only83
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 5,343
- 2,525
Mtoto wa mkulima asiyekuwa wa mkulima Bro Pinda amevunja ukimnya wa viongozi wa juu wa CCM baada ya kuwaomba wanaolumbana wafuate taratibu za chama...
Amesema asiyependa kufuata utaratibu huo labda awe anapenda kuonekana katika magazeti na vyombo vingine vya habari.
Source: Channel Ten News Bulletin
Amesema asiyependa kufuata utaratibu huo labda awe anapenda kuonekana katika magazeti na vyombo vingine vya habari.
Source: Channel Ten News Bulletin