Samcezar
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 13,096
- 22,627
Kigezo cha kwanza ni takoHivi hadi mtu umuite pisi kali inabidi awe na sifa zipi wakuu?
Kigezo cha kwanza ni takoHivi hadi mtu umuite pisi kali inabidi awe na sifa zipi wakuu?
Kujiweka Safi tu
Vimavazi vizuri body la kutamanisha halafu usiwe cheap
Mfano
Ukiitwa unaenda kwa bodaboda (kama haitoshi unampigia aje nje akulipie bodaboda )
Unabomu vijihela vya kingese ngese kama elfu 10,20,5 (nyoko sana wewe)
Una vi element vya wizi wizi wa mapenzi yaani wewe ni mtu kitu sio mtu utu
Na mengine yanayoendana na hayo
Ukiona unavitabia hivyo oooh my friend ur finished
Dah haya kwahiyo siye wenye flat screens hatuwezi kuitwa pisi kali? AahKigezo cha kwanza ni tako
Hapo kwa mama ntilie kuna mtaa nilikuwa naishi kuna mama ntilie kama watatu ni wazuri, wawili ni makamo yangu wote wamezalishwa mwengine ni mmama mtu mzima ana mshepu,basi wateja wake wana ya shikashika na kuyapiga vibao makalio. Hao wawili ndio wanatembeza papuchi, ila mmoja kaolewa mwaka jana ila sijui ndoa yake ina endeleaje.Nauliza hivyo kwa sabab zifuatazo:
1. Pisi Kali wengi hawaolewi
2. Pisi Kali wengi wanapata wanaume wahuni wahuni tu ambao hawana nia ya kuoa
3. Pisi Kali wengi wanaishia kupigwa mimba tu bila ndoa za kueleweka.
Sasa kama wewe ni pisi kali na unajitambua kwanini usiolewe na mwanaume anaeleweka na ukaish kwa heshima? Badala yake mnaishia kuzarishwa na kubaki kuuza migahawa na kuwa bar maid.
Nawakaribisha njooni tuchangie mawazo juu ya hili suala. Ukifanya uchunguzi utaona kwamba Mama Ntilie weng ni wanawake wazuri kimuonekano lakini tunashangaa kwanini hawako kwenye ndoa, badala yake wameishia kuzarishwa tu.
Karibuni wadau
financial services ingawa huna hizo sifa ila una vitu muhimu Sana una mapaja mazuri Sana, kifua, kiuno sio kwamba ni pisi Kali la hasha una sura ya kawaida na maji ya kunde lakini ni attractive still unavutiaAisee sina sifa hata moja hapo acha nikae pembeni tu🙄
KumbeKujiweka Safi tu
Vimavazi vizuri body la kutamanisha halafu usiwe cheap
Mfano
Ukiitwa unaenda kwa bodaboda (kama haitoshi unampigia aje nje akulipie bodaboda )
Unabomu vijihela vya kingese ngese kama elfu 10,20,5 (nyoko sana wewe)
Una vi element vya wizi wizi wa mapenzi yaani wewe ni mtu kitu sio mtu utu
Na mengine yanayoendana na hayo
Ukiona unavitabia hivyo oooh my friend ur finished
Mpaka mapaja mkuu?financial services ingawa huna hizo sifa ila una vitu muhimu Sana una mapaja mazuri Sana, kifua, kiuno sio kwamba ni pisi Kali la hasha una sura ya kawaida na maji ya kunde lakini ni attractive still unavutia
Ushamuonja mkuu? Had mapaja yake unayajuafinancial services ingawa huna hizo sifa ila una vitu muhimu Sana una mapaja mazuri Sana, kifua, kiuno sio kwamba ni pisi Kali la hasha una sura ya kawaida na maji ya kunde lakini ni attractive still unavutia
NamfahamuUshamuonja mkuu? Had mapaja yake unayajua
🤣🤣🤣 Mbona umeshangaa?Mpaka mapaja mkuu?
😂😂😂😂Kwa Hiyo anayevaa namba 40 anaweza kuwa mwamba?Anayevaa kiatu mwisho size 38.
Uwe mweupe flan na kipotabo, sio mkondefu. Bila kusahau katako mbinuko Kwa mbali.
Ndo ivo🤣🤣🤣 Mbona umeshangaa?
Kwa Hiyo anayevaa namba 40 anaweza kuwa mwamba?
Ninamfahamu lakini sijawahi kumla si unajua ukiwa unvaa nguo fupi mapaja yanakuwa waziNdo ivo
Unazingua mno mkuuNinamfahamu lakini sijawahi kumla si unajua ukiwa unvaa nguo fupi mapaja yanakuwa wazi
Kwanini?Unazingua mno mkuu
Unacheza nami kama PeleKwanini?
Huyo mwanamke sina ule urafiki wa karibu kivile lakini ninamfahamu kikawaida anapenda Sana kuvaa nguo fupi ndio maana mapaja yake yanaonekana lakini sio kweli kwamba nimesex nae huo ndio ukweli wenyeweUnacheza nami kama Pele