza mtaona gari ya bluu imepaki ndio tulipo.."
Nilikata simu nakumchukuwa Lucy mpaka
lilipopaki hilo gari. Sikuwa naifahamu hata kidogo,
"..Aisha na yeye wachini chini..?"
Nilikuwa naongea na Lucy huku tukilikaribia hilo
gari, ile tunafika tu Aisha akafungua mlango kwa mbwembwe zote huku akimvuta bwana wake
atoke,
Nilimwangalia mara moja tu, uso kwa uso na sura
niliyokuwa naifahamu sikuonesha kutetemeka
wala kuogopa kwa nilichokiona, nilijikaza
nakuongea kwa kujiamini huku nikisita kumpa mkono..
"..John habari yako..?''
Inaendelea…
 
Duuuh!!! asee Tina jasiri sana kama komando kipensii!!..ngoja tuone John atafanya nini baada ya kumuona Tina....am waiting
 
Ilipoishia...
...sura niliyokuwa
naifahamu sikuonesha
kutetemeka wala kuogopa kwa
nilichokiona, nilijikaza nakuongea
kwa kujiamini huku nikisita kumpa
mkono.. "..John habari yako..?"
'
Endelea...
"..Salama tu, na tena bora ulivyojileta mwenyewe
hapa.."
John alibadilika ghafla nakutufanya wote
tuendelee kumshangaa kwani aliinama mpaka
chini ya kiatu chake akavua soksi nakuitoa
'bastola' kisha akaninyooshea.. "...malaya mkubwa wewe tena uliyeniteketeza mie
na ndugu zangu bila hata huruma yeyote.."
Nilikuwa mdogo ghafla huku kijasho chembamba
kilichoambatana na mkojo uliokuwa tayari
unapenyeza ndani yakile kipensi changu..
"..John nisamehe.." "..tena ishia hapo hapo malaya wewe. Unasikia
Aisha wangu, huyu mwenzako ni muuaji tena yule
aliyeshindikana, amemfanyia kitu kibaya sana bro
wangu 'baba Latifah' kwani amemuambukiza
ukimwi kwa makusudi kabisa na hivi
ninavyoongea yupo hospitali hoi kwa presha.." "...ingia? Ingia ndani ya gari kabla hata sijakufyatua
sasa hivi, wewe Aisha asanteni sana kwa kuniletea
huyu mpumbavu na nilishamwambia ama zake
ama zangu na ndio sasa.."
Muda wote nilikuwa bado nikitetemeka vidole
huku meno yakiumana na mwili kunisisimka hadi kuishiwa nguvu..
"..nimekwisha leo Tina mimi.."
Nilijisemea kimoyo moyo huku nikikubali kuingia
ndani ya gari kisha John akatumia mkono mmoja
kuwasha gari na mkono mwingine alikuwa
ameniwekea ile bastola yake kichwani mwangu, Aisha na Lucy muda wote walikuwa bado
wameduwaa huku wakiwa hawajielewi elewi kwa
kile kinachoendelea.
John aligeuza gari nakutoka spidi mpaka
kusikojulikana.
Giza lilitanda sana kwani kama haikuwa saa 5 usiku basi ni saa sita kwani ukimya na uchache wa
magari tuliokuwa tunapishana nayo ndio yalikuwa
yakinipa jibu sahihi.
Ilituchukuwa mwendo mrefu sana mpaka
akasimamisha eneo nililokuwa silijui kisha akapaki
gari yake pembeni nakuanza kutembea kwa miguu huku tukikatiza vichochoro hata sikuwahi
kupita wala kupajua..
"...unanipeleka wapi uku jamani John.."
"...we twende, utapajua nikishatoa hiyo roho yako
isiyo hata nachembe ya huruma.."
Nilianza kuhisi kichwa changu kizito tena kizito kwa kufikiri, nilikuwa na mawazo mgando tena
yale yasiyoelewa elewa nitokapo wala niendapo..
Hatimaye tukafika kwenye jumba moja zuri
lililokuwa na fensi kubwa ya ukuta
iliyozungushiwa zile taa kubwa.
John hata akugonga mlango zaidi yakunivuta mpaka ndani huku mlinzi akitutolea macho,
nadhani yule mlinzi alikuwa anajua kila kitu
kinachoendelea.."..huyu hapa bro.."
Moyo ulinipasuka ghafla baada ya macho yangu
kugongana ana kwa ana na baba Latifah huku
kashika bomba la sindano.. pale pale John alinivua kile kipensi changu na kile
ki blauzi huku nikibakiwa mtupu kama
nilivyozaliwa..
"..chagua moja We malaya.."
Sauti ya ukali ilitokea kwa baba Latifa ambapo kwa
muda huu alikuwa kakunja 'ndita' huku ananitolea macho ya hasira..
"..John embu mfunge kwa kumzungushia kamba
mwili wote hapo kwenye kiti..
John alipomaliza hapo alichukuwa tambala chafu
kisha akanilazimisha liingie mdomoni kwangu na
alipotoa tu nilitapika sana huku nikikohoa nakuomba japo nipatie maji lakini walinikatalia..
Baba Latifah alichukuwa sindano tena ya kushonea
viatu kisha akachukuwa na uzi wake..
"..Leo tunakuziba hicho kidude chako
nanakishona hapa hapa na ole wako ujitingishe..?"
Baba Latifah aliendelea kuongea kwa sauti ya juu nakunifanya woga uendelee kunitanda nakuona
sasa mwisho wangu wa u play gal na maisha kwa
ujumla unaishia hapa.
Nilijua utani lakini ilinibidi kuanza kuamini kwani
tayari John alikuwa ameisogeza bastola yake
karibu na paji langu la uso huku nimezungushiwa kama ya manira, nilikuwa sipewi nafasi hata ya
kuzungumza kwani waliniwekea matambala
mdomoni yaliyopunguza kasi ya kuhema..
Baba Latifah alianza kwa kunishona sehemu zangu
za siri kama washonavyo mafundi viatu ama
cherehani, hakukuwa hata nasindano ya ganzi zaidi yakupata maumivu ambayo sikuwahi kupata
maishani mwangu.
Damu nyingi zilinimwagika, nguvu ziliniisha na
macho yalikosa nguvu kabisa.
hatimaye Baba Latifah akafanikiwa kunishona
sehemu yangu ya siri yote huku akiziba mpaka eneo la kukojolea Tina mie,
John aliponitoa tu lile tambala nilitapika mfululizo
nyongo si nyongo kwani ilikuwa imechanganyika
na mabonge bonge ya damu..
Nikaanza kuhisi fahamu zinanipotea taratibu huku
uwezo wa kufikiri ukipotea nao kabisa, "..najua nitakufa muda si mrefu, nisameheni kwa
yote niliyowatenda.
Niagieni na kwa wazazi wangu.."
Nilijitahidi kutoa sauti lakini ikawa haitoki hivyo
kizungu zungu cha ajabu na ghafla kikanitawala
nakuanguka mpaka chini... Mwili wangu ulikuwa sugu tena sio sugu kwa
maumivu tu bali ulikuwa sugu kwa mateso ya aina
yeyote.
Lakini kitendo cha kudondoka mpaka chini
nakuanza kusikia kizungu zungu huku nikiwaona
baba Latifa wawili wawili vivyo hivyo hata kwa John..
Baada ya muda kimya kikatanda, nikiwa bado nipo
pale chini huku damu yangu mwenyewe ikitawala
kwenye mwili wangu, sauti ilikuwa haitoki,
nilijitahidi japo kuinuka kwani zile kamba
nilizokuwa nimezungushwa nilikuwa nimeshafunguliwa..
Kitendo cha mimi kuinuka nilishindwa nakujikuta
natambaa huku kwa mbaali nikiona ukungu
ukungu kwakuwa macho yangu yalikuwa hayana
tena nguvu ya kuona mbali ila kwa karibu
kidoogo.. Nilitambaa kwa kutumia magoti huku nikitafuta
mlango wakutokea, magoti yote yalikuwa
yamelowa damu zangu mwenyewe, japo niliteleza
nilifanikiwa kufika hadi kwenye mlango uliokuwa
umefungwa ambapo nilianza kukishika kitasa
nakufungua, "...Ooh, why me, why me Tina.."
Mlango ulikuwa umefungwa, nilijaribu kuutikisa
nikahisi kama ufunguo umedondoka chini yangu
hivyo nikainama nakuanza kuutafuta kwa
kupapasa papasa huku nakule huku nikiambulia
kushika damu zangu tu.. Nilijaribu japo kuyapikicha macho yangu ili nipate
nguvu yakuona mbele lakini ikawa ndio kwanza
nimeyaharibu macho yangu kwani zile damu
nilizokuwa nimezishika wakati napapasa chini
kuutafuta ufunguo zote zilikuwa zimeniingia
machoni nakunisababishia muwasho wa ajabu ambao sijawahi kuwasha maishani mwangu,
nilipiga kelele lakini sauti yangu ilikuwa bado
haitoki, nikashika kitu sijui ndio ilikuwa ni kikombe
ama meza ya kioo kwani nilivyokirusha kwa nguvu
nilisikia mlio wa kuvunjika kwa kile kitu..
Napo sikupata msaada hata kusema atokee au asikike baba Latifah au John anipige ama
kunikaripia lakini haikuwa hivyo zaidi yakuendelea
kupata mateso.
"..najua nimekukosea sana tena sana, eeh mungu
wangu niachanishe na mateso haya yaliyonipata.."
Nilijikuta nimeokoka ghafla nakuanza kumuomba Mungu anisamehe..
Nikiwa bado nipo pale chini bila kupata msaada
wowote na nimeshakata tamaa, mara nikahisi
nimekalia kitu kama kichuma chuma, nilianza
kuogopa huku nikikishia nakudhania huenda ni
kati ya kile nilichorusha kikapasuka chini lakini haikuwa hivyo kwani nilikishika vizuri kile kitu
nakusogeza vizuri mpaka machoni kwangu..
Nilisisimka mwili ghafla baada yakugundua kuwa
ule ulikuwa ni ufunguo hivyo nikaaninuka
nakuanza kuupenyeza taratibu kwenye tundu la
mlango nakuanza kuufungua bila ya mafanikio yeyote..
"..Eeh Mungu saidia, saidia.."
Hatimaye mlango ukafunguka lakini nguvu za
kusimama zikaniisha tena hivyo nikaanza
kutambaa nikitoka mpaka nje kabisa.
Giza bado lilikuwa limetanda sana hilo sikulihofia kwani lengo langu nikutoka nje kabisa na hili eneo
la ukatili na mauaji..
Maumivu makali nilianza kuyasikia nilipofika nje
kabisa, ule ubaridi wa nje ndio ulioamsha maumivu
makali kwenye sehemu zangu za siri..
"..unakwenda wapi..?" Ilikuwa ni sauti ngeni kabisa masikioni mwangu
lakini kwa hisia nikajua tu atakuwa yule mlinzi
tuliyempita wakati John ananivua kuingia ndani..
"...naomba msaada wako tafadhali embu nionee
huruma na nilichofanyiwa, ni unyama, unyama
kabisa.." Nilimjibu lakini sauti yangu ikawa bado haitoki
hivyo yule mtu alinifuata nakunibeba kisha nikahisi
kama ananirudisha tena ndani...
"..nitoe nje tafadhali sasa huko unanipeleka
kufanya nini..?"
Nilijitahidi tena kuongea lakini bado Tina mie kutoka sauti haikuwezekana kabisa.
Yule mtu hakunijibu chochote zaidi yakunitupia
kwenye chumba nisichokifahamu kisha nikasikia
sauti ya maji maji yakimwagika hivyo kwa hisia
tena nikajua ni lazima patakuwa ni chooni ama
bafuni.. Nilihisi kama anakojoa kisha akanishika kichwa
changu nakunidumbukizia kwenye tundu la choo
naku 'flash' hapohapo..
Aliponitoa kichwa changu sikuweza tena kuona
mbele masikio yote yakawa yameziba,
Kizungu zungu kikanitawala hapo hapo nakupoteza fahamu hapo hapo...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom