CRAP........nani kakwambia mambo ya bungeni yanapelekwa mahakamani?
Chakubimbi!
Duh kweli wehu wengi humu ndani na ww ni zaidi ya wehu wote humu ndani. Pinda aliongelea bungeni sakata la arusha pamoja na uchaguzi wa meya. Kama meya sio halali si mwende mahakamani ? mbona mnaogopa kama nyie ni wakweli? Hapo ndipo unafiki wa CDM unapo dhihirika aisee
Lema kutembea na wananchi wake wala si vurugu. Mbona Ole Sendeka amebebwa na wananchi Arusha alipotoka mahakamani na hakuna mabomu? Kama kutembea kwa miguu ni kuwa na vurugu basi walionzisha hizo vurugu ni CCM na ndiyo wengi wako huko. Si dhani kama hiyo inamuondolea Pinda kudanganya kama amedanganya! Tunataka tujue katika hati ya maelezo Lema katoa udhibitisho gani ili nasi tujue extent ya udanganyifu wa mtu ambaye tumempa mamlaka makubwa sana ya kumshauri rais na kutuongoza pia!!!!!!!
Si dhani kama humu JF ni chadema tu la hasha lakini humu kuna mawazo mchanganyiko ya kimageuzi na pia mawazo mgando yapo!!!!
We apolycaripto mwehu nani kakutuma sisi wanaArusha tumemchagua Lema kwasababu style ya uongozi wake tunaikubali nakushangaa pili pili usioila inakwashia nini.Maandamano ni lazima upende usipende tutaandamana kila fursa itakapojitokeza chalii wangu acha wivu wa kike.Hatuna shida ya barabara kwanza tunataka hizi zilizoko zibomoke magari ya polisi yashindwe kufuatilia maandamano yetu.Mabomu tumeshaanza kuyazoea miaka mitano ikimalika Gongo la mboto ikihamia Arusha hakuna hata mtu mmoja atakayekufa si unajua watu wa Dar wengi walikufa kwa kukosa maarifa.Kamanda wetu Lema anatuzoeza fujo ajira ziko kibao au haujasikia colonel Gaddafi anatafuta watu wa kumsaidia kuwatwanga risasi waasi unafikiri makomredi wake wakija Tanzania watakimbilia wapi ?.Kwa taarifa yako watu wa Arusha wana nafasi kubwa kunyakua ajira za Gaddafi kuliko magoi goi wa Dar.Hatuna haja ya Hospitals wakati sisi ni wagumu tunataka maandamano mzee we wa wapi nani atatujua sisi wagumu nakwambia tutaandamana mpaka kieleweke.
Nakwambia koma mbunge wetu haogopi polisi kama unabisha waulize wapiga saluti wa Mwema,tunapambana nao kila siku wenyewe wanakiri Lema kiboko.Aharr,kidogo nisahau mwaka hujao tutatengeneza kalenda za kumbukumbu ya waanga wa maandamano nakwambia zitakwa nzuri mfano wake hakuna page ya kwanza itakuwa na picha ya Mwenyekiti wetu wa taifa na kamanda Lema wakiwa wamebeba jeneza la marehemu Denis Shirima.Page nyingine sikwambii ng'oo msije mkatuchakachua.
wewe humfahamu lema....kaa kimya... Acha sisi wapiga kura wake tuendelee nae hivo hivo... Tunamfahamu vizuri na tupo nae bega kwa bega... Ndio aina ya kiongozi tunaemtaka, kwaio wewe na aliekutuma chapeni lapa
nakubaliana kabsa hiii,....tena pambafu kabisa wewe...tunajivunia Lema..Namshukuru Mungu sikutupa wala kuibiwa kura yangu kwa Lema...... Lema lema lema huyoooo............
We apolycaripto mwehu nani kakutuma sisi wanaArusha tumemchagua Lema kwasababu style ya uongozi wake tunaikubali nakushangaa pili pili usioila inakwashia nini.Maandamano ni lazima upende usipende tutaandamana kila fursa itakapojitokeza chalii wangu acha wivu wa kike.Hatuna shida ya barabara kwanza tunataka hizi zilizoko zibomoke magari ya polisi yashindwe kufuatilia maandamano yetu.Mabomu tumeshaanza kuyazoea miaka mitano ikimalika Gongo la mboto ikihamia Arusha hakuna hata mtu mmoja atakayekufa si unajua watu wa Dar wengi walikufa kwa kukosa maarifa.Kamanda wetu Lema anatuzoeza fujo ajira ziko kibao au haujasikia colonel Gaddafi anatafuta watu wa kumsaidia kuwatwanga risasi waasi unafikiri makomredi wake wakija Tanzania watakimbilia wapi ?.Kwa taarifa yako watu wa Arusha wana nafasi kubwa kunyakua ajira za Gaddafi kuliko magoi goi wa Dar.Hatuna haja ya Hospitals wakati sisi ni wagumu tunataka maandamano mzee we wa wapi nani atatujua sisi wagumu nakwambia tutaandamana mpaka kieleweke.
Nakwambia koma mbunge wetu haogopi polisi kama unabisha waulize wapiga saluti wa Mwema,tunapambana nao kila siku wenyewe wanakiri Lema kiboko.Aharr,kidogo nisahau mwaka hujao tutatengeneza kalenda za kumbukumbu ya waanga wa maandamano nakwambia zitakwa nzuri mfano wake hakuna page ya kwanza itakuwa na picha ya Mwenyekiti wetu wa taifa na kamanda Lema wakiwa wamebeba jeneza la marehemu Denis Shirima.Page nyingine sikwambii ng'oo msije mkatuchakachua.
Jifunze na kiswahili vizuri , na wasiwasi wewe si raia
Katika kipindi cha maswali na majibu ya papo kwa papo,baada ya kuulizwa na Mh. Mbowe juu ya mgogoro wa Jimbo la Arusha.Pinda alianza kwa kuelezea ni jinsi gani Mh.Godbless Lema kuwa chanzo cha vurugu.Nanukuu mgogoro huu umesababishwa na Mbunge wa Arusha(Lema) ambaye ni mtu wa vurugu vurugu hivi.Hiki ndicho kilichomuuzi Lema na kudai yote kuwa Waziri Mkuu kadanganya Bunge na Wananchi.
Kauli ya Waziri Mkuu ilinitia mashaka kwa kuwa nilikuwa simjui vizuri Mh. Lema kama kweli ni mtu wa vurugu vurugu kama alivyosema.Jana nimeingiwa na hofu juu ya uwezo wa Mh. Godbless Lema hasa katika medani za kisiasa.Lema anaongozwa na siasa za enzi za kina Isike na Mirambo kuwa kiongozi bora sharti uwe mfano kwa kila kitu hata kama ni upuuzi kwa sasa.Angalia jana,umetoka mahakamani na wenzio kila mmoja kapanda gari yake na kuelekea anakojua.Wewe (Lema) mbali na kusalimiana unazua agenda nyingine kwa midadi eti peoples power safari ya mguu kama zuzu mtaani.Hii si akili ya kawaida kwa kiongozi anayefikiri.Sasa nimeamini kuwa Lema ni tofauti na Viongozi wengine wa CHADEMA.Hizi ni siasa za kufukuza ndege porini ili kupata kitoweo.
Vijana wengi Arusha hawana kazi,hivyo tusitumie fursa hii kuwaangamiza na polisi.Ikiwa anadhamira ya kweli,ajaribu kuwaunganisha na mfuko wake wa jimbo baadhi yao ili kupunguza makali ya kimaisha badala ya kuwatundika kwemye milipuko ya wapiganaji (polisi) nayeye kubakia salama.sifa za kijinga eti mbunge wetu haogopi polisi! mbona jana alikimbia na kutoweka kusikojulikana.
Katika kipindi cha maswali na majibu ya papo kwa papo,baada ya kuulizwa na Mh. Mbowe juu ya mgogoro wa Jimbo la Arusha.Pinda alianza kwa kuelezea ni jinsi gani Mh.Godbless Lema kuwa chanzo cha vurugu.Nanukuu "mgogoro huu umesababishwa na Mbunge wa Arusha(Lema) ambaye ni mtu wa vurugu vurugu hivi".Hiki ndicho kilichomuuzi Lema na kudai yote kuwa Waziri Mkuu kadanganya Bunge na Wananchi.
Kauli ya Waziri Mkuu ilinitia mashaka kwa kuwa nilikuwa simjui vizuri Mh. Lema kama kweli ni mtu wa vurugu vurugu kama alivyosema.Jana nimeingiwa na hofu juu ya uwezo wa Mh. Godbless Lema hasa katika medani za kisiasa.Lema anaongozwa na siasa za enzi za kina Isike na Mirambo kuwa kiongozi bora sharti uwe mfano kwa kila kitu hata kama ni upuuzi kwa sasa.Angalia jana,umetoka mahakamani na wenzio kila mmoja kapanda gari yake na kuelekea anakojua.Wewe (Lema) mbali na kusalimiana unazua agenda nyingine kwa midadi eti "peoples power" safari ya mguu kama zuzu mtaani.Hii si akili ya kawaida kwa kiongozi anayefikiri.Sasa nimeamini kuwa Lema ni tofauti na Viongozi wengine wa CHADEMA.Hizi ni siasa za kufukuza ndege porini ili kupata kitoweo.
Vijana wengi Arusha hawana kazi,hivyo tusitumie fursa hii kuwaangamiza na polisi.Ikiwa anadhamira ya kweli,ajaribu kuwaunganisha na mfuko wake wa jimbo baadhi yao ili kupunguza makali ya kimaisha badala ya kuwatundika kwemye milipuko ya wapiganaji (polisi) nayeye kubakia salama."sifa za kijinga" eti mbunge wetu haogopi polisi! mbona jana alikimbia na kutoweka kusikojulikana.
wewe una wazimu nini? Lema ni kiongozi makini kwa taarifa yako yaliyotokea jana ndio hasa malengo ya CDM kwa sasa na yeye ndio simamia, maendeleo ya wananchi yataletwa kwa vurugu na maandamano.
Hapo kwenye RED: Kwa nini vijana wengi Arusha Hawana Kazi? Nani kasababisha hili?
Yes...even Nyerere was incacerated by opposing the system of the day....being politically combative isn't breaking the law