Plan B ya NEC kuwalisha kiapo makada wa CCM kujitoa chama

Plan B ya NEC kuwalisha kiapo makada wa CCM kujitoa chama

chochote wanachofanya NEC ni kwa maslahi mapana ya nchi hii na si vinginevyo. kulinda amani, umoja na mshikamano ndio msingi wa NEC kabla na baada ya uchaguzi.

Suala wa kazi za NEC kuombwa na watu wa-apply linatia ukakasi, wanaweza kupatikana mamluki ndio wanapewa jukumu la kusimamia chaguzi zetu. hatima yetu ipoje? amani ipoje?

fikiria katika mazingira, wanaoomba kupewa kazi ya kusimamia uchaguzi wasiwe ni wa kudumu(wa muda tu) na hawakuwa na kazi yeyote kabla, ikatokea mtu anawaambia kuna milion 200 hakikisha nashinda, hali ipoje hapo?

wakurugenzi kuendelea kusimamia uchaguzi ni kwa maslahi ya taifa
Hahaha uliyoyaeleza ni kuilinda ccm siyo amani.
 
kwani kuna msimamizi wa uchaguzi ambae tunajihakikishia hawezi chukua 200m,na mkuu soma vizuri NEC inachukulia wasimamizi kwenye ofisi za chama ? mkuu danganya kwa kiasi basi
Hata kama unahisi hakuna wa kukataa milioni 200 ukweli unabaki kuwa huu
👇
HUWEZI KUWAHONGA MIL 200 KILA MMOJA MAWAKALA WA UCHAGUZI TANZANIA NZIMA. Never
 
chochote wanachofanya NEC ni kwa maslahi mapana ya nchi hii na si vinginevyo. kulinda amani, umoja na mshikamano ndio msingi wa NEC kabla na baada ya uchaguzi.

Suala wa kazi za NEC kuombwa na watu wa-apply linatia ukakasi, wanaweza kupatikana mamluki ndio wanapewa jukumu la kusimamia chaguzi zetu. hatima yetu ipoje? amani ipoje?

fikiria katika mazingira, wanaoomba kupewa kazi ya kusimamia uchaguzi wasiwe ni wa kudumu(wa muda tu) na hawakuwa na kazi yeyote kabla, ikatokea mtu anawaambia kuna milion 200 hakikisha nashinda, hali ipoje hapo?

wakurugenzi kuendelea kusimamia uchaguzi ni kwa maslahi ya taifa

AKILI YA WAPI HII
 
Back
Top Bottom