Nyunyu
JF-Expert Member
- Mar 9, 2009
- 4,354
- 1,010
Kwanza JK pole sana, maana ndo anawakilisha umiliki wa ndege hizo. Pili wenye ndug uwaliofariki nanyi pia poleni sana:A S-rose:.
Serikali ni lazima iseme chanzo cha ajali hii; lazima tujifunze kutoka kwenye makosa yetu, bahati mbaya ni chache sana katika air transport.
Serikali ni lazima iseme chanzo cha ajali hii; lazima tujifunze kutoka kwenye makosa yetu, bahati mbaya ni chache sana katika air transport.