vigezo vile-vile vilivyosababisha mahakama kutoa amri wakurugenzi wasisimamie uchaguzi.Uchaguz gan hukuwa huru na haki? Kwa vigezo gani?
Hoja ya kijinga kabisa!chochote wanachofanya NEC ni kwa maslahi mapana ya nchi hii na si vinginevyo. kulinda amani, umoja na mshikamano ndio msingi wa NEC kabla na baada ya uchaguzi.
Suala wa kazi za NEC kuombwa na watu wa-apply linatia ukakasi, wanaweza kupatikana mamluki ndio wanapewa jukumu la kusimamia chaguzi zetu. hatima yetu ipoje? amani ipoje?
fikiria katika mazingira, wanaoomba kupewa kazi ya kusimamia uchaguzi wasiwe ni wa kudumu(wa muda tu) na hawakuwa na kazi yeyote kabla, ikatokea mtu anawaambia kuna milion 200 hakikisha nashinda, hali ipoje hapo?
wakurugenzi kuendelea kusimamia uchaguzi ni kwa maslahi ya taifa
chochote wanachofanya NEC ni kwa maslahi mapana ya nchi hii na si vinginevyo. kulinda amani, umoja na mshikamano ndio msingi wa NEC kabla na baada ya uchaguzi.
Suala wa kazi za NEC kuombwa na watu wa-apply linatia ukakasi, wanaweza kupatikana mamluki ndio wanapewa jukumu la kusimamia chaguzi zetu. hatima yetu ipoje? amani ipoje?
fikiria katika mazingira, wanaoomba kupewa kazi ya kusimamia uchaguzi wasiwe ni wa kudumu(wa muda tu) na hawakuwa na kazi yeyote kabla, ikatokea mtu anawaambia kuna milion 200 hakikisha nashinda, hali ipoje hapo?
wakurugenzi kuendelea kusimamia uchaguzi ni kwa maslahi ya taifa
Wala hakuna haja ya masheikh na mapadre kusimamia! Ni njia nyepesi sana! Ni makundi yote ya kijamii kukutana na kuchagua wawakilishi wao! Kisha Rais atawaapisha kuwa wajumbe wa Tume huru ya uchaguzi.Kikubwa wakitaka tume huru ya uchaguzi wawachukue mashehe na mapadri ndio wawe wasimamizi wa uchaguzi hapo ndio uchaguzi utakuwa huru sana
Unge declare interest kwanza kwamba wewe ni mbululaBaada ya wakurugenzi wa uchaguzi kukataliwa kuwa wasimamizi wa uchaguzi sasa NEC wamekuja na fomu mpya ya kuwahalalisha makada wa CCM kurudi kwa njia ya panya kuwa wasimamizi eti watawaapisha kuwatoa kuwa wanachama wa CCM.
Hii ni ajabu kwanini CCM hawajiamini katika kampeni ya ushawishi bila ujanjaujanja?
We jinģa sijui umètokea wap naona umeibuka frm no where unaandika utumbo tuchochote wanachofanya NEC ni kwa maslahi mapana ya nchi hii na si vinginevyo. kulinda amani, umoja na mshikamano ndio msingi wa NEC kabla na baada ya uchaguzi.
Suala wa kazi za NEC kuombwa na watu wa-apply linatia ukakasi, wanaweza kupatikana mamluki ndio wanapewa jukumu la kusimamia chaguzi zetu. hatima yetu ipoje? amani ipoje?
fikiria katika mazingira, wanaoomba kupewa kazi ya kusimamia uchaguzi wasiwe ni wa kudumu(wa muda tu) na hawakuwa na kazi yeyote kabla, ikatokea mtu anawaambia kuna milion 200 hakikisha nashinda, hali ipoje hapo?
wakurugenzi kuendelea kusimamia uchaguzi ni kwa maslahi ya taifa
chochote wanachofanya NEC ni kwa maslahi mapana ya nchi hii na si vinginevyo. kulinda amani, umoja na mshikamano ndio msingi wa NEC kabla na baada ya uchaguzi.
Suala wa kazi za NEC kuombwa na watu wa-apply linatia ukakasi, wanaweza kupatikana mamluki ndio wanapewa jukumu la kusimamia chaguzi zetu. hatima yetu ipoje? amani ipoje?
fikiria katika mazingira, wanaoomba kupewa kazi ya kusimamia uchaguzi wasiwe ni wa kudumu(wa muda tu) na hawakuwa na kazi yeyote kabla, ikatokea mtu anawaambia kuna milion 200 hakikisha nashinda, hali ipoje hapo?
wakurugenzi kuendelea kusimamia uchaguzi ni kwa maslahi ya taifa
wewe kabila gani? maana hiyo lugha haieleweki kiswahili si kiswahili na wala kiingereza si kiingereza. sasa hiyo lugha inatoka.........................Unge declare interest kwanza kwamba wewe ni mbulula
Baada ya wakurugenzi wa uchaguzi kukataliwa kuwa wasimamizi wa uchaguzi sasa NEC wamekuja na fomu mpya ya kuwahalalisha makada wa CCM kurudi kwa njia ya panya kuwa wasimamizi eti watawaapisha kuwatoa kuwa wanachama wa CCM.
Hii ni ajabu kwanini CCM hawajiamini katika kampeni ya ushawishi bila ujanjaujanja?
wewe ndio hufahamu. kiapo unachozungumzia wewe ni kiapo cha uaminifu ambacho hata mawakala huapa. mimi nazungumzia fomu namba 7 ilioundwa na NEC hivi karibuni ya kuwaondoa uanachama MAKADA wa ccm. Sheria inasema marufuku mwanachama wa vyama vya siasa kusimamia uchaguzi sio kutoa fomu ya kumtoa mtu katika chamaMtoa post hebu jitahidi kujifunza mambo kabla ya kuanza kukosoa, kwa mujibu wa sheria ya taifa ya uchaguzi kabla ya wasimamizi wa uchaguzi hawajaanza kutekeleza majukumu yao sheria inawataka wale kiapo cha kujitoa uachama wa chama cha siasa na hiyo ni sheria iliyotungwa na Bunge kwa hiyo hilo sio suala la NEC ni wabunge wenyewe waliotunga na kupitisha hiyo sheria.Mi nakushauri kabnla hujaanza kuropoka humu soma sheria zinazsemaje.
Hata kama mabadiliko hayata fanywa lakini nina furaha kuu kwamba ufahamu na uelewa wa watz juu ya masuala ya sheria na haki umeongezeka pakubwa.Baada ya wakurugenzi wa uchaguzi kukataliwa kuwa wasimamizi wa uchaguzi sasa NEC wamekuja na fomu mpya ya kuwahalalisha makada wa CCM kurudi kwa njia ya panya kuwa wasimamizi eti watawaapisha kuwatoa kuwa wanachama wa CCM.
Hii ni ajabu kwanini CCM hawajiamini katika kampeni ya ushawishi bila ujanjaujanja?
mimi nataka maslahi membamba hayo mapana kaa nayo.chochote wanachofanya NEC ni kwa maslahi mapana ya nchi hii na si vinginevyo. kulinda amani, umoja na mshikamano ndio msingi wa NEC kabla na baada ya uchaguzi.
Suala wa kazi za NEC kuombwa na watu wa-apply linatia ukakasi, wanaweza kupatikana mamluki ndio wanapewa jukumu la kusimamia chaguzi zetu. hatima yetu ipoje? amani ipoje?
fikiria katika mazingira, wanaoomba kupewa kazi ya kusimamia uchaguzi wasiwe ni wa kudumu(wa muda tu) na hawakuwa na kazi yeyote kabla, ikatokea mtu anawaambia kuna milion 200 hakikisha nashinda, hali ipoje hapo?
wakurugenzi kuendelea kusimamia uchaguzi ni kwa maslahi ya taifa
Pumbavu!chochote wanachofanya NEC ni kwa maslahi mapana ya nchi hii na si vinginevyo. kulinda amani, umoja na mshikamano ndio msingi wa NEC kabla na baada ya uchaguzi.
Suala wa kazi za NEC kuombwa na watu wa-apply linatia ukakasi, wanaweza kupatikana mamluki ndio wanapewa jukumu la kusimamia chaguzi zetu. hatima yetu ipoje? amani ipoje?
fikiria katika mazingira, wanaoomba kupewa kazi ya kusimamia uchaguzi wasiwe ni wa kudumu(wa muda tu) na hawakuwa na kazi yeyote kabla, ikatokea mtu anawaambia kuna milion 200 hakikisha nashinda, hali ipoje hapo?
wakurugenzi kuendelea kusimamia uchaguzi ni kwa maslahi ya taifa
Shwaini jifunze kuheshimu maamuzi ya mahaksmachochote wanachofanya NEC ni kwa maslahi mapana ya nchi hii na si vinginevyo. kulinda amani, umoja na mshikamano ndio msingi wa NEC kabla na baada ya uchaguzi.
Suala wa kazi za NEC kuombwa na watu wa-apply linatia ukakasi, wanaweza kupatikana mamluki ndio wanapewa jukumu la kusimamia chaguzi zetu. hatima yetu ipoje? amani ipoje?
fikiria katika mazingira, wanaoomba kupewa kazi ya kusimamia uchaguzi wasiwe ni wa kudumu(wa muda tu) na hawakuwa na kazi yeyote kabla, ikatokea mtu anawaambia kuna milion 200 hakikisha nashinda, hali ipoje hapo?
wakurugenzi kuendelea kusimamia uchaguzi ni kwa maslahi ya taifa