Plasidus Luoga afukuzwa kazi TRA kutokana na sakata la Escrow

Mkuu Ritz mshauri Baba yako, najua una-access naye muda wowote na unaweza kumweleza, mwambie aamuru viongozi wote wa kisiasa waliotajwa waachie ngazi!
 
Wanaukumbi.

Serikali kupitia Wizara ya Fedha imemfukuza kazi afisa wake wa TRA Plasidus Luoga kutokana kuwa mmoja wa watu waliochukuwa pesa za Escrow.

Plasidus Luoga,aliwekewa kiasi cha Milioni 121.2 kwenye akaunti yake Mkombozi Benki.

Cha kujiuliza kama siyo pesa ya umma kwa nini serikali imemfukuza kazi.

Mkuu nimependa uzalendo wako ktk hili, hakika tofauti za kisiasa ziwekwe pembeni kama taifa zima tupambane na wezi hawa: Hakuna mshindi ktk hili (sio ccm sio ukawa) bali washindi ni wazalendo wote watakaosimamia ukweli katika hili na kuisongesha Tz yetu mbele. Jazaka llahu lkhairi kaka.
 
Wanaukumbi.

Serikali kupitia Wizara ya Fedha imemfukuza kazi afisa wake wa TRA Plasidus Luoga kutokana kuwa mmoja wa watu waliochukuwa pesa za Escrow.

Plasidus Luoga,aliwekewa kiasi cha Milioni 121.2 kwenye akaunti yake Mkombozi Benki.

Cha kujiuliza kama siyo pesa ya umma kwa nini serikali imemfukuza kazi.

Mkuu Ritz nadhani ni busara kama na wewe ukasimama na kutoa mchango wako mule ndani. Tunashindwa kuwaelewa huku nje mko upande wetu ila mkiingia mule ndani mnapigiana makofi, Stand and Talk kama mnataka wananchi tuwaamini kwamba mna dhamira ya kutetea upumbavu huu. Ila kwa jinsi hii ya kuwaachia wale akina mama kuongea vitu walivyolishwa bila kuwa na uelewa wowote ni ujinga
 
Ni pesa ndogo sana hiyo mkuu...haimfikishi popote

Inategemea wewe unazo ngapi ndo unaweaza kusema hivyo..................na kwa namana atakuwa ameiba ngapi?

Shule kijijni kwangu inahitaji maawati mia 100 @ 40,000 !!!!!!!
 
Anna Tibaijuka aliyewekewa bilion anapeta tu,huyo wa mamilion ndo afukuzwe jamani

Jana nilimuona akifurahi na kupiga meza kwa nguvu wakati mzee wa kibajaji akihararisha fedha chafu,kweli wengine hawana soni
 
Tunahitaji ufafanuzi mzuri. Alishastaafu au bado? Kama CAG amesema ni mtumishi wa TRA na uhakika ni kwamba alishastaafu, basi kuna utata kwani kuna uwezekano wa kuwa watumishi hewa hao
 
Kweli usilolijua ni usiku wa kiza.......kiza kinene. kwa taarifa yenu Mr Luoga alishastaafu TRA siku nyingi. Hizo pesa amezipata akiwa nje ya TRA. Haiwezekani kumfukuza kazi mtu ambaye hayupo kazini. Siku nyingine muwe makini mtoapo habari.
 
sasa kufukuzwa kwa huyo mwizi kutasaidiaje kurudisha fedha za wananchi? mpuuzi mkubwa sana wewe dada Ritz?

Daah...! Sasa mbona kuanza matusi pasi na kufanza staha katika kufahamishana kunako mnaaqasha wa mleta Mada....!?

Kosa lake kufikisha ujumbe au pana mangine ya kando.....!?

Na bakhti nzuri katumia neno "Tetesi".

Mara zangine tuwe waungwana katika changizi zetu.

Ahsanta kwa kunisikiza.
 
Last edited by a moderator:
Sina ushahidi

lakini ni mwehu pekee anaweza kuamini kwamba uwekezaji wa pale ni elfu TZS 50,000.

Ina maana huo uwekezaji 50,000 unamaanisha, ni pamoja na thamani ya kiwanja, jengo, vitemdea kazi kama computers, office furnitures transport stationeries, na mengineyo ukiysajumlisha ndiyo unapata hiyo 50,000/?
 
tulia wewe mchumia tumbo. si ndio wewe uliyekuwa ukitetea wezi. mpuuzi kwelikweli.
Wewe punguani kweli kweli nyie pro-Chadema kata wajinga sana kila sehemu mnaleta ushabiki wa vyama.
 
Mkuu Ritz mshauri Baba yako, najua una-access naye muda wowote na unaweza kumweleza, mwambie aamuru viongozi wote wa kisiasa waliotajwa waachie ngazi!
Tujadiliane mimi na wewe baba wa nini tena unamjulia wapi mbona mimi sijamtaja mama yako.
 
Wanaukumbi.

Serikali kupitia Wizara ya Fedha imemfukuza kazi afisa wake wa TRA Plasidus Luoga kutokana kuwa mmoja wa watu waliochukuwa pesa za Escrow.

Plasidus Luoga,aliwekewa kiasi cha Milioni 121.2 kwenye akaunti yake Mkombozi Benki.

Cha kujiuliza kama siyo pesa ya umma kwa nini serikali imemfukuza kazi.

naona wameanza kutimiza amri ya mwana ccm aliye amua kuwa mzalendo kwa maslahi ya taifa mwigulu nchemba.
 
Back
Top Bottom