Kesho ndio mwisho wa kujiandikisha kwenye daftar la mkazi ili watu waweze kuwachagua wajumbe 6 wa mtaa na mwenyekiti wa mtaa................huhitaji kubeba kitambulisho chochote ili uweze kuandikishwa pale kwenye ofisi ya mtendaji katika kata yako.
Chukua hatua wajulishe wengine wengi walio makazini hawajui....FROM KAWE
Chukua hatua wajulishe wengine wengi walio makazini hawajui....FROM KAWE