Pipi kifua kuuzwa Tsh 1000

Pipi kifua kuuzwa Tsh 1000

Hujakuwa bado faza nini?? Zinasaidia sana kukata kichefuchefu cha mimba changa na mate kujaa mdomoni kwa mama kijacho.

Pia ukinunua kitu leo, haimaanishi unatakiwa kula hapo hapo kiisheโ€ฆ kuna kesho
Unavoandika sasa kama kweli...
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Mkuu ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ sio ad uumwe ndio ukimbilie hospital Kinga ni Bora kuliko tiba
Kula pipi tiba....
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Kama ni kijana basi upo kundi la wale vijana wa hovyo....๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿค๐Ÿค๐Ÿค๐Ÿค๐Ÿค
 
Back
Top Bottom