Njoo pmHata nshamsahau mkuu,nkumbushe
Ha haaaa jamani!Sisi wa namba 41 sijui tuko upande gani
Poa Sana...uko poa?Mtoto Mambo ??
Naona umenifananisha na AC.Nko Moto,njoo unipoze
Am not interested Sana na sentence zako!zinaniharibia mood....Hujui kuwa unamiliki AC ???? Nkuoneshe ilipo ??
Am not interested Sana na sentence zako!zinaniharibia mood....
Unaogopa kuliwa kimasihara ?? Au umetendwa ndo ukawa unaona Kila mwanaume ni adui yako tu!! Pole Sana aisee!!Am not interested Sana na sentence zako!zinaniharibia mood....
Ok ! Swal ni je wew unafkir ni kwann inatokea hivyoKwenye dunia kuna vitu vya kigiriki havitafsiriki kiyunani.
Sometimes hakuna sababu za msingi! Kuna mtu ana kila sifa na haolewi, waoaji wanaenda mbali zaidi kusema yule mwanamke mzuri sana simuwezi.
Hawawezi kutulia mkuu kwenye ndoa kwasababu wanaona wakiachika leo mwezi hauishi wataolewa hiyo ndo inawapa jeuri na wanaume wanaowafukuzia ni wengi hvyo wanakuwa na uhakika wa kupata mtu mda wowote.Ni kwann pis Kal huwa hawatulii kweny ndoa ?? Fafanua mkuu
Kwakweli sina jibu zaidi ya hilo nililosemaOk ! Swal ni je wew unafkir ni kwann inatokea hivyo