saidi kindole
JF-Expert Member
- Sep 21, 2012
- 311
- 796
Baada ya wakurugenzi wa uchaguzi kukataliwa kuwa wasimamizi wa uchaguzi sasa NEC wamekuja na fomu mpya ya kuwahalalisha makada wa CCM kurudi kwa njia ya panya kuwa wasimamizi eti watawaapisha kuwatoa kuwa wanachama wa CCM.
Hii ni ajabu kwanini CCM hawajiamini katika kampeni ya ushawishi bila ujanjaujanja?
Hii ni ajabu kwanini CCM hawajiamini katika kampeni ya ushawishi bila ujanjaujanja?