Play Gal ( Tina zoa zoa)

Play Gal ( Tina zoa zoa)

Ilipoishia..

Niliishiwa nguvu nakujikuta nikiurudishia ule
mlango kama nilivyoukuta nakurudi sebuleni, ile
najigeuza tu nirudi zangu nilipotoka mara tena uso
kwa uso na mke wa Steve na safari hii alikuwa
kabadilika kidogo.....
'
Endelea…
Kadri macho yalivyokuwa yanamtoka huyu mke
wa Steve ndivyo mwili wangu ulizidi kunisisimka na
kunyong’onyea, nilijijaza nguvu za kishujaa
nakutoa mkono wangu taaratibu nakuusogeza
mpaka shingoni mwake kisha nikamkaba kwa
nguvu zangu zote. Macho yake yaliendelea kumbadilika na kwa sasa nilijihisi mikono yangu
kama inazidi kuwa laini huku nikihisi kama shingo
yake inakuwa kama tope tope.
“..Mamaaaa…!! Mamaaaa…!!!”
Uzalendo ulinishinda nakujikuta nikitoa sauti ya juu
huku ule mwili wa yule mwanamke ukizidi kupukutika nakuwa kama tope tope, ikafika
kipindi nikashuhudia mwili wake wote
ukimung’unyika mpaka akayeyuka kabisa. Nguvu
sikuwa nazo tena zaidi yakuendelea kukaa pale
pale chini huku nikitumia mikono yangu
kujikokotea mpaka sebuleni kisha nikapumzika. “..amkaaa…?, amkaaa kumekucha..”
Ilikuwa ni sauti ya Steve akiwa kavalia bukta
yakehuku mkononi akiwa kashikilia mswaki.
“..kumekucha, amka ukapige hata mswaki ili
unywe chai..”
Aliendelea kuongea Steve nakunifanya niendelee kumshangaa tu huku nisiamini yale yote
yalionitokea usiku.
“…Steve, wifi yuko wapi…?”
Nilimuuliza kwa makusudi ili nijue kilichotendeka
usiku ule alikuwa ni yeye au nani?
“..Yupo jikoni anapika chai, akimaliza ataleta hapa sebuleni utamuona tu, kwani vipi ulkuwa
unamuhitaji..?”
“..Hapana, nimemuulizia tu kwa maana sijamuona..”
Nilizuga nakuchukuwa mswaki kisha nikatoka
mpaka nje kwenda kupiga mswaki na nilipomaliza
nilijirudia zangu mpaka ndani ambapo tulikunywa chai kisha Steve akaniambia kuwa anaenda
kuomba ruhusa kazini kwake hivyo niwe tayari
atarudi kunichukuwa. Furaha na amani ya ajabu
iliendelea kunitawala ndani ya moyo wangu
japokuwa Steve alipoondoka tu ile amani
ikatoweka tena ghafla. “..Usiku ulikuwa unataka kufanyaje Malaya
wewe..?”
Aliongea mke wa Steve nakunifanya niingiwe na
uwoga huku mwili wangu ukianza kunisisimka.
“..Si naongea na wewe..? Mimi nilijua tu utakuwa
mchawi kweli na nimethibitisha ilo usiku Malaya mkubwa wewe tena Yule wa waume wa watu, na
umekutana na kisiki hapa nimechanjiwa toka
kwetu Kigoma Malaya mkubwa wewe..?”
Aliendelea kuniambia maneno ya ukali yule Mama
na muda wote sikuongea hata neno zaidi ya
kumtizama tu machoni mwake, Alivyoona nazidi kuwa kimya akanisogelea mpaka karibu
nilipokuwa nimeketi nakunishika shingoni
mwangu, hisia kali nilizipata nakufananisha tukio
kama lile la usiku wake alionifanyia. Sikutaka
kuonekana dhaifu tena hata kidogo kwani tayari
nilishaigundua dhamira yake hivyo nilifanikiwa kuvuta kistuli kilichokuwa karibu yangu pale
sebuleni kisha nikamvaa nacho mpaka kichwani
mwake akadondoka chini nakupoteza fahamu
hapo hapo.
“..huwezi kushindana na mtoto wa mjini..”
Nilijisemea kimoyo moyo huku nikimtolea fyonyo la dharau nakuingia mpaka chumbani kwake,
nilikagua kagua mpaka nikafanikiwa kuipata pochi
yake ambapo nilitoa kiasi kidogo cha pesa kama
shilingi elfu ishirini, nikachukuwa nguo zake
kwenye kabati lake la nguo nakuvaa. Ndani ya
muda mchache tayari nilikuwa nipo nje natafuta njia ya kuelekea kufika mpaka pale kituo cha polisi
kwa ajili ya kuonana na Steve. Kumbukumbu za
kufika pale kutuo cha polisi sikuwanazo zaidi ya
kukodi bajaji kisha ikanipeleka mpaka makaburini
pale nilipofumaniwa jana yake asubuhi na
nilipofika maeneo ya pale ilikuwa ni rahisi kupakumbuka kituo cha polisi kwani hakikuwa
mbali na mitaa ile ya makaburini.
“… Za sa hizi jamani…!! Samahanini namuulizia Steve
sijui nimemkuta..?”
“.. Ahaa mkuu Steve, yupo msubiri hapo pembeni..”
Aliongea Polisi mmoja aliyekuwa zamu ambapo hata jana sikumuona na ndio maana hata hana
kumbukumbu na mimi. Nilisubiri kidogo tu na
punde Steve alitoka ndani ya kile kituo mpaka
eneo nililopo.
“..OOoooh, Asia umekuja, mbona nilikuahidi
nitakuja kukuchukuwa nyumbani huko huko…” “..Hapana, nimeona kama nachelewa na mimi
kukaa huku kwenu Bagamoyo naogopa sana
yasije yakanitokea kama ya jana..”
“..Acha imani potofu bwana, hii siyo Bagamoyo ya
wachawi wala wanga kuwa na imani tu, utaishi
vizuri na kwa furaha tu, ennheee niambie vipi mke wangu umemuacha au katoka huko..?”
“.. Mkeo ameniacha hapo mtaa wa juu, kwani
alinisindikiza mpaka mitaa ilee, na hata nguo za
kubadilisha alinipa yeye tena asubuhi
ulivyoondoka, nimempenda sana anajua kuishi na
watu na anaonekana ana huruma..?” “..Ni kweli, mke wangu ni mkarimu sana kwa
wageni, anajua matatizo na shida za watu, naishi
naye vizuri sana tangu nimemuooa..”
Niliguna kimya kimya huku nikimtolea Jicho la
kujificha Steve kisha nikauchukuwa mkono yangu
nakuikutanisha mikono yangu na yake bila woga wowote.
“..Sasa Steve? Si umeshaomba ruksa, nakuomba
unirudishe basi Dar es salaam..?”
“..Hilo tu usijari, ila embu ngoja nimeshasahau kitu
ndani mara moja..”
Steve alirudi tena mpaka ndani ya ofisi, ndani ya muda mfupi akarudi na bahasha mkononi.
“..Sasa inatubidi turudi tena mpaka nyumbani
kwani mke wangu sijamuaga na pia kuna hela
natakiwa nimpelekee ili aende kununua vitu
sokoni kwani aliniambia kuwa vitu vimeisha..”
Nilionesha kukataa lakini Steve hakukubaliana na mimi kabisa hivyo nilipanda tena gari yake nakisha
safari ya kurudi nyumbani kwa Steve ikaanza tena.
Njia nzima nilitetemeka mithili ya mtu ambaye
hajawahi kuoga maji ya baridi na yupo sehemu ya
baridi. Niliogopa sana endapo Steve akijua mchezo
nilioufanya kwa mke wake. Kadri tuliyokuwa tunaenda ndivyo na mimi mapigo yangu yamoyo
yalivyokuwa yakinibadilika na kwenda kasi mno.
Hatimaye ndani ya kama dakika kumi tukawa
tumeshafika nje kwa Steve, tulijikuta wote mimi na
Steve tukitoa macho kwa mshangao tulipofika tu
nje ya nyumba yake kwani tulikutana na umati mdogo wakinamama huku kila mmoja akiwa
amejifunika khanga na kwa mbaali tulisikia vilio
kuashiria kuwa kuna msiba.
“..Ulivyoondoka ulikuacha salama huku..?”
Alinigeukia Steve nakuniuliza kwa ukali huku
amenitolea macho na akitafuta kitu mifukoni mwake..
“..Hao wakinamama ndio nawaona sasa hivi lakini..
Nikiwa bado namuelezea Steve kabla sijamalizia
kuongea mara ghafla simu ya Steve ikaita..”
“..Mkuu uko wapi…?”
“..Ndio naingia kwangu lakini kidogo nahisi hali si nzuri kwani vipi..?”
“..Ni kweli na kabla hujafika ni kwamba kuna binti
amonekana hapo kwako ametoka kwa haraka
sana na inasemekana anahusika na kifo cha mkeo
kwani mashuhuda wamemuona akitoka huku
amechanganyikiwa na hali tuliyomkuta nayo marehemu mkeo ni kapigwa na stuli eneo la
nyuma ya kichwa nakusababisha umauti wake…”
Steve alinigeukia huku akitoa machozi na mishipa
ya shingoni mwake ikimtoka vilivyo, alitoa pingu
nakunifunga mkono mmoja na mwingine
akanifunga kwenye msteringi wa gari yake kisha akatoka nakufunga vioo vyote vilivyokuwa na
tinted kisha akaloki milango yote akaelekea ndani
kwake huku akiniacha peke yangu ndani ya gari..
Bado nilikuwa sijielewi elewi pale ndani ya lile gari,
nilijaribu kuangalia huku na kule lakini haikusaidia
kitu, kila nikilipenyeza jicho langu kupitia kioo cha mbele ya gari ndivyo hasira nazo zilikuwa zikinijaa.
“..Najuta kuja huku Bagamoyo na sitorudia tena
eeeh! Mungu niponye tu…”
Nilibaki naongea peke yangu huku nikijihisi koo
langu limeshikwa na kwikwi na siyo kwikwi ya
hasira tu bali kwikwi ya hasira kali niliyokuwa nayo, kwa sasa macho yangu nilijihisi kama
yanatoa machozi tena yale machozi ya hasira kila
nikiona umati wa wakinamama na wakina baba
ukiongozana kuingia mpaka ndani na wengine
wakipishana kwa kutoka nje. Ndani ya muda
mchache tayari nilishuhudia Steve akiongozana na wenzake kuubeba mwili wa marehemu
nakuupeleka mpaka kwenye gari lilokuwa
pembeni yangu. Akili ilianza kunichemka huku
nikiangalia huku na huku ndani ya gari japo
kuambulia chochote niweze kujinusuru katika
hatari niliyokuwanayo. Ndani ya muda mchache nilifanikiwa kugundua funguo zikiwa
mchanganyio na hata muonekano wake ulionesha
wazi hazikuwa funguo za nyumba bali zilikuwa ni
funguo kama za pingu japo sikuzijua sana,
nilizichukua nakuanza kuzijaribisha moja baada ya
nyingine bila ya mafanikio yoyote. Nikiwa bado nashangaa shangaa kuzikagua zile funguo mara
nikahisi mtu anagonga kwenye dirisha la kioo.
“..nani..? nani…?”
Niliongea kwa sauti bila kusikia chochote, nilijijaza
moyo wa kijasiri nakuendelea kuzitafuta funguo za
kuweza kufungua pingu ambazo zilikuwa zimeshikamana na msteringi wa gari hili la Steve.
Nilijitahidi kuzifungua kwa kutumia mdomo
waangu na meno huku nikifungua kwa nguvu
zote. Sikuweza kufanikiwa kufungua lakini
halmashauri yangu ya kichwa ikafanya kazi fasta
nakuamua nijiweke vizuri nakuliwasha gari kwa kutumia waya kama wafanyavyo wezi wa magari.
Ndani ya muda mchache niliweza kuliwasha gari
hivyo nikalirudisha nyuma nakuondoka kimya
kimya huku nikiamini kwa asilimia zote Steve
atakuja kugundua baadaye sana ambapo tayari
nitakuwa nimeshafika mbali. Kuwepo kwa barabara nyingi na kona kona za hapa na pale
ndicho kilichonisababisha nisielewe njia ya
kutokea kuelekea Dar es salaam. Sikutaka hata
kufungua vioo zaidi ya kuongoza hivyo hivyo tena
nikiwa nimejibana bana mapaja yangu na msteringi
nimeukumbatia huku nikitoka kwa mwendo wa kawaida tu. Sikuweza kufika mbali sana kutokana
na kuchoka kwanza kwa pingu nilizokuwa nazo
na pili sikuielewa haswa barabara ya kuelekea Dar
es salaam. Niliisimamisha gari baada ya kutembe
kwa mwendo kidogo kutoka lile eneo ambalo
alikuwa akiishi Steve na kwa sasa nilikuwa eneo wanaloziba pancha na kutengeneza magari
mabovu, pale pale nikafungua mlango nakumuita
kijana mmoja.
“..Mambo vipi…?”
“..Poa tu Sister vipi pancha nini…?”
“..Hapana, unaniona hapa mkononi, haya fanya ufanyavyo unitoe hizi pingu sasa hivi na kuhusu
pesa wala hata usijali”
“..Kwa hilo tu Sister!, wala usihofu tena nafanya
mwenyewe, vipi utanipa shilingi elfu kumi na
tano..?”
“..kuhusu pesa ondoa shaka..” Yule kijana hakutaka kabisa kuchelewa zaidi ya
kutoka mbio pale nakurudi na spana mbali mbali
ikiwa ni pamoja na msumeno mkubwa. Zoezi la
kama dakika tanotu lilikuwa tosha kwa huyu
kijana kunitoa pingu ambazo zilishikana na
msteringi wa gari. Amani kubwa iliyoambatana na furaha ya ajabu ilianza kuninyemelea ndani na nje
ya mwili wangu nakutamani sana nifike Dar kwa
muda mfupi. Nilitoa ile pochi ambayo niliichukuwa
kwa mke wa Steve nakutoa noti mbili za shilingi
elfu kumi kumi nakumpatia Yule kijana kisha
akanirudishia chenchi nakuondoka zangu huku nikijidai kuulizia duka maeneo ya pale. Vichochoro
viwili vitatu vilinitosha kabisa kutoroka na
kulitelekeza gari la Steve huku nikiulizia sehemu
ambayo ninaweza japo kupata usafiri wa daladala
au hata bajaji.
“..Mpaka stendi shiingi ngapi..?” “..Utanipa buku mbili tu..”
Nilichukuwa pikipiki kisha nikampatia hela ya
kunifikisha mpaka Dar es salaam kabisa kwani
niliamini endapo nitachukuwa daladala itakuwa
rahisi sana kushikwa na Steve au mapolisi
wenzake. Piki piki ilikuwa iko spidi sana, dereva hakutaka hata kidogo kuchelewa , upepo mkali
uliokuwa ukinipuliza njiani, hatimaye tukafika
maeneo ya bunju ambapo kwa bahati mbaya
pikipiki ikaanza kutoa mlio wa ajabu kuashiria
kuwa kuna itilafu ndani yake. Nilimpatia pesa yake
lakini alioneka kuchukizwa na mimi kumpatia hela . Sikumuelewa hata kidogo anachomaanisha hadi
alipovua kofia na miwani ndipo na mimi
nikamgundua.
“…waaat, ooohh kumbe ni weweeeeee, noooo…!
Noooo…! Noooo…?”
“Masikini nimekwisha Tina mimi…!” Niliropoka kwa sauti ya juu baada ya kumgundua
yule mtu kuwa alikuwa ni yule mzee alionifanya
mpaka nikajikuta nimeamkia makaburini tena uchi
wa mnyama kabisa na kwa muda huu kumbe
alikuw ni dereva pikipiki na alionesha kuchukizwa
baada ya kumlipa pesa yake. “..Ulinitoroka na leo ndioleo na unabahati nilikuwa
nakupeleka mpaka kwa wakuu wa mizimu kwa
babu zangu Tegeta shetani mkubwa tena malaya
usiye na hila wewe”
Aliendelea kufoka Yule kijana nakunishika mkono
huku akiiacha pikipiki yake nakuniburuta nilijitahidi japo kugoma lakini nilipata makofi na
ngumi huku akiniburuta kwa nguvu zake zote tena
eneo ambalo hata sikulijua. Kadri alivyokuwa akinivuta ndivyo na mimi
nikaanza kupata nguvu za ajabu huku nikijihisi lile
eneo la usoni ambalo nilichanjwa kipindi kilee
likiniuma sana.
“..Hunijui..? leo ndio utanijua vizuri..”
Nilijikuta naropoka tena kwa ujasiri wa hali ya juu. Sasa nilishindwa kuelewa kuwa ni nguvu za
kichawi alizokwa nazo huyu mzee au la kwani hali
ya hewa ilibadilika ghafla kiasi kwamba nikaanza
kunyeshewa na mvua tena ile mvua ya mawe,
niliendelea kuvutana na Yule mzee japo sikupata
msaada wowote kwani sikuweza kumuona mtu yeyote zaidi ya kuwa sisi wawili tu tukisumbuana.
“..Sema mwenyewe..?, unataka tukuue au ujiunge
na kundi letu..?”
“..niacheni jamani.., mie sitaki choc…”
Kabla sijamalizia tu kuongea nilishangaa napokea
bonge la kibao kutoka kwa mtu ambaye sikumuona lakini sauti tu za watu wengi ndizo
nilizisikia zikinihoji. Mwili wangu kwa sasa ulikuwa
kama sugu kwani hata yale maumivu sikuyasikia
zaidi ya kuhisi tu nimepigwa na mtu nisiyemuona. ******** Maumivu ya kichwa yaliochanganyikana na
uchovu huku upepo ukivuma sana nakujikunyata
kwa kuhisi baridi kali. Kila nikiendelea kutoa
macho nakuliangalia hili eneo bado nilikuwa
sipajui ni sehemu gani japo palikuwa ni kama
jangwa kumbwa lililojaa michanga tupu, akili yangu yote ilikuwa imenivurugika na kusababisha
kumbukumbu zote kunipotea.
“..hapa ni wapi..? Nirudisheni kwetu.., Baba yangu
yuko wapi..?”
Niliuliza kwa sauti ya ukali huku nikimfuata Bibi
mmoja aliyekuwa pembeni yangu na kwa muda huu alionesha kuwa yuko ‘busy’ sana, alikuwa
peke yake tu, nilimsogelea mpaka karibu na kwa
hasira nilizokuwa nazo ukichangia na
kutokujitambua vizuri, nilimshika kitenge chake
alichokuwa amekivaa nakukivuta kwa nguvu
mpaka nikahakikisha amebaki uchi wa mnyama. “..nani aliyenileta huku..? si nakuuliza wewe
kibibi..?”
Alinitolea macho tu bila kunijibu chochote.
“..sasa leo mie nataka mnirudishe kwa wazazi
wangu, wapumbavu sana nyie..?”
Nilijikuta nachota mchanga kwa hasira huku nikimwagia nao Yule Bibi na mwingine nikimlisha
mdomoni, kadri nilivyokuwa nikimtesa huyu Bibi ili
japo anioneshe kwa wazazi wangu ndivyo alikuwa
akibadilika nakuwa kama ule mchanga niliokuwa
nikimwagia. Maskini Tina mimi, nguvu zilianza
kunilegea na ule woga ukaanza kunitanda tena katika lile eneo, mara nikahisi kama kuna umati wa
watu umetanda japo sikuwaona lakini sauti za
watu wakicheka na kujibizana ambao sikuweza
kuwaona ndizo zilikuwa zikichochea hisia zangu
kwa haraka zaidi. KESHO YAKE ASUBUHI “…Tinaaaa…? Tinaaaa weweeee…? Enheee vipi..?
Umekuja saa ngapi shosti..?”
Bado nilitoa macho huku na kule huku nisielewe
elewe kabisa nimefikaje fikaje hapa chuoni CBE,
marafiki zangu walitanda kunishangaa kitandani
mwangu wakiongozwa na rafiki yangu kipenzi Aisha.
“..Shosti kwani vipi ulifiwa nini..? Pole na umekuja
saa ngapi..?”
“..Hapana mbona wala hata sikufiwa jamani kwani
vipi..?”
“..Shosti yani na lijiupara lote hilo bado unatudanganya..? Pole bwana, kwani umefiwa na
mzazi yupi..?”
Niliona kama wananizungua, niliamka pale
kitandani mpaka kwenye kabati langu la vipodozi
ambapo kuna kioo kikubwa nikajiangalia. Mchozi
ulianza kunidondoka taratibu baada yakujigundua nimenyolewa upara huku uso wangu ukiwa na
chanjo chanjo kama kabila lile la wamakonde
kutoka Mtwara. Niliumia sana moyoni nabado
nilikuwa sina kumbukumbu za kutosha ilikuwaje
kuwaje zaidi ya kukumbuka tu nilienda Bagamoyo
na huko nilifanikiwa kumuona Steve halafu akanipa hadi nauli nikarudi zangu Dar..
“..nani aliyenichanja…?, nauliza nyie, nani humu
bwenini amenifanyia hivi..?”
Niliwageukiwa marafiki zangu pale bwenini
nakuwauliza kwa hasira zote nakuwafanya
waanze kuniogopa tena siyo kwa ukali tu bali kwa sura yangu ilivyokuwa inatisha.
“..kuna niliyemchukulia bwana wake humu
ndani...? kwanini mnifanyie hivi..? Aisha rafiki
yangu nani aliyenifanyia mchezo huu, heee..? Na
kwanini mimi tu jamani mnanifanyia hivi..,
nimewafanya nini jamani.., au kwakuwa siingiagi darasani mara kwa mara eeenh..?”
Niliongea kwa jazba huku nikibubujikwa na
machozi, kadri nilivyokuwa nikiongea ndivyo na
umati wa wanafunzi wenzangu kutoka mabweni
mengine ulikuwa ukijaa ndani ya chumba chetu
kuja kunishangaa, hasira zilinizidia zaidi ya pale mpaka nikajikuta nachukuwa nguo zangu kabatini
na nyingine nikizitoa kwenye begi pamoja na viatu
vyangu vyote huku nakuzikusanya pamoja
nakutoka mpaka nje, nikarudi tena mpaka bwenini
tena nakukukusanya vipodozi vyangu vyote
pamoja na kiberiti nakutoka navyo mpaka nje, nakuanza kuvichoma moto kwa hasira kali
niliokuwa nayo.
“..Tinaaa, Tinaa rafiki yetu umekuwaje lakini..?”
“..Niacheni, si ndiyo mlivyotaka mfurahi haya
furahini sasa..?, furahini na mpige na vigele gele
kabisa..?” Walinifuata marafiki zangu mpaka nje nakunizuia
lakini haikusaidia chochote zaidi ya ule moto
kuongezeka kasi huku vipodozi vyangu
vikiendelea kuharibika. Niliuacha ule moto
ukiendelea kuwaka pale nakutoka mpaka dukani
ambapo nilinunua viwembe kama viwili nakurudi tena mpaka bwenini, sikujali makelele ya wanaume
wa hapa chuo tena wale waliokuwa wananifuata
nyuma nyuma nakunicheka huku wengine
wakinizomea. Niliongoza mpaka bwenini na
nilipofika nilifungua vile viwembe nakuanza
kujichanja zaidi ya nilivyoukuwa mwanzo. “..Hapana Tina usifanye hivyoo, usifanye hivyo..?”
“..Embu niacheni, nyie si ndio mmeyataka haya yote
nakunifanya hivi.., niacheni nijimalizie mpendwe
nyinyi, acha niwe mbaya si mlinichanja niwe mbaya
wacha nijiendeleze mwenyewe..?”
Tayari niikuwa kama nusu chizi kwa kuchanganyikiwa, walimu wa chuo walikuja
mpaka bwenini kuingilia kati swala langu,
walinishika lakini nilikuwa na nguvu za ajabu sana,
iliwachukuwa muda mpaka kufanikiwa kunifunga
kamba mikononi.
“..mpelekeni ofisini huyu..?” Nilisikia sauti ya mwalimu mmoja akiwambia
wanafunzi wa kiume wanipeleke mpaka ofisini
kwake, wanafunzi walikuwa ni wengi sana
wakinishangaa kwa jinsi nilivyokuwa nimebadilika
ghafla nakuwa Tina kichaa, kadri walivyokuwa
wananivuta nakunipeleka huko ofisini ndivyo na mimi nguvu zilikuwaa zikiniongezeka mara mbili ya
pale nakujikuta niking’ata zile kamba mkononi
kwa kutumia meno kisha kila mwanafunzi
aliyenisogelea alikuwa akiambulia meno tu, nilikuw
peku kabisa huku zile nguo nilizokuwa nimezivaa
zikawa zimetapakaa damu kidogo, hilo sikulihofia nikakimbia nakuongoza bara bara yakuelekea
Buguruni. Kundi kubwa la wanafunzi
likichanganyikana na watu wa mitaani na walimu
walikuwa nyuma yangu wakinifukuza kwa nia ya
kunikamata, nilishindwa hata kujielewa nguvu za
kukimbia nilipozitolea kwani nilikuwa na spidi ya hatari. Ndani ya muda mchache nilikuwa
nimeshakatisha vichochoro zaidi ya kumi na kwa
muda huu sikumuona hata mtu aliyeendelea
kunifuatilia kwa nyuma. Nilipofika tu Buguruni
nikaingia kwenye daladala ziendazo Gongo la
mboto, lengo langu likiwa nikushuka pale uwanja wa ndege ili niende kwa wazazi wangu Mwanza.
“..dada nauli yetu ipo wapi..?”
Aliongea kondakta baada ya kunishusha uwanja
wa ndege.
“..unataka nauli tu..? hii hapa chukuwa..?”
Nilivua nguo yangu ya ndani nakumfunulia naniii yangu kisha nikavaa nakukimbia zangu kuelekea
uwanja wa ndege huu abiria wote nikiwaacha
wakicheka kwenye daladala nakuondoka zao.
Nilipofika tu uwanja wa ndege, sikuwa na nauli
yeyote lakini nilijikuta na imani tofauti huku asilimia
zote nikiamini kwa njia yeyote lazima nitapanda ndege na nitafika mpaka nyumbani kwetu
Mwanza. Nikiwa bado naangaza huku na kule
kuangalia abiria mara..
“..Tinaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa….?”
Maskini mwili wangu wote ulininyong’onyea ghafla
baada ya kumuona Jerry, na nilishajisahau kama Jerry anafanya kazi uwanja wa ndege…

******* **
nini hatma ya Tina mikononi mwa Jerry..?
**
Inamaana Tina hajapata kumbukumbu kwa yale
aliyofanyiwa Bagamoyo..?
**
wazazi wa Tina wakijua itakuwaje..?
**
Je unaweza kutabiri Play gal itaishaje?
**
Utamu ndio kwaaanza unaanza na kumbuka hii
ndiyo Play gal (This is it..) kweli kweli, usikubali
ikupite inayokuja..
 
Ilipoishia... “..Tinaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa….?”
Maskini mwili wangu wote
ulininyong’onyea ghafla
baada ya kumuona Jerry, na
nilishajisahau kama Jerry
anafanya kazi uwanja wa ndege…
'
Endelea...
Sikutaka hata kugeuka nyuma kumuangalia Jerry
zaidi ya kumkimbia huku nikiitafuta barabara ya
magari na nilipofika tu, uso wangu ukakutana na
dala dala bila hata ya kujua ukichangia na woga
niliokuwa nao nilijikuta nalivamia daladala
nakuingia mpaka ndani. "...dereva simama tumshushe chizi huyu.."
"..chizi mama yako?"
Nilijikuta namjibu konda tena kwa kujiamini huku
abiria wote wakicheka..
"..unamcheka nani wewe? Unamcheka nani..?"
Nilimgeukia mzee mmoja ndani ya daladala ambaye alivalia suti huku mkononi kashikilia biblia,
nilimpokonya biblia yake nakuichana vipande
pande nakumfanya dereva asimamishe gari.
"..embu mshusheni huyo mpumbavu, tena
apelekwe kituoni tu.."
Kitendo cha kusikia neno kituoni tu, nikachoropoka hapo hapo nakukimbia zangu.
Njaa kali ilianza kunizidia huku jua nalo
likitokomea nakunifanya niwe chizi mara mbili
yake, akili yangu moja kwa moja ikanituma
nielekee kwenye majalala nakuanza kuokoteza
makombo yaliobakizwa na watu.. Sikulifikiria swala la kuugua magonjwa ya mlipuko
zaidi ya kufakamia mifuko mbalimbali iliyokuwa na
mabaki ya chipsi na mingine mavyakula hata
sikuyajua lakini kwa njaa niliyokuwanayo
sikuweza hata kushiba, nilitoka pale majalalani
nakuongoza mpaka kwenye nyumba zilizokuwa karibu yangu. Kabla sijafika.
"..oyaa wee demu unakwenda wapi..?"
Alikuwa ni kijana wa kihuni na aliponiona natokea
majalalani akaniufuata. Nilivuta nguo yangu vizuri
na kuanza kukimbia huku nikikatiza sehemu
ambazo wala sikuzijua, kadri nilivyokuwa naongeza mwendo na ndio kwanza na yule kijana
naye alizidisha.
"..oyaa, wee vipi? Huwezi kufukuzana mbio na
kamanda wewe.."
Maskini Tina mie nikawa nimeshakamatika tena
katika mikono ya kijana muhuni. Nilijitahidi japo kutoa sauti lakini ikawa haitoki, hapo hapo
nikatambua huenda sauti ilikatika baada ya kula
mivyakula ya ajabu pale jalalani. Nikiwa bado
nimezubaa nakujiuliza mwenyewe, nikashuhudia
yule kijana akichomoa kisu na kunioneshea.
"..hapa kimya tu, ukikukuruka nakupasua nasepa zangu..."
Nilijihisi moyo wangu umepasuka, kwani mkojo
ulikuwa ukinitiririka ukiambatana na jasho,
sikuweza hata kukumbuka ulikuwa ni usiku wa
saa ngapi kwani hata watu njiani hawakuwepo
kabisa. Yule muhuni alinipeleka mpaka maeneo ambayo
sikuyafahamu vizuri na nilipofika tu nilishangaa
kukutana na kundi kubwa la wahuni huku
wakivuta sigara na bangi na waliponiana walipiga
makofi huku wengine wakipiga miluzi.
".. Mwana mtoto bomba huyu umemtoa wapi leo..?" Aliropoka muhuni mmoja huku akinifuata
mkononi na sigara yake kisha akanivutisha.
Nilikohoa sana kutokana na ule moshi na hapo
hapo nikaanza kujihisi kizinguzungu huku miguu
ikinilegea. Nilianza kuhisi kama nguo yangu ya
ndani inavuliwa lakuni kutokana nakujisikia vibaya nakukosa nguvu hata uwezo wa kutambua ilinibidi
niwe kimya tu. Ndani ya muda mfupi tena nikaanza
kuhisi kama naingiliwa tena nyuma na mbele kwa
kishindo. Maumivu makali nilianza kuyasikia kwani
nilihisi kama naingiziwa mikono. Nilijihisi kukata
tamaa ya kuishi kwani kwikwi ya ajabu illinishika huku jasho likinitiririka, nilianza kutapa tapa mithili
ya mtu anayetaka kufa na hatimaye nikapoteza
kabisa fahamu.. Baridi kali ilitetemesha mwili wangu huku nikijihisi
maumivu makali kichwani mwangu ambapo bado
nilikuwa na upara. Sikuweza kupata kumbukumbu
hata kidogo juu ya hili eneo nililopo zaidi kujihisi
damu zikinitoka sehemu zangu za siri
nakusababisha kitovu kuvuta. Niliangaza huku na kule nikashuhudia kila mtu akiwa bize na mambo
yake, niliinuka kwa aibu pale chini huku nikielekea
kwenye genge la pembeni yangu na nilipofika tu..
"..hapa ni wapi..?"
"..salimia kwanza, chizi nini wewe.."
Alikuwa ni Mmama, alivyonijibisha hivyo tu wala sikutaka tena kukaa zaidi ya kusonga mbele huku
nikimwacha akinishangaa..
"..vichaa wengine bwana, sijui ndio limetoroka
mirembe.."
Maneno yale yaliniingia kichwani na kunijaza hasira
mara mbili na nilivyokuwa, nilimvamia huyu Mmama nakumkunja huku nikitumia meno yangu
na kucha kuuteketeza uso na maziwa yake mpaka
nikahakikisha damu damu zinamtoka huku
amedondoka chini hajiwezi kabisa , nikachukuwa
pesa zake zote za mauzo nikazidumbukiza kwenye
matiti yangu nakuondoka. Kelele alizokuwa akipiga pale chini zilifufua umati
wa watu huku wengi wao wakiwa ni wakinamama
na wakinadada.
Sikuijua njia vizuri lakini nilijikuta nikikatiza
vichochoro mbalimbali nakutokomea.
Mwili wangu wote ulikuwa umechoka, pumzi ziliniishia nakubaki nikihema juu juu, nilijilaza
zangu kwenye kibaraza hata sikupajua ni wapi.
"..wewe vipi hapo unafanyaje?"
Alikuwa ni mzee mwenye nyumba hii hivyo
sikutaka hata kumjibisha zaidi ya kuondoka
taaratibu nakuonesha sura ya huruma kwa yule mzee.
"..embu simama mwanangu nikwambie kitu.."
Nilisita nakutaka kukimbia lakini nilijikuta napata
moyo wa ajabu wa kumsubiri nakusimama huku
nikiendelea kumtolea sura ya huruma.
"..unatokea wapi mwanangu..? Na unaelekea wapi..?"
"..natokea kwetu na naelekea chuo.."
"..mwanangu embu acha utani we niambie ukweli
tu nikusaidie, kwani unaonekana unamatatizo tena
makubwa.."
"..yaani nimesimama nakajua utaongea vitu vya maana, unaanza ohh eti nina matatizo, ulinipa we?
Ningekuwa na matatizo si ningeomba msaada
kwako?"
Nilimjibu vibaya mpaka mzee wa watu akabaki
ananiangalia tu, nikageuka nakuondoka zangu
lakini kabla sijafika mbali nilihisi navutwa gauni langu..
"..mwanangu..! Embu nakuomba japo uingie ndani
ukanywe chai na pia ukamsalimie na mama yako.."
Niliingiwa na moyo wa huruma nakujikuta
nikimsikiliza yule mzee kisha nikaongozana naye
mpaka kwake tukaingia sebuleni na tulipofika tu.. "..ngoja niende jikoni nikamwite mama yako wewe
nisubiri hapo hapo sebuleni.."
Nilikaa mda mrefu bila kumuona huyo mzee wala
mke wake, nilijitahidi kuwa mvumilivu lakini bado
hakukuwa na mtu yeyote, kwa hasira nikainuka
nakuelekea mlangoni ili niondoke zangu. Kila nikifungua mlango ukawa haufunguki, niliugonga
gonga lakini bado ukawa haufunguki, kwa hasira
nikaelekea mpaka huko jikoni napo nilipofika tu
sikumuona mtu hivyo nikaanza kumtafuta kwenye
vyumba vyake ili anifungulie niondoke zangu.
Ile nafungua chumba cha kwanza tu.. "...Mamaa uh uh uh, Mungu wangu..!"
Maskini alikuwa yule mzee uchi kama alivyozaliwa
tena akiwa amelala kitandani huku akiwa
ameganda mithili ya maiti ikiwa monchwari..
Woga ulinitanda nikaanza kurudi kinyume nyume
nikitaka kutoroka, kitendo cha kuukaribia mlango tu nikasikia umejifunga wenyewe kisha yule mzee
bila kunisemesha akawa ananifuata huku
akionesha sura ya huruma na tabasamu..
Nilihisi kama mapigo yangu ya moyo yanabadilika
uelekeo, yule mzee alikuwa bado akinifuata
taratibu na kwa kunyata huku akiwa uchi wa mnyama na macho yake akiyatoa sambamba na
meno yake mithili ya zile sinema za kutisha..
Nikiwa katika hali ya mshangao tena ule mshangao
wa kumshangaa huyu mzee, mara tena ule ule
mlango wa nyuma yangu ukajifungua na safari hii
ulijifungua kwa nguvu. Sikutaka tena kuchelewa zaidi ya kutoka mbio mpaka nje nakutokomea
nisikokujua. **** Sikuweza kabisa kujua muda zaidi ya giza likitanda
huku nje kukiwa na wapita njia wachache.
Baridi kwa mbali lililokuwa likipenyeza ndani ya
gauni langu huku meno yangu yakikosa kabisa
nguvu kutokana na kutetemeka sana kwa mdomo,
nilijihisi kichwa changu kama kimewekewa barafu na hii yote nikutokana nakuwa na upara, machozi
yalianza kunilenga lenga haswa baada ya kufikiria
maisha yangu yalivyobadilika kutoka Tina
wazamani mpaka kuwa Tina kichaa.
"..namtaka Mama yangu..? Namtaka Baba..?"
Nilijikuta nainuka lile eneo nililopo ambapo palikuwa ni uchochoroni tu, nakuongoza moja
kwa moja mpaka barabara kuu huku nisielewe
nielekeapo, sikuwa na hata viatu wala ndala hivyo
nilikuwa peku. Nilitembea mwendo mrefu bila
kupishana na mtu zaidi ya magari yakinipita tu tena
yale magari makubwa yakupakia mizigo. Hatimaye baada ya kutembea kamwendo kidogo
na giza nikafanikiwa kuyaona malori yakiwa
yamepaki eneo la uwazi. Furaha ya ajabu ikanijaa
moyoni, sikutaka kujua yanapakia nini na wala
yanaelekea wapi, nilichokifanya nikulivizia
mojawapo nakupanda kwa nyuma bila ya wao kujua chochote.
Huko ndani ya lori ilikuwa ni kero iliyochanganyika
na harufu siyo harufu nzuri, ni ile harufu ya ngozi
tena za ngozi wanyama, nasikujua walikuwa
wanazisafirisha kwenda wapi mimi ilimradi nisafiri
tu nitoke katika jiji hili la mikosi na laana lulilonipotezea malengo na maisha yangu kwa
ujumla.
Muda wote nilikuwa peke yangu ndani ya lile lori
kwa upande wa nyuma, nilijikaza na ile harufu
kwani nia yangu nikufika mkoa wowote na kama
litaelekea kwetu mwanza nitafirahi zaidi. Nilijipa moyo asilimia mia huku nikiamini kabisa
nitafanikiwa na safari yangu.
"..hata kama halitakwenda mwanza, likinisogeza
popote nitafika tu.."
Nilijisemea kimoyo moyo huku nikihisi kama gari
linawashwa tayari kwa kuondoka. Nilikaa kimya kwa muda mrefu huku nisielewe mwisho wa safari
yangu, kutokana na uchovu niliokuwanao
nilijikuta usingizi nikiupatia nafasi. ****** "...lete jeki..? Lete na spana namba sita..?"
Kelele kwa mbaali nilianza kuzisikia na hazikuwa
kelele za wapita njia bali zilikuwa ni kelele za konda
akijibizana na dereva wake, na safari hii alikuwa
amefungua mlango wa nyuma ya lori huku
akimulika na tochi kutafuta kitu alichoagizwa na dereva wake, kila nikijitahidi kujizuia ili nisimulikwe
haikuwezekana, ndio kwanza yule konda alikuwa
ananifuata eneo nililokuwa nimejificha. Nilijitahidi
japo kujifunika na mangozi yale yaliokuwa
yamekauka lakini haikuwezekana, nilichokifanya
nikuuchukuwa mkono wangu wakulia nakuanza kuusogeza mpaka miguuni kwa yule konda.
"...Mamaa..? Niache huko..?"
Aliropoka yule konda kwa sauti ya chini chini.
Nilichokifanya nikujionesha kwa kusimama pale
huku akinimulika usoni kwa kutumia tochi yake,
nikimfanyia ishara ya kumnyamazisha yani nilimwekea kidole mdomoni kisha nikamsogelea
nakumkumbatia huku akiwa hajielewi elewi.
".. Embu niambie hapa ni wapi na gari lenu
linaelekea wapi..?"
"..hapa tulipo ni mikumi na gari letu linaelekea
Iringa kwani wee unaelekea wapi..?" Aliongea yule konda kwa kujiuma uma huku
nikisikia kelele za dereva akilalamika nakutufuata
eneo tulipo..
Uoga ulianza kunitawala ndani ya halmashauri
yangu ya kichwa na kufanya mwili wangu wote
kunilegea na kutetemeka si kwa baridi kali, la hasha ni kwa woga niliokuwanao huku
nikimwacha yule konda akiendelea kunitolea
macho na mdomo wake kuugeuza bubu kwa
muda. nikachukuwa ngozi mojawapo nakujificha
huku yule konda akibaki na bumbuwazi.
"..inamaana wewe leo mgeni humu nyuma ya gari..? Muda wote kutoa jeki na spana tu unatumia
dakika zote hizo..?"
"..hapana mkuu haya mangozi ndio
yamesababisha nisione kiurahisi, lakini
nakumbuka niliweka maeneo haya haya..!!"
Yule kondakta alikuwa akijibizana nadereva wake, punde nikaanza kuhisi kama wakisogeza zile ngozi
kwa kutumia nguvu. Akili ilianza kunichemka
nakuona endapo dereva akilijua nipo humu ndani
itakuwa vingine kwani hapo ni spana tu lakini
anavyomkaripia huyo konda. Walisogeza sogeza
yale mangozi huku na kule bila ya kufikia eneo nililokuwa nimejificha, nadhani konda ndio
aliyekuwa akimkwepesha, mara kidogo nikasikia
kimya kimetanda huku nikihisi kama wanashuka.
Nilisogeza ngozi lile nililokuwa nimejifunikia
nakuangaza huku na kule. Kulikuwa na giza sana
hivyo sikuweza kuambulia chochote zaidi ya kutoka zangu pale huku nikipapasa pembeni
kutafuta uelekeo wa lango la kutokea. Nilifanikiwa
kuona mlango nakutoka taratibu mpaka nje
ambapo kwa muda huu mbalamwezi kali ilikuwa
ikiangaza, nikainama uvunguni mwa hili lori
nakuwashuhudia konda na dereva wake wakibadilisha tairi. Kwa ushujaa niliokuwa nao
Tina mie niliwazunguka nakuelekea mpaka mbele
ya gari kisha nikaingia nakuanza kusachi kama
nitapata chochote kwani njaa ilikuwa ikilisumbua
tumbo langu. Nilifanikiwa kukuta bahasha
imevimba japo sikujua kilichopo lakini halmashauri ya kichwa changu moja kwa moja ikatambua kuwa
huenda ikawa ni hela, kwa kutumia mwanga wa
mbalamwezi na papara nilizokuwanazo niliifungua
nakukutana na pesa nyingi sana. Nikaichukuwa
nakuificha ndani ya gauni langu kwenye nguo ya
ndani 'chupi' kisha nikachukuwa madumu yaliokuwa na maji, nikamalizia na mikate halafu
nikatokomea porini bila wao kuniona. Nikiwa
nimeuegemea mti mkubwa huku ile njaa kali
iliyokuwa imeniandama toka mwanzo wa safari
nakusababisha msuguano na muungurumo ndani
ya tumbo langu sasa ikawa imekatishwa na mikate pamoja na maji, nilifakamia nakulijaza tumbo
haswaa na baada ya hapo nikaanza kuhisi kama
kupata usingizi wa ajabu huku nguvu zikiniisha.
Kwa mbaali nikasikia lile gari likiondoka. Ile
mbalamwezi kali iliyokuwa ikiendelea kuangaza
iliendelea kushindana na macho yangu sasa macho yangu yakawa yamesaliti amri nakujikuta
nikijiegesha pale pale chini ya mti mkubwa..
"..Leo umependeza Tina mbona watakukoma..?"
"..kawaida yangu Aisha na hapa nikijipigilia na
mkoba wangu, mbona darasani watanitaka..?"
"...hivi si unajua kipindi cha sasa hivi mwalimu anaingia muda si mrefu na leo anatoa 'test'..?"
"..ok, basi Aisha nisindikize uani nikakojoe 'then'
tuelekee huko darasani.."
"..ndio ufanye haraka huko mwalimu atakuwa
ameshaingia..?
"...Aisha..? Aisha..? Aaaaaisshhaaaaaaaa...?? Nyoka.. Nyoka Aisha mtoe, mtoe naogopaa..!!!"
Nilikuja kushtuka bado nipo porini tena
kumepambazuka, sauti za ndege zilikuwa
zinaendelea kupaa zaidi. Mwili wangu sasa ulikuwa
umetawaliwa na wadudu aina ya siafu wale
wadogo dogo sana ambao hawaumi, nilijipangusa pangusa, kadri nilivyozidi kujipangusa na mwili
wangu ndivyo ulivyokuwa ukiendelea
kunitutumka nakuacha maalama alama makubwa
kuanzia usoni mwangu, mikononi mpaka mapajani
ambapo ndipo walikuwa wakinishambulia zaidi,
mara nikashuhudia wadudu wengine wakitambaa kwenye gauni langu, na hawa hawakuwa wadudu
wakawaida kwani walikuwa weusi sana na
hawakuwa na miguu, wapo kama kono kono.
Nilivua gauni langu nakulikung'uta, ile nataka
kulivaa nikahisi kwenye bado wapo kwenye nguo
yangu ya ndani 'chupi', kunacheza cheza. Woga na hasira kali vikanijaa hivyo akili yangu moja kwa
moja ikanituma huenda hawa wadudu
wananitambalia hadi huku. Hivyo nikaivua nguo
yangu ya ndani 'chupi' haraka haraka na kwa
uoga, nakuitupa kwenye kapori ka pembeni
yangu kisha nikalivaa gauni hivyo hivyo. Nilipomaliza nikakaa nakuanza kutafakari ndoto
niliyokuwa nimeiota mpaka eti rafiki yangu Aisha
ananisubiri chooni ili twende kwenye kipindi
darasani. Mchozi ulianza kunidondoka huku
nikiinuka taratibu eneo lile nakuanza kutafuta
barabara, "..nataka nirudi chuo ama kwetu Mwanza..?"
Nilijikuta naongea mwenyewe tena kwa hasira ya
hali ya juu.
Nikiwa bado njiani na majonzi tele huku dhamira
yangu ikiwa nikwenda kupanda basi au gari lolote.
"..Mungu wangu..!" Akili ilinicheza ghafla nakugundua kumbe ile nguo
ya ndani 'chupi' niliyokuwa nimeitupa ilikuwa na
bahasha ndani yake. Ile bahasha niliyoichukuwa
kwenye lile lori ambapo kulikuwamo na hela. Kwa
bahati nzuri, kumbukumbu za nilipoirushia ile
chupi nilikuwa nazo hivyo nikarudi mpaka lile eneo niliokuwapo nimelala, kisha nikaingia katika
kichaka cha pembeni yake nilichokuwa nimeitupa.
"..mhh..!! mhh..!! mhh..!! mhhh..!!"
Nilihisi pumzi zinaniishia, huku kojo likitoka
lenyewe nakusababisha mchozi unitoke kwa
hasira iliyoambatana na kwikwi ya kigugumizi baada ya macho yangu kukutana uso kwa uso
kwa mbali na Simba jike akiwa amejifungua huku
vile vitoto vyake vikichezea chezea ile bahasha
pamoja na noti noti wakizivuruga vuruga huku ile
nguo yangu ya ndani 'chupi' wakiichanachana
vipande vipande... *********
Itaendelea
 
Ilipoishia... .
..nilihisi pumzi zinaniishia,
huku kojo likitoka lenyewe
nakusababisha mchozi
unitoke kwa hasira
iliyoambatana na kwikwi ya
kigugumizi baada ya macho yangu kukutana uso kwa uso
kwa mbali na Simba jike akiwa
amejifungua huku vile vitoto
vyake vikichezea chezea ile
bahasha pamoja na noti noti
wakizivuruga vuruga huku ile nguo yangu ya ndani 'chupi'
wakiichanachana vipande
vipande...
'
Endelea...
Bado nilikuwa na mshangao wa hali ya juu,
machozi ya hasira bado yalikuwa yakinitiririka
kwenye paji langu la uso wangu. Nilijisogeza kwa
pembeni taaratibu kisha nikaokota jiwe kubwa na
kurusha kichaka cha pembeni yangu. Kitendo cha
kurusha lile jiwe, kikafanya yule simba asimamishe masikio yake halafu akainuka nakufuata eneo
nililokuwapo. Nilitamani ardhi ipasuke nidumbukie
kwani mapigo yangu ya moyo yalinibadilika mara
mbili na pale na sasa nikajijaza moyo wa kiujasiri
nakujificha huku nikihisi kama nimejikojolea tena.
"..Mungu saidia..! Saidia..!" Nilijsalia kimoyo moyo kunusuru maisha yangu.
Nikiwa bado katika hali ya hofu na. Ya kuzubaa
mwenyewe huku nikiendelea kumtolea macho
mara yule simba akasimama huku watoto wake
wakimzunguka nakumchezea. Alisimama pale
kama dakika moja nzima kisha akabadilisha uelekeo nakuondoka zake. Nilishusha pumzi na
safari hii akili yangu ikarudi tena mpaka pale
nilipokuwa nimetupa bahasha. Sikuwa tena na
uoga kwakuwa nilikuwa na uhakika upande
alipokuwa ameelekea yule Simba hivyo
nikajikongoja taratibu mpaka lile eneo. Niliikuta ile bahasha ikiwa na pesa kidogo huku zile zilizokuwa
zimetawanyika niliambulia chache tu, tena kama
nne za noti noti ya shilingi elfu kumi. Nikazikusanya
nakuzirudishia kwenye bahasha halafu nikafunga
katika pindo langu la gauni kwani sikuwa na nguo
ya ndani 'chupi' nakuondoka zangu huku nukiitafuta barabara ya lami. ********* Hali ya hewa ilianza kubadilika kwa asubuhi hii
tulivu. Muungurumo wa radi za hapa na pale ndizo
zilizoanza kuchochea hali ya hewa nakusababisha
mvua kubwa ambayo kwa muda huu ilikuwa
ikipenyeza kifuani mwangu mpaka katika gauni
langu nakulowana chapachapa. Zaidi ya nusu saa bado nilikuwa nimesimama kando kando ya
barabara ya lami huku nikisubiri gari lolote ili
niweze kupanda nakuelekea kwetu Mwanza.
Furaha ya ajabu ikanirudia tena baada yakuona
gari ndogo yakubebea mizigo ikiwa inakuja kwa
mwendo wa taratibu sana, niliinua mkono wangu wa kulia nakusimamisha bila ya woga wowote.
Hatimaye likapunguza mwendo na liliponikaribia
likasimama.
"..unaelekea wapi binti..?"
"..Mwanza..!"
"..Mwanza..? Mwanza unapajua wewe..?" Aliniuliza dereva wa ile gari ambaye alikuwa ni
mzee sana.
"..embu ingia ndani, sasa na huku unatokea kijiji
gani...?"
Nilibaki kigugumizi kwa muda huku
nikilikwepesha jicho langu lisimwangalie huyi mzee aliyokuwa akiendesha hili gari.
Safari ya mimi kutoka mikumi ilianza huku ndani ya
gari tukiwa na dereva na wabibi wawili katika siti
ya nyuma. Mwendo wa taratibu sana aliokuwa
anaendesha huyu mzee ndio ulionijaza hasira na
uchovu ndani yake. "..umesema unaelekea Mwanza..? Ila sisi hatufiki
huko ila tunaelekea mpaka Kiteto hivyo tutakuacha
njia panda ya Kiteto pale karibu na Dodoma.."
"..nitashukuru sana..!"
Kadri gari lilivyokuwa linatembea ndivyo na hali ya
ubaridi ikaanza kiungia katika gauni langu lililokuwa hata halijaanza kukauka yaani bichi
bichi. Uhakika wa kusafiri nilikuwa nao japo
nilipewa lifti. Ukimya ulliokuwa umetawala ndani ya
hili gari ulinifanya nijisikie
mwili wangu kuchoka. "..simamisha gari husikii wewe Mzee..?"
"..kwani tumefanyaje jamani..?"
"..kelele huko.."
Nilishangaa napigwa na ubapa wa panga, kisha lile
jambazi kuu kati ya watano likaangalia gauni
yangu likagundua kitu.. "..umeweka nini hapo kwenye pindo la gauni
yako...?"
Nilianza kutetemeka nakujiumauma nakuona
ndoto zangu zakufika Mwanza ndio zinaishia hapa
hapa kwani pesa zote nimezificha kwenye bahasha
na niliifunga kwenye pindo la gauni langu. Lile jambazi likaanza kufungua pindo iliyokuwa katika
gauni langu kisha akatoa bahasha ile niliokuwa
nimeificha. Nillitamani nimpokonye lakini haikuwa
na jinsi tena kwani alikuwa na silaha kama panga
na bunduki pia alikuwa na wenzake. Alinifungua
gauni langu kwenye pindo nakutoa bahasha nakuzimwaga hela nyingi sana kisha akaniangalia
kwa jicho la furaha.
"..wewe waweza kwenda kwasababu tumepata
hela kutoka kwako. Haya kimbia haraka na
nahesabu, 1, 2, 3..."
Nilitoka mbio huku nikiwaacha yule mzee na wale wabibi wakiwa chini ya ulinzi wa wale majambazi.
Kitendo cha kupiga hatua mbili tatu huku nyuma
nikasikia milio ya risasi ikirindima. nikapindisha
shingo yangu nakuangalia ndipo nikashuhudia
majambazi wakiwateketeza wale wazee
nakudondoka papo hapo nakufa. "..Mamaaaa..!! uuh!! Uuh..!! Uuh..!!"
Mishipa ya hasira ikaanza kunituna huku
nikimtolea macho yule mzee na wale wabibi.
Nikaligeuza jicho langu nakuangalia dirishani. Jua
kali lilikuwa likiwaka nje ila sikujua tumefika wapi.
"Mwanetu vipi tena..? Ulipitiwa na usingizi.." Nilijiangalia mara mbilimbili huku nisiamini ndoto
niliyokuwa nikiota eti tumetekwa na majambazi
mpaka yakawaua hawa wabibi na mzee.
"..eeh Mwenyezi Mungu niepushe na ndoto mbaya
hizi.."
Nilijisemea kimoyo moyo huku nikiendelea kumwanglia yule mzee aliyekuwa akiendesha gari
kwa mwendo ule ule wa taratibu sana.
Haraka haraka nikainua mkono wangu wa kulia
nakufungua mpaka kwenye pindo la gauni langu
nilipokuwa nimeweka ile bahasha ya hela. Ndipo
nikaamini sasa kuwa nilikuwa naota baada yakuifungua ile bahasha katika pindo la gauni
langu nakuikuta na hela zake. Nilijichekea kimoyo
moyo huku nikiirudishia ile bahasha mahala pake.
"..hivi mwanangu ulishawahi kuishi Bagamoyo
enhh..? Maana sura si ngeni kabisa..!"
Aliongea mmojawapo wa wale wabibi nakuniacha njia panda huku nikivuta fikra nakukumbuka sauti
kama ya yule bibi aliyekuwa ananifanyia maajabu
kule bagamoyo nakuifananisha kabisa na ya huyu.
"..sijawah kuishi.."
Nilijibu kwa kujiamini, lakini akawa kama
anamnong'oneza mwenzake kitu kisha wakaniangalia nakuanza kunicheka kwa sauti ya
chini chini.
"..ndio wewe mwanetu, sisi pia ni wanachama
wenzako, na hizo chanjo mwilini mwako alikupiga
huyu mwenzangu.."
Wakaangaliana tena wakacheka, mapigo yangu ya moyo yalinibadilika zaidi nakuona kumbe nipo na
wachawi tena wale walionitesa sana bagamoyo.
Nilijipapasa tena maeneo ya mgongoni mwangu
nikahisi bado nina zile chanjo.
"siyo huko tu, jiangalie na nyuma ya viganja
vyako.." Nilijiangalia nakuziona, kisha kwa jicho la ukali
nikawaangalia huku mchozi ukinidondoka
wenyewe...
"..kwanini kila mkosi Tina mimi tu.. Kwanini..? Eeh
mwenyezi Mungu kwanini umeniumba katika
dunia hii yenye manyanyaso na masengenyo jamani..? Ni bora nijirushe nje ya hili gari nife tu.."
Nilibaki bumbuwazi, mchozi ukiendelea kunitoka
huku nikiusemea moyo nakubakiwa na dukuduku
kubwa moyoni. Nilijihisi kama mwili wangu hauna
tena nguvu za kunyanyuka. Wale wabibi walikuwa
bado wakinishangaa na kunong'onezana huku wakinicheka. Niliendelea kuwatolea macho kwa
muda mrefu nakuyaelekezea usoni mwao na
mwishowe nikajihisi kama macho yao yanabadilika
rangi nakuwa ya kijani tena yale yenye miale mikali
kama ya radi. Sikutaka kuonekana muoga kwani
niliamini nimeshaingia katika himaya ya wachawi tena wale wachawi waliokubuhu, hivyo yanipasa
kupigana nao mpaka mwisho kama kufa nife tu.
"..Baba Mungu tenda miujiza yako sasa Baba,
hakuna jina jina litialo nguvu kama lako... Baba
nyosha mkono wako na uniokoe kwa nguvu
zako.." Nilipata nguvu ya ajabu nakujikuta nikianza kusali
kwa sauti ya chini chini na ya kukemea. Kadri
nilivyokuwa nazidisha maombi bibi mmojawapo
alianza kujinyonga nyonga kwa kugala gala mithili
ya mgonjwa, tena mgonjwa yule wakifafa. Muda
wote yule mzee alikuwa bize akiangalia mbele huku akiendesha gari na alikuwa hajui chochote
kinachoendelea kati ya mimi na hawa wabibi.
Baada ya yule bibi mmoja kujinyongolota kwa
muda mrefu pale chini. Yule bibi mwingine
akakasirika nakubadilika kucha na nywele zake
zikawa ndefu sana na za kutisha huku jasho likimtiririka mwilini mwake mithili ya maji. Kisha
akanifuata huku macho yake akiyakaza nakuwa
makubwa kama yanataka kutoka.
"..ushindwe katika jina la Yesu..! Ushindwe na
ulegee..! Shindwaaa..!!"
Bado maombi yangu hayakusaidia kitu chochote kwake zaidi yakumuongezea nguvu mara mbili
nakunishika shingoni kisha akatoa mkono wake
nakunichana upande wa shingoni mfano wa
chanjo..
"..niokoeni nakufaaa.. Mzee nisaidie nakufaaa.. Bibi
ananiua..?" Nilitoa sauti ya ukali lakini ndio kwanza yule mzee
akageuka nyuma nakuangalia kisha akaendelea
kuendesha gari na kwa muda huu alibadilisha ile
spidi ndogo aliyokuwanayo nakutembea kwa
mwendo wa kasi sana. Mwendo wa kasi uliokuwa
ukiendelea ulinifanya nishindwe hata kuangalia pembeni wala kujua tunapoelekea. Kizungu zungu
nilichokuwa nacho ukiongezea na chanjo
nilizokuwa nimepigwa na huyu bibi vilinifanya
nishindwe kuinuka wala kuongea chochote. ******* "..hapa ni wapi..?"
"..tulia sisi ni wasamalia wema tumekuokota
ulitupwa nusu saa iliyopita na gari moja ndogo
kisha wakakimbia.."
"..wameelekea wapi..?"
"..tulia binti, punguza jazba kwanza. Inakubidi twende kwa balozi wetu wa nyumba kumi, ukaoge
uondoe hilo tope tope mwilini.."
Maskini Tina mimi kumbe nilikuwa nimetupwa.
Kumbukumbu zilinirudisha mpaka kwenye gari
iliyokuwa inaendeshwa na mzee huku imepakia
wabibi wawili lakini sina hata kumbukumbu vizuri ikawaje mpaka nimetupwa hapa..
"lakini waliniambia kuwa watanishusha karibia na
Dodoma inamaana ndio hapa..? Na kwanini
walinitupa badala wanishushe tu kawaida..?"
Bado nilikuwa nausemea moyo kwa maswali
mengi sana huku nisijue kilichonisibu Tina mimi. Nilijikagua vizuri nakushuhudia damu damu
zilizokuwa zimenigandia mwilini. Wale wanakijiji
waliniinua nakunipeleka mpaka kwa balozi wa kijiji
chao ambapo nilielekezwa bafuni nakuingia
kuoga. Maji yao hayakuwa masafi sana hivyo kila
nikijimwagia yalikuwa yakichanganyika na damu damu zilizokuwa zimenigandia mwilini mwangu
nakuwa meusi kabisa. Nilipomaliza kuoga
nilikung'uta gauni langu nakulivaa lakini kabla
sijamalizia kulivaa vizuri kumbukumbu zikanijia
kuhusiana na ile bahasha ya pesa niliyokuwa
nimeificha kwenye pindo la gauni langu. Niliikuta ile bahasha nikaifungua nakuanza kuangalia ndani
yake napo nikazikuta zile pesa zote zipo. Nilitoka
bafuni nafuraha tena mpaka nje.
"..nahitaji kuondoka leo tena sasa hivi..?"
"..kwani unaishi wapi..?"
"..kwetu Mwanza, nionesheni barabarani ambapo naweza nikapata mabasi.."
Mwili wangu bado ulikuwa na majimaji ambayo
hayakukakua vizuri nilipooga, nilisahau maumivu
yote. Nilisindikizwa na balozi wao mpaka
barabarani.
"..lakini binti nauli unayo..? Au utawaomba tu kama msaada wakuchukue..? Maana nijuavyo Mwanza
mbali.."
"..hapana msijali kwa hilo, nitafika tu ondoeni
shaka.."
Ilituchukuwa kama dakika ishirini nzima tukiwa
tunasubiri basi. Kila basi lililokuwa linapita lilikuwa linaishia Dodoma tu. Hatimaye baada ya kusubiri
tena kwa muda mrefu ndipo likapita basi la
'Mohamed trans' liendalo mpaka Mwanza.
Sikutaka kabisa kuuamini macho yangu lakini
moyo wangu uliojaa furaha ndani yake ndio
ulionifanya niamini kuwa sasa nipo eneo salama na safi mpaka nitakapofika kwetu Mwanza.
Kila abiria alikuwa akinishangaa, si kwa upara
wangu uliojaa makovu ya vidonda kichwani, la
hasha! Bali ni kwa jinsi gauni langu lilivyokuwa
limechafuka kupindukia.
"..Habari yako dada..?" Alikuwa kaka mmoja ambaye nilikuwa nimekaa
naye siti moja akiniongelesha. Niligeuza jicho langu
kwa dharau zote nakumwangalia kisha nikamjibu
kifupi tu.
"..salama..!"
"..mimi naitwa James, sijui mwenzangu unaitwa nani..?"
"..anhaa, James..?"
"..hilo ndio jina langu haswaa..!"
"..naomba uniache kwani kichwa changu
kinamambo mengi sana.. Sawa james...?"
James alikaa kimya akinitolea macho tu. "..haya mpendwa katika bwana.."
"..Mpendwa..? Mpendwa mke wako..?"
Nilimjibu kwa dharau zote nakumfyonza kisha
nikaegemea siti nakuwaza zangu.
Ndani ya masaa mawili tulishapapita Dodoma na
kwa muda huu tulikuwa tunaitafuta. Singida. Uchovu uliokuwa umetawala ndani ya mwili
wangu ndio ulisababisha na usingizi kinitawala
ndani ya kichwa changu kwani nilianza kipitiwa na
usingizi.
Usingizi ulinizidia na nilipokuja kushtuka nilijikuta
kichwa changu kipo begani kwa James. Niliinuka haraka haraka.
"..sorry James..!, nilipitiwa na usingizi nikajik.."
Kabla sijamalizia kujitetea, James alidakia..
"..wala usijali lala tu.."
"..hapana..!, kwani hapa tumeshapita Tabora..?"
"..mbona Tabora tumepapita muda tu na sasa tunaitafuta Mwanza.."
Nilijiweka vizuri. Nakwa sasa wala sikujionesha
tena kumchukia James zaidi yakupiganaye stori za
maisha. Sikuwa namfahamu vizuri James, lakini
nilimfahamu nakujua kuwa kumbe James alikuwa
ni muinjilisti na tena alikuwa na kanisa lake huko Mwanza tunapoenda. Alitoa biblia yake nakuanza
kunichambulia maneno ya Mungu na pia
kunishawishi kumrudia Mungu kama bado
sijaokoka. Alitoa mkono wake nakuniwekea
mpaka kichwani mwangu nakuanza kuhisi
nimepata uponyaji sasa kwani niliweweseka sana ikiwa pamoja nakuzimia ndani ya basi na hata
nilipokuja kushtuka James aliniambia kuwa
nilikuwa na mapepo tena mengi sana mpaka
ikabidi wasaidiane na mama wa jirani ambaye
alikuwa na yeye ameokoka ndipo wakafanikiwa
kunitoa majini manne kwa shida sana mpaka yakatishia kuniua mimi na wakina James.
"..amani ya bwana iwe nawe binti..!"
Aliongea James. Ni taa ya kwenye basi tu ndio
ilikuwa imewashwa lakini upande wote wa nje
kulikuwa na giza kali. Kila abiria aligeuka
nakuniangalia kwa kunishangaa. "..nipeni maji nasikia kiu.."
Niliropoka kwa sauti ya juu huku nikihema juu juu.
James alitoa maji ya chupa kwenye mfuko wa
nailoni kisha akanipa na nilipomaliza kunywa
nilipewa na machungwa nikala.
"..haya embu niambie jina lako binti.." "..naitwa Christina.."
"..ok, Christina huku Mwanza ndio nyumbani
ama..?"
"..si nilishakujibu toka mwanzo jamani..?'
"..ok, unakaa sehemu gani kwa huku Mwanza
tunapoenda..?" "..Nyamagana.."
Nilimjibu kwa kujiamini na baada ya hapo James
akanisihi nikalale nyumbani kwake anapoishi na
mke wake kwa kuwa gari itafika usiku sana hivyo
kesho yake atanipeleka mpaka nyumbani kwetu
Nyamagana..
************* ***
unavyodhani safari ya Tina itaishia hapo..?
Kwanini Tina amekubali kirahisi kwenda kulala
kwa James?
***
ni kweli James muinjilisti?
 
Mzigo bado unaendelea, leo hakuna kulala
 
Ilipoishia….
Ni taa ya kwenye basi tu ndio ilikuwa imewashwa
lakini upande wote wa nje kulikuwa na giza kali.
Kila abiria aligeuka nakuniangalia kwa
kunishangaa.
"..nipeni maji nasikia kiu.."
Niliropoka kwa sauti ya juu huku nikihema juu juu. James alitoa maji ya chupa kwenye mfuko wa
nailoni kisha akanipa na nilipomaliza kunywa
nilipewa na machungwa nikala.
"..haya embu niambie jina lako binti.."
"..naitwa Christina.."
"..ok, Christina huku Mwanza ndio nyumbani ama..?"
"..si nilishakujibu toka mwanzo jamani..?'
"..ok, unakaa sehemu gani kwa huku Mwanza
tunapoenda..?"
"..Nyamagana.."
Nilimjibu kwa kujiamini na baada ya hapo James akanisihi nikalale nyumbani kwake anapoishi na
mke wake kwa kuwa gari itafika usiku sana hivyo
kesho yake atanipeleka mpaka nyumbani kwetu
Nyamagana..
'
Endelea….
“..Christina..??, Christinaaaaaaaaaa…??”
Nilishtuka kutoka usingizini huku nisielewe
chochote. Kila mmoja alionekana kuwa busy
kumsaidia kumbeba mwenzake. Usiku ulikuwa
mnene sana kiasi kwamba ni tochi za simu tu ndio
zilikuwa zikiangaza huku na kule kuhakikisha wanaona kinachoendelea mbele ya macho yao.
Mikono miwili ilikuwa imeshikilia kichwa changu
huku ikiniita kwa jina langu la Christina. Kila
nikijitahidi kuvuta kumbukumbu bado ilikuwa ni
vigumu. Vilio vya watu ndivyo vilizidi kuchanganya
zaidi masikio yangu nakujiona kuwa sina tena bahati ya kuishi.
“..wee Christina..? mzima lakini..?”
“wewe nani..?”
Nilimuuliza kwa sauti ya ukali huku nikimkunjia
uso vilivyo, jasho kali lilikuwa likitiririka kupitia
usoni mpaka shingoni mwangu. Japo alikuwa ni mwanaume lakini alionekana kulia kama
mwanamke tena yule ambaye ameshikwa na
uchungu wa kujifungua watoto mapacha.
“.. embu amka, mimi mchungaji James..”
“..mchungaji James..? wa wapi..? unataka nini
kwangu..?” “Kwa uwezo wa mwenyezi mungu aliyetuumba
nafarijika kukuona umekuwa mzima wa bukheri.
Ulikuwa umepitiwa sana na usingizi huku
ukiweweseka kwa mawazo njia nzima. Basi
likaanza kuyumba huku likipoteza uelekeo. Abiria
wote wakaanza kupiga makelele huku wengine wakimlaani dereva kwa kitendo cha kuendesha
gari vibaya. Nilijitahidi kusali sala zangu zote ili tu
ninusuru ajali hii lakini kama unavyoona
yaliyopangwa na mwenyezi mungu hakika kwa
binadamu hawezi kutenganisha. Tumepata ajari
kubwa sana na hii yote imesababishwa na lori lililokuwa limepaki vibaya..”
“lori..?”
Nilishusha pumzi nakurudiwa nakumbukumbu
vizuri yakuwa nilikuwa naelekea Mwanza
nyumbani kwetu. Nikayapindua macho yangu
vizuri huku na kule kwa kutumia mwanga ule ule wa tochi za simu nakuona watu wakilia na
wengine wakibebwa. Mwili wangu ulinisisimka
ghafla sambamba na kichwa kuniuma huku
mchozi ukinidondoka nakujiona laiti kama
ningekuwa mimi ndio majeruhi ama maiti.
“..kweli mwenyezi Mungu bado ananipenda nakujali..”
Nilijisemea kimoyomoyo huku nikimuangalia
mchungaji james mara mbili mbili.
“..ahsante mchungaji, umeokoa maisha yangu..!”
Aliniinuka pale chini nakuelekea nje kabisa ya basi,
sijui alienda kufanyaje lakini baada ya muda mfupi alirudi mpaka eneo niliokuwa nimejilaza. Maiti
nyingi zilikuwa zimepangwa huku nyingi zikiwa
hazina viungo vya mwili. Kuna ambazo hazikuwa
na shingo, mikono hata nyingine hazikuwa na
miguu. Hakukuwa na msaada wowote kutoka
hospitalini zaidi ya wale waliokuwa wazima kuwasaidia wale wenye unafuu kidogo na
kuendelea kutoa maiti nakuzipanga kwa nje.
“..Kwani hapa mpaka Mwanza ni mbali..?”
Nilimuuliza mchungaji james huku nikimuegemea
begani mwake kana kwamba mume wangu ama
baba yangu na bila yakuogopa kama ni mtu wa mungu.
“wala hata siyo mbali sana kwani umbali wake ni
sawa na kibamba mpaka kariakoo..”
“..twaweza kutembea..?”
“..wala tusiwe na haraka kiasi hicho. Kwanza
tuhakikishe hawa ndugu zetu wanapata matibabu ya huduma ya kwanza. Pili lazima mawasiliano
yafanyike na wote tuje kuchukuliwa na basi jingine
wala usiwe na wasiwasi Christina..”
Maneno yale yaliniingia sana kichwani nakunitia
nguvu nakumuona kuwa mchungaji James ni mtu
mzuri, anayejali na kuheshimu watu na hata pia ni msamalia mwema. Aliniinua pale nilipokuwepo.
“..mizigo yako unakumbuka ulipokuwa
umeiweka..?”
“..hapana, wala usihangaike kwani sikuwa na
mzigo wowote..!”
Kwa muda mfupi tayari gari za polisi wakishirikiana na wanakijiji wa hili eneo walikuwa wakizunguka
nakupakiza zile maiti zilizokuwa zimepangwa
pembeni ya macho yangu. Sikuwahi kushuhudia
maiti zikiwa nyingi kiasi kile zaidi yakuonaga
kwenye televisheni tena kwenye taarifa ya habari
ama filamu. Machozi yangu yalikuwa karibu sana nakujikuta nikiendelea kububujikwa na machozi
huku nikiushikilia kikamilifu mkono wa mchungaji
James nakuelekea kwenye basi dogo lililokuwa
limekuja kuokoa majeruhi.
“…Hapana, sisi ni wazima tunamshukuru mwenyezi
mungu tumenusulika, hivyo tupelekeni mpaka kituo cha mabasi ‘Nyegezi’ hapo tutajua jinsi
yakufika makwetu..”
Aliongea mchungaji James huku akimsisitizia
dereva wa hii gari. Safari yakuelekea stendi kubwa
ya mabasi ya Mwanza ‘Nyegezi’ ilianza huku akili
yangu yote nikiituliza nakumuachia James kwani alishaniahidi kuwa atahakikisha amenipeleka
mpaka nyumbani. Mwendo wa nusu saa ulitosha
sana kutufikisha Nyegezi. Hali ya hewa ilikuwa
imebadilika sana japo hakukuwa na joto sana wala
baridi sana. Mchungaji James muda wote alikuwa
amepitiwa na usingizi nadhani hakupata usingizi kabisa zaidi ya njia nzima kushikilia biblia yake
nakulichambua neno la Mungu.
“..James..?, mchungaji James..?? amka tumefika.!!.”
Nilimuamsha kwa kumtikisa lakini bado alionekana
mzito kuamka. Baada ya kuendelea kumuamsha
zaidi ndipo akaamka. “..haya niambie tunaelekea wapi sasa..?”
“..naona kumekucha kabisa, sasa kwa hapa
inatubidi tuchukuwe taksi mpaka nyumbani
kwangu mtaa wa pili kule halafu tutajua sasa
namna yaw ewe kukupeleka kwenu Nyamagana..”
Tulichukuwa taksi nakuelekea mpaka nyumbani kwake. Mchungaji James aliuwa na nyumba kubwa
sana tena yenye uzio wa ukuta.
“..Mama yuko wapi..!”
“..Mama, mama hayupo..!!”
“..kaenda wapi..?”
“..kaenda kanisani..” Mchungaji james alimuuliza mtoto wake baada tu
yakupokelewa mizigo. Uchovu niliokuwa nao
ukichanganyia na usingizi ni kati ya vitu
vilivyokuwa vimeuchosha sana mwili wangu.
Tulipoingia tu sebuleni, mchungaji James aliongoza
moja kwa moja mpaka chumbani kwake kisha akarudi akiwa kabadilisha nguo.
“..samahani Christina. Unaweza kwenda bafuni
ukaoga mlango ule, mimi nitaogea chumbani
kwangu. Na kwa kubadilisha nguo binti wa kazi
huyo hapo atakuelekeza..”
“..sawa, wala usiwe na hofu nitaelekea tu kuoga..” Kwa namna alivyokuwa amekuja mchungaji James
alinifanya mwili wangu wote ujisikie vibaya kwa
kusisimka ovyo. Japo alivaa ‘singlendi’ lakini
macho yangu yaliweza kuhakisi nakushuhudia
nywele nyingi sana zikiwa zimemjaa kifuani
mwake. Hata ile hamu yakuelekea bafuni nikaikosa nakutamani kwenda kuoga naye tena nimuogeshe
mimi. Kila nikifikiria kuwa ni mlokole nabaki
naumia nakuvunjika moyo.
“..lakini mie ndio Tina..!!, tena Tina aliyepinda toka
zamani..”
Nilijikuta uzalendo unanishinda Tina mie nakutokwa na udenda uliochanganyikwa na hamu
ya kutaka kufanya mapenzi na mchungaji.
Nilikuwa bado nimezubaa pale sebuleni huku
pembeni yangu akiwa mfanyakazi wa ndani
akiangalia televisheni. Nikajisachi mifukoni
mwangu nakutoa noti shilingi elfu moja kisha nikampa Yule mfanyakazi wa ndani.
“..nenda duka la madawa lolote kaninunulie sabuni
ya detto, nashindwaga kutumia sabuni nyingine,
sawa..?”
Yule binti wa watu aliinuka nakuondoka kwenda
dukani haraka haraka. “..wafanyakazi kama hawa ndio dawa yao..”
Nilijisemea kimoyo moyo huku nikihakikisha Yule
mtoto wa James aliyetupokea yupo nje. Nikauloki
ule mlango wa sebuleni nakisha nikazivua nguo
zangu nakubakiwa mtupu kama nilivyozaliwa,
nikazishikilia mkononi nakuongoza mpaka chumbani kwa mchungaji james huku nikijitingisha
makalio yangu…
Nilipokaribia tu mlango wa mchungaji James kwa
ghafla mapigo yangu ya moyo yakabadilika
mwendo na kwa muda huu yakawa yanaenda
mbio zaidi kama saa yam shale. Hatua chache nikawa tayari natazamana na mlango wa chumbani
kwake huku mikono yangu ikinitetemeka mithili ya
mtu aliyemwagiwa maji ya barafu. Nilipiga moyo
konde huku nikishikilia kitasa tayari kwa
kufungua mlango. Sikutaka kuonesha uoga
wowote Tina mie kwani mambo kama haya tayari nilikuwa nimeshayazoea tangu zamani.
Nilichokifanya nikaufungua ule mlango nakuingia
chumbani kwake kisha nguo zangu nikazitupa
kitandani mwake nakuanza kugonga sasa mlango
wa kuingia bafuni kwa mchungaji James huku
nikijidai kama naugonga.. “..my wife..?, unasemaje naoga..?”
“.. nifungulie mara moja mume wangu na mimi
nataka kuoga..”
Maskini mchungaji James alijua kuwa anaongea na
mkewe kumbe nilikuwa Tina mie. Alifungua
mlango hivyo hivyo akiwa na mapovu ya sabuni usoni huku macho yake akiyafumba. Nikatumia
mwanya huo huo na mimi kuongoza mpaka bafuni
kisha..
“..haya tuendelee kuoga tu mume wangu..”
Bado mchungaji James hakuwa anaelewa
chochote kwani mapovu ya sabuni yaliokuwa yamemzunguka mwili wote sana sana eneo la
usoni mwake yalimzuia kutoa macho kuangalia
nakujikuta akiniruhusu kuingia bafuni huku
akidhania kuwa ni mke wake.
“..acha tu nikusugue vizuri.., enhe niambie za safari
mume wangu..!!” Nilijikaza sauti nakuongea kama mtu mwenye
mafua kana kwamba isingekuwa rahisi kwa
mchungaji James kutambua ni sauti yangu.
Nilimgeuza mgongo huku nikimuogesha na kabla
sijamgeuza aniangalie nilimpaka tena sabuni usoni
mwake ili niweze kumzuia asione kabisa kwa muda ule.
“..yaani mke wangu, tulipata ajali mbaya sana na
kwa bahati nzuri na kumshukuru Mungu
nimenusulika nipo salama, na nimekuja na binti
yuko hapo sebuleni naye amenusulika kwenye
hiyo hiyo ajali ambapo watu wengi wamepoteza maisha..”
“..mmh pole sana mume wangu, ndio maana
nimeona nguo zako zikiwa na damu damu,
polee..!!!”
“..ahsante sana mke wangu..”
Bado nilimfanya mchungaji James asiweze kujua chochote kama anayeongea naye ni mimi
mwenyewe Tina. Nilichukuwa mikono yangu na
kumtelezesha kuanzia mabegani mwake, shingoni
mpaka kiunoni huku nikichukuwa sabuni
nakupaka eneo la nanii yake kisha nikaanza
kuishika shika kwa kuitekenya.. “..inatosha mke wangu haya nimwagie maji nitoe
sabuni hii..”
“..tulia kwanza jamani..”
“..hapana sabuni inaniwasha machoni, embu
nimwagie maji mke wangu..”
Nilimshika vya kutosha mpaka nikahakikisha amesimamisha nanii yake ndipo nikamwagia maji
tena kwa taaratibu kuanzia mgongoni kisha
tumboni na nikammalizia kumwagia usoni na
kichwani. Alipofungua macho tu akakutana na
sura nyingine kabisa na wala hakuwa mke wake
kama alivyoukuwa akifikiria bali nilikuwa ni Tina mimi nilioshindikana.
“..we.. wee.. wee ss.. ssiii.. niiili.. ku.. aa..a.. cha..
sebuuuu… leni..? Hapa umefuata nini..?”
“…James..? nimeshindwa kuoga peke yangu..!”
“..ndio uje chumbani kwangu..? Mke wangu yupo
wapi..? Mbona unataka kunivunjia heshima binti..? Hiyo ndio shukrani yako ya kukuleta hapa enh..!!”
Mchungaji James alinibadilikia nakuwa mkali kama
kifaru tena faru dume mwenye hasira ya
kuchezewa watoto wake na mnyama mwingine.
“..nakupa dakika mbili uwe umeshavaa nguo zako
nakupotea hapa chumbani kwangu ibilisi mkubwa wee uliyetumwa na shetani.., ushindwe..!! nasema
ushindwe kwa jina la...”
Kabla hajamalizia kuongea nikamziba mdomo
wake. Kwa ushujaa niliokuwa nao nikamshika
nanii yake nakuanza kumtolea maneno ya hasira.
“..James elewa mimi ni mwanamke kama wanawake wengine, nina hisia na nina haki
yakutekelezewa kama mwanamke. Najua kuwa
wewe ni mchungaji nakuomba unisaidie japo
unilale hata kwa bao moja tu nitalizika..”
“niiiiiiiniiii??? ..binti..??, umefika mbali.., mbali tena
mbali haswa. Una pepo mkubwa wa ngono na unahitaji kuombewa zaidi. Nakuomba tena kwa
mara ya pili uende ukavae nguo zako na uelekee
sebuleni hapo nitakuja kufanya maombi mazito na
wewe. Kwanza hata mke wangu akikukuta
umekaa sebuleni atafurahi, embu nakuomaba
uende binti pliiz..!!” Maneno yake hayakuniingia akilini hata kidogo.
Niliona kama anampigia mbuzi gitaa acheze na tena
mziki wenyewe ni ule wa mchiriku. Nikaanza
kumfanyia visa. Nilichokifanya nilipumua juu juu
nakujifanya nina mapepo kweli kisha
nikajiangusha mpaka chini vile vile nikiwa uchi wa mnyama nauanza kutapatapa mithili ya wale
wacheza shoo wa kikundi cha THT huku nikitoa
mate yenye mapovu mithili ya mgonjwa wa kifafa.
Nilitumia kama dakika tatu nzima lakini ni kama
mchungaji James alikuwa na bumbuwazi kwani
nilijua tu kwa asilimia mia hawezi kuniombea huku akiwa uchi. Alichokifanya alikuwa mpole kisha
akainama nakunishika shingo.
“..binti, amka na pole kwa matatizo..”
Maneno yale yalinifanya nione sasa atakuwa
ameelewa dhamira yangu yakujiangusha
nakujigaragaza pale chini kama motto mchanga. Nilinyamaza kimya nakuinuka kisha nikamkaripia.
“..nataka jibu moja tu..! unakubali kufanya mapenzi
na mimi au la..!”
Mchungaji James bado alibaki na kigugumizi kama
dakika mioja nzima kisha akanijibu.
“..hapana tayari nina mke wangu na licha ya hivyo, maandiko hayaruhusu. Kwani kufanya hivyo
nikukiuka maandiko ya neno na kumkosea
mungu..”
“..sasa nakupa dakika moja tu..!! na usipokubali
napiga makelele kwa nguvu zote kuwa unanibaka
mpaka nihakikishe umati wa watu umefurika hapa bafuni, sawa..???..”
“..no.. nooono.. nooo… usifanye hivyo binti..!!”
“..haya unakubali ama..? nianze kuhesabu..?”
Kimoyo moyo nilijipa shangwe kwani niliamini sasa
nitakuwa nimemuweza mchungaji James na
hatakuwa na ujanja kama nitapiga kweli yowe. Mwili wake wote ulionesha kutetemeka kwa uoga,
huku nikishuhudia nanii yake ikilala. Nikatumia
mwanya huo huo kumtetemesha zaidi..
“..nakuona hujibu uko kimya.., sasa naanza
kuhesabu 1.., 2.., 3..?”
Mchungaji James alinyong’onyea ghafla huku akionesha sura ya upole na huzuni. Sikutaka
kumuonea huruma hata kidogo kwani kifua chake
kilichojaa manywele ndicho kilichonivutia
nakuingia humu chumbani mwake. Nilichokifanya
nikamsogelea karibu kisha nikamkumbatia halafu
nikajilaza chini nakumuamuru aanze kufanya mapenzi na mimi..
“..haya ingiza humu ndani kwangu James..??,
ingiza basi..? hutaki..?”
********* ***
unavyodhani mchungaji James atafanya
mapenzi na Tina..?
***
Play gal ndio kwanza inazidi kunoga
 
tina shikamoo stori zinavyoendelea nahisi tina atajanifata na mimi .....ila kwa vile nishajua anangoma ntatumia kinga
 
tina shikamoo stori zinavyoendelea nahisi tina atajanifata na mimi .....ila kwa vile nishajua anangoma ntatumia kinga
 
Ilipoishia…
Kimoyo moyo nilijipa shangwe kwani niliamini sasa
nitakuwa nimemuweza mchungaji James na
hatakuwa na ujanja kama nitapiga kweli yowe.
Mwili wake wote ulionesha kutetemeka kwa uoga,
huku nikishuhudia nanii yake ikilala. Nikatumia
mwanya huo huo kumtetemesha zaidi.. “..nakuona hujibu uko kimya.., sasa naanza
kuhesabu 1.., 2.., 3..?”
Mchungaji James alinyong’onyea ghafla huku
akionesha sura ya upole na huzuni. Sikutaka
kumuonea huruma hata kidogo kwani kifua chake
kilichojaa manywele ndicho kilichonivutia nakuingia humu chumbani mwake. Nilichokifanya
nikamsogelea karibu kisha nikamkumbatia halafu
nikajilaza chini nakumuamuru aanze kufanya
mapenzi na mimi..
“..haya ingiza humu ndani kwangu James..??,
ingiza basi..? hutaki..?” Sasa
'
endelea…
Jasho jembamba lililoambatana na machozi huku
sura ya huzuni ikimtawala mchungaji James kwa
kumuamuru kufanya kile kitendo. Bado alikuwa
kama mtu mwenye kigugumizi yaani sitaki nataka,
kwani alionesha kusita sita muda wote. Tukiwa
bado tumezubaa pale chumbani tena kila mmoja akiwa uchi wa mnyama. Mara tukaanza kusikia
hodi ikigongwa sebuleni.
“..Atakuwa mke wangu huyo amekuja. Pliiz..!!!
nakuomba tusitishe zoezi hili na nakuahidi tut…”
“..Shiiii. tena ishia hapo hapo...? huyo wala si mkeo
lazima atakuwa mfanyakazi wako wa ndani. Kwani nililmtuma sabuni. Nakuhusu kufanya siku
nyingine. Utafanya wewe na mkeo. Sawa..?”
“..lakini binti..?”
“..lakini nini..? haya tuanze mara moja mwenzio
nasikia nyege huko…!!”
Niliona kama mchungaji James anataka kunicheleweshea muda ili mke wake arudi na
tusiweze kuendelea kufanya chochote. Nikaanza
upya zoezi la kumshikashika na sasa nilishamlaza
chini kabisa na sio kitandani kama tulivyokuwa
awali. nikaanza kukitawala kifua chake kana
kwamba mume wangu wa ndoa. Nilizilamba chuchu zake sambamba nakukitafuta kitovu chake
kilichokuwa kimezungukwa na tumbo. Mchungaji
James alikuwa hana ujanja tena kwenye huu
mchezo kwani nilikuwa nimeshamlegeza vya
kutosha na kwa sasa alikuwa amehamia juu
kwangu huku akiniingizia tena kama mtu ambaye hajafanya muda mrefu. Ndani ya dakika nne
tulikuwa hoi kila mmoja na tayari tumeshamaliza
cha kwanza.
“..aha..!! haa..!! haa…!!, unavaa nini..?”
“..Christina inatosha bwana..?”
“..eti inatoshaa..? Ndio tulivyoafikiana..? hapa mpaka nisuuzike na roho yangu. Na kwa jinsi
nilivyokuwa na hamu ya muda mrefu mwenzako.
Hivi ujue tangu nizaliwe sijawahi kufanya mapenzi
na mchungaji..? Kumbe nyinyi ni watamu kiasi
hiki..?”
Maneno yale yalizidi kuuchochea ubongo wa mchungaji James si kwa furaha bali ni kwa hasira
kali nakujikuta akiunyanyua mkono wake wa kulia
nakuanza kunishambulia kwa makofi. Alibadilika
ghafla nakua mkali mithili ya simba tena simba
dume. Macho yake yalikuwa mekundu sana huku
mdomo wake ukitetemeka mithili ya mtu anayenyeshewa na mvua .
“..Mpumbavu mkubwa sana. Nimekuvumilia muda
wote huo hadi nimekutekelezea ulichokitaka lakini
bado huriziki kwanini binti wewe..? Haya kwa sasa
nasimama kama mchungaji na vile vile mwanaume
lijari. Haya sasa piga kelele zako ulizokuwa unataka kupiga..? Pigaaa..??, pigaa sasa nikuoneshe..??”
Ile hali aliyobadilika nayo mchungaji James
ilinifanya Tina mie nianze kunyong’onyea nakuona
hapa sasa kitakachofuata nikutoka na makovu
ama maumivu mwili mzima. Maskini mchungaji
James kumbe baada ya kuongea tu yale maneno ya ukali nikamshuhudia akianza kama kutetemeka
mwili mzima huku yale macho yake akiendelea
kuyakaza nakudondoka mpaka chini. Nilimuwahi
pale pale chini nakumshika kifuani kwake ambapo
mapigo ya moyo wake yalikuwa yamebadilika
ghafla nakwenda mbio kama gari lililokatika breki. Hapo hapo halmashauri yangu ya kichwa
ikanituma huenda ana ugonjwa wa moyo au
kapata na mshtuko kutokana na kitendo hiki
tulichokifanya ukizingatia na nyadhifa aliyokuwa
nayo. Nilimtingisha mwili wote mara mbili mbili
kuhakikisha lakini bado haikusaidia chochote zaidi ya yeye kufumba macho kabisa kama mtu
aliyekata roho. Nilichukuwa kichwa changu huku
sikio langu nikiambatanisha sambamba kifuani
mwake japo kusikia tena mapigo yake ya moyo
lakini haikusaidia kitu zaidi yakutosikia chochote.
Woga ukanirudia Tina mimi na sikutaka hata kupoteza muda nilichokifanya nilitoka spidi mpaka
chumba cha pembeni nadhani kilikuwa cha yule
mfanyakazi wa ndani ama watoto zake mchungaji
James. Nilichokifanya kwa haraka haraka
nilichagua suruali ya kike nzuri na yakubana
mapaja yangu kisha nikatafuta blauzi nzuri nakuzivaa. Kiukweli nilibadilika nakuwa sasa Tina
mwingine kabisa kisha nikarudi chumbani kwa
mchungaji James. Hali niliyokuwa nimemuacha
nayo ndio niliendelea kumkuta nayo na kwa muda
huu ni damu za puani ndizo zilikuwa
zikimchuruzika nakuwa nyeusi badala ya nyekundu.
“..ulale pahala pema peponi mchungaji James..”
Nilijisemea kimoyo moyo huku nikimfumba macho
yake kwa kutumia mikono yangu nakuanza
kutafuta suruali zake nakutafuta hela za kuweza
kujinasua kuondoka katika hili eneo pia huu mkasa. Ndani ya dakika ishirini tayari nilikuwa
nimemaliza kusachi karibu chumba chote cha
mchungaji James na tayari mifukoni nilikuwa
niumezishindilia noti noti za shilingi elfu kumi zenye
thamani kama ya shilingi laki mbili kisha
nikachukuwa shuka nakumfunikia. Safari yangu yakutokea mlango wa jikoni ilianza huku nikiamini
kwa asilimia mia endapo nitatokea mlango wa
sebuleni ni lazima nitakutana uso kwa uso na mke
wa mchungaji James ama yule mfanyakazi wake
niliokuwa nimemtuma sabuni ya Dettol. Na hizi
nguo zao nilizovaa ndio kabisa watanipigia mayowe.
Sikutaka hata kujua ni saa ngapi, kwani kijua tu
kile cha asubuhi wazi kilinitambulisha haitakuwa
imefika saa sita ama saba za mchana. Kwa muda
huu tayari nilikuwa nimeshatoka katika himaya ya
kwa mchungaji James nakutokomea nisipopajua. Wazo la kufika nyumbani ‘Nyamagana’ likawa
limeishia hapo hapo kwani ndani ya kichwa
changu niliamini endapo mchungaji James akiwa
hajafa basi itakuwa rahisi kwa mimi kupatikana
kwani nilishawahi kumwambia kuwa naishi
nyamagana. “..hapa nikurudi Dar es salaam tu..!! kwani hapa
Mwanza japo ni jiji lakini nimeshaliharibu nani rahisi
kushikwa kuliko Dar es salaam..”
Nilijisemea peke yangu kwa sauti ya chini chini
huku nikikatiza mitaa ambayo kwa namna moja
ama nyingine wala sikuwa naijua ni mitaa gani. Baadhi ya vijana walikuwa wakinitolea macho
kana kwamba wamenifananisha lakini hilo waka
sikulitilia mashaka kwani nilishajua nilichokifanya
cha kuvaa nguo ambazo si za kwangu. Mwendo
wa dakika tano nzima ulikuwa tayari umeshanipa
jibu nakutambua bararabara kuu ipitayo magari. “..hapa mpaka kituo cha mabasi nyegezi shilingi
ngapi..?”
“.. elfu kumi tu..”
“..twende lakini nakulipa elfu nane..”
“..unaua dada.., elewa mafuta yamepanda bei..”
Nikiwa bado katika hali ya kuongea na dereva teksi na hata sikuwa nimepanda ile gari wala
kupatana naye bei rasmi. Mara kwa ghafla
akatokea mwanamama mnene mrefu kidogo.
Alikuwa mweusi huku sura yake ikikunjamana
vilivyo mithili ya mtu anapopigwa jua la utosi.
Macho yake yalionesha kuwa tata kwani mbali na machozi yaliokuwa yakimtoka pia yalikuwa ni
mekundu kama mtu aliyefiwa ama kumpoteza
mume au mtoto wa kumzaa.
“..unakwenda wapi Malaya mkubwa wewe..?”
Aliuliza kwa sauti ya jazba. Sikuwa namtambua
zaidi yakumtolea macho mimi pamoja na dereva teksi. Mwili wangu ulikuwa tayari umeshakata
tamaa ya kuishi huku nikihisi kama kojo likiteleza
ndani ya suruali yangu iliyokuwa imenibana…
Uoga uliochanganyikana na kutetemeka mwili
mzima ni kati ya vitu ambavyo vilikuwa bado
vinasumbua halmashauri ya kichwa changu huku nikibaki njia panda nikiendelea kumkodolea
macho yule Mmama alioonesha kunikazia macho
vilivyo huku akiendelea kutoa matusi makubwa na
mazito.
“...na leo ndio utanitambua vizuri..? yaani siku ya
nne leo huonekani cha nyumbani wala hujui hata watoto wanaishije huko..? Wewe kazi kuendesha
hiki ki teksii chako tena bila hata haya unaongea tu
na wanawake shenzii kabisa wewe mwanaume..!”
Nilishusha pumzi huku nikinyanyua mkono wangu
wa kulia nakushika kifua changu huku nikijihisi
mapigo yangu ya moyo yalivyokuwa yakiendelea kunitoka. Nikatoa kitambaa nakuanza kujifuta futa
jasho lilikokuwa limeshaanza kupenyeza kwenye
uso wangu nakupitilizia shingoni. Kumbe yule
dererva teksi niliokuwa naye ndio alikuwa
akiongeleshwa na mke wake sijui. Aibu kubwa
ikanijaa ghafla Tina mimi nakufikiri kuwa kumbe ningeumbuka kama ndio angekuwa mke wa
mchungaji James.
“..Naona hapa tena hamna safari..?, embu ngoja
nitafute usafiri mwingine…”
Niliondoka zangu nakuwaacha pale yule dereva
teksi na mke wake wakiendelea kugombana. Nikatafuta teksi nyingine ambapo ilinifikisha
mpaka stendi kubwa ya mabasi. Umati wa watu
ulikuwa umefurika ndani ya stendi hii ya mabasi
huku kila mmoja akiwa yuko ‘bize’ si kwa kubeba
mizigo yake bali kwa purukushani za hapa na pale
za kugombea tiketi. Nilijisogeza mpaka eneo la karibu na basi la ‘Mohammedi trans’ ambayo ni
mabasi maarufu sana kwa safari ziiendazo dar es
salaam.
“.. Nauli ya hapa mpaka dar shilingi ngapi..?”
“..nauli yake shilingi elfu thelathini na nane tu..”
Nilichomoa hela kwenye suruali tena hela zenyewe zile nilizokuwa nimeziiba baada ya kufanya mauaji
ya mchungaji James. Nikatoa shilingi elfu arobaini
na kumpatia yule mkata tiketi.
“.. nipe tiketi moja..”
“..ya lini..? maana za leo mpaka kesho zote
zimejaa…” “..zimejaa..?”
“..ndio dada. Zimejaa na hapa unavyoona
wanafunzi wengi wa vyuoni haswa wale wa chuo
cha Mtakatifu Agustino na chuo cha biashara ndio
wamefunga hivyo tangu juzi mabasi yanawabeba
wao wanafunzi tu..” “..Ooooh Mungu wangu..!! sasa nitafanyaje jamani
na nahitajika Dar es salaamu leo leo hata niingie saa
ngapi..?”
“..labda usubiri basi letu jingine linatokea Kigoma
litapita hapa hivyo kaa pale usubiri..”
Kidogo akili yangu ikakaa sawa nakusogea mpaka eneo la kupumzikia abiria nakuanza kusubiri.
Ilinichukuwa kama masaa mawili kusubiri huo
usafiri wa kutokea Kigoma. Bado hakukuwa na
dalili zozote wala hata taarifa zinazotia nguvu juu
ya hilo basi litokalo huko kigoma. Jua kali
lililochora kivuli kikubwa chini ilimaanisha dhahiri kuwa itakuwa tayari imetimu mchana tena ule
mchana wakuanzia saa sita nakuendelea maana
jua lilikuwa kali sana. Nilikiwa bado nimezubaa
mwenyewe mara ghafla nikahisi kama kuna mtu
ananigusa mgongoni taratibu. Sikutaka hata
kugeuka kwani niliamini kwa asilimia zote huenda atakuwa ni mdudu ama kweli kuna mtu. Nilichukua
mkono wangu wa kulia nakuanza kupapasa
papasa kwa nia yakukitoa kitu kinachonigusa kwa
begani. Kadri nilivyozidi kukitoa ndipo kilizidi
kunibonyeza kwa nguvu na kwa sasa nikaanza
kuisikia na muambatano wa sauti ya kike kwa mbali.
”..Samahani dada naomba kukuuliza kitu..?”
Alikuwa Mmama mwingine na ni mgeni machoni
mwangu kwani hata sikuwahi kumuona maishani
mwangu. Sura yake pana iliyokuwa imeng’arishwa
na manukato ya zile losheni zinazopendwa na baadhi ya kina dada wa uswahilini na waliokuwa
na kipato kidogo. Zile zinazojulikana sana kwa
kubadilisha sura yako ya kutoka weusi nakuwa
weupe. Wengi wanapenda kuiita ‘carolite’. Na kwa
sasa harufu ile ya carolite ilikuwa inapambana na
pua zangu zilizokuwa zimenasa harufu hiyo kali na inayochukiwa na baadhi ya wanaume wenye pesa
zao. Niliendelea kumtolea macho huku nikijipa
maswali mara mbili mbili ndani ya ubongo wangu
nakuona sasa huyu huenda ndio akawa Mke wa
mchungaji James kweli. Nilimkazia macho
nakumjibu. “..uliza tu mama yangu..?”
“..haya..! Ujue nakufahamu sana binti japo wewe
huwezi kunikumbuka mpaka nikukumbushe..?”
“..ni kweli unayosema mama..!”
Woga tayari ulishaninyemelea Tina mimi nakuona
sasa haya ni majaribu haswa ya dunia. Nilikuwa mpole ghafla nakujidai mtakatifu tena Yule wa
kanisani kabisa. Nilijinyenyekeza huku nikimtolea
macho na kutega maskio yangu kwa kumsiliziza
kwa umakini mkubwa.
“..nimekufuatilia muda mrefu.., kwanza kabisa pole
na matatizo yaliokukuta kule tuliposafiri wote ikiwa ni pamoja na ajali tuliokuwa tumeipata..”
“..pole ya nini tena Mama. Mbona mimi sijasafiri nina
muda mrefu nahii leo ndio kwanza nasafiri
kuelekea Dar..?”
“..wala usitie shaka na mie. Mie nilikuwa mmoja
wapo katika lile basi tulikuwa tumesafiri nalo jana kutoka Dar, na nakumbuka kabisa ulipandia kijiji
fulani hivi japo kwa jina sikikumbuki na hapo
ukapata siti tena kwa bahati nzuri ukakakaa na
mchungaji mmoja hivi anaitwa mchungaji James..”
Akili yangu ikawa haitaki kabisa kukubaliaana na
ukweli aliokuwa anaendelea kuongea huyu Mama. Sura yake kila nikiivutia kumbukumbu bado
ilikuwa ni kazi kuikumbuka. Nilichokifanya
niliendelea kumkana kama vile Yuda alivyomkana
Yesu mara tatu..
“..wewe Mama utakuwa umenifananisha mie..?,
embu niondokee hapa..!! Kwanza unavyoendelea kukaa na mimi, hiyo mikarolite yako inazidi
kuharibu pua zangu..?”
Nilijifanya nimekasirika nakumgeuzia kibao yule
Mama. Umati wa watu ukaanza kujaa katika eneo
nililokuwa nimekaa na huyu Mama ukinizunguka.
Yule Mama aligeuza macho yake huku na huku kana kwamba kafumaniwa ama ameona kitu cha
ajabu sana kwangu.
“..nakupa dakika moja tu na wala siendelei.. Jibu
ndio au hapana..?”
kwa muda huu yule mama alikuwa amebadilika
sura na sauti nakuwa mbogo kwa muda. Kigugumizi cha ajabu kilichoambatana na kwikwi
kali kikaanza kunishika Tina mimi huku nikiwa sina
ujanja tena. Nikiwa bado najiandaa kumjibu yule
Mama akanishika kwa nguvu ile blauzi yangu
nakuanza kuropoka.
“..sasa utaeleza vizuri kwanini umemuua mchungaji wetu tena mchungaji James tuliokuwa tukimpenda
sana kwa mahubiri yake..?”
Maskini Tina mimi nilijikuta nimeshaingia matatani
tena, nilijitahidi japo kuzirudisha kumbukumbu
kumtambua huyu Mama. Ndipo nikakumbuka
kuwa jana wakati nipo safarini siti moja na marehemu mchungaji James aliniambia kuwa
nilizimia mara mbili wakati ananiombea na tena
wakisaidiana kuniombea na Mmama ambaye
alikuwa mtu wa Mungu. Nilihuzunika sana
nakuanza kuilaumu nafsi yangu kwa kutokufikiria.
Nikiwa bado kwenye mawazo huku watu wakinishangaa mimi na huyu Mama. Mara huyu
Mama akatoa sauti ya kuamuru kitu.
“.. jamani mapolisi binti mwenyewe ndio huyu
hapa..!!, mchukuweni tumpeleke kituoni..”
Kumbe na mapolisi walikuwa wamenizunguka
eneo lote nililokuwa nimezungukwa na watu ambapo walikuwa wamevalia nguo za kiraia.
Walinichukuwa nakunipiga pingu huku umati wa
watu ukinisikitikia kwa kitendo nilichokifanya cha
kumuua mchungaji wao mchungaji James..
***
Inamaana ndio utakuwa mwisho wa safari ya
Tina..?
***
Huyo Mama umeshamkumbuka..? na nini
hatma ya Tina huko kituoni..?
***
Utamu wa story hii ndio kwanza unaanza
kunoga. Endelea kufuatilia ujue
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom