Pinda alishamuahidi Dr. Ulimboka alipokuja CPL kuwa atapata matatizo

Tunatambua ulimuahidi Dr. Ulimboka kwamba atapata matatizo, ulijitahidi kumchonganisha na wananchi lakini naamini mungu ni mkubwa ulidhamiria kumuua lakini mungu alipanga kumlinda. nakukumbuka ulikuwa mkarisimatiki, sijui kama siku hizi bado unasali, ni masikitiko makubwa kwani bado mungu anaendelea kuudhihirisha kuwa wewe ni mtu wa kufeli,ndio maana ulishindwa na hukuwahi kufanikiwa kwenye chochote hata mango wako wa kumuuwa ulimboka utafeli.
 
Mungu hashindwi!walipiga wakajua wamemuua lakini mungu mwema,MUNGU IBALIKI TANZANIA MUNGU IBALIKI AFRIKA.
 
tunatambua ulimuahidi dr. Ulimboka kwamba atapata matatizo, ulijitahidi kumchonganisha na wananchi lakini naamini mungu ni mkubwa ulidhamiria kumuua lakini mungu alipanga kumlinda. Nakukumbuka ulikuwa mkarisimatiki, sijui kama siku hizi bado unasali, ni masikitiko makubwa kwani bado mungu anaendelea kuudhihirisha kuwa wewe ni mtu wa kufeli,ndio maana ulishindwa na hukuwahi kufanikiwa kwenye chochote hata mango wako wa kumuuwa ulimboka utafeli.

acha ujinga wewe....usilete pumba zako na kuvuruga amani ya nchi. Usionge vitu usivyo kuwa na ushahidi navyo. Bora ukae kimya..waachie polisi wafanye kazi yao.
 
lakin ni kwa nn apigwe? Saizi ma doctors watakuwa kwel na moyo wa kuwahudumia watanzania? Na hawa ma doctor ni msaada mkubwa kwa watu wenye uwezo mdogo wa vipato na wakiugua kimbilio lao ni kwenye hizi hospital za serikali jaman lazima serikali iliangalie hili wananchi wasiathilike kwa haya yaliyyotokea inasikitisha sana.
 
acha ujinga wewe....usilete pumba zako na kuvuruga amani ya nchi. Usionge vitu usivyo kuwa na ushahidi navyo. Bora ukae kimya..waachie polisi wafanye kazi yao.
Amani ipi unayoiongelea? Kuna amani au utvumilivu tu!
 
Kwa hili serikali haikwepi,tutasema kweli daima hatutoogopa kuuwawa kwani we were born to fight before the selection of nature,na kama selection of nature will be under control of evils regime we are ready!Ni bora kufa wachache kwa manufaa ya wengi,hata kama angekufa Ulimboka effect yake kwa jamii ni kuzaliwa Ulimboka wengi wenye mtizamo wa kimapinduzi kuliko Ulimboka mwenyewe.
 
wewe Mkirindi nafikiri unatatizo na chadema, kwann wawe chadema ndio wenye siasa mbovu?? kwanini isiwe ssm chama au chama kingine. utakua unatatizo binafsi.
 
Mkirindi hebu tumia ubongo wako vizuri, ni hasara kuutumia kipuuzi ubongo wenye uwezo mkubwa kipumbavu kiasi hichi.
 
Pinda kauli yako bungeni inadhihirisha si muungwana, siku zenu madarakani zinahesabika, mungu yupo nasi.
 
Tahadhari yangu kwa watu walio karibu na mgonjwa huyu, "Jamani muwe makini, hawa serikali hawachelewi kuleta utata wao, mumulinde kwelikweli yasije tokea mambo mengine, maana utasikia mgonjwa yupo Lugalo kwa matibabu zaidi, ujue tumekwisha
 
Hata kama kuna watu watamtetea Pinda,he is not a credible leader at all. Anathubutu kusema litakalokuwa na liwe-he is poor in persuasion as he failed to reach into a diplomatic table before provoking in the parliament. No matter what,the issue of strike came from weak leadership of Pinda and Kikwete.
 
acha ujinga wewe....usilete pumba zako na kuvuruga amani ya nchi. Usionge vitu usivyo kuwa na ushahidi navyo. Bora ukae kimya..waachie polisi wafanye kazi yao.
Kwa tukio hili la kupigwa Ulimboka madaktari wame-win public sympathy kwa upande mwingine CCM na serikali yao wamejifunga bao la kisigino!
 
acha ujinga wewe....usilete pumba zako na kuvuruga amani ya nchi. Usionge vitu usivyo kuwa na ushahidi navyo. Bora ukae kimya..waachie polisi wafanye kazi yao.

Unajuaje hana ushahidi?
Kama yeye mwongo weka ukweli tuuchambue hapa!
 
Hata kama hiyo tume imeundwa hakuna jipya kwani mpango kama ni wao kitu gani au majibu gani utarajie toka kwa tume...achen ujuha zaidi hapa ni kuhakikisha ulinzi kwa Dr. Ulimoka pale MOI....haya mengine wananchi tuamue maana tunachoka sasa na uonevu...
 
Tumeelewa sasa!!!!!!!!!!!!!!

naona yalio tokea libya , na syria sasa yanakuja tanzania ..utabiti wa mrema....

huko libya wakundi ya kutumika walikua wakiua watu then akisingiziwa ghadafi na serikali yake..hatimae tunajua kilichofata...
na huko syria wauaji walio funzwa vyema wanauwa vichanga , watoto na wanawake then wanasingiziwa majeshi ya serikali...propaganda zinapigwa dunia nzima kwamba serikali ya Bashar assad inaua...mbona huko nyuma hajamuua hata sisismizi ?
mbinu hizi zilitumika sehemu nyingi ..lengo kuifanya jamii waichukie serikali yao....
naomba serikali ichuke tahadhari kubwa na kufanya uchunguzi wa kina na pia ushauri wa mrema na kauli yake kwamba aliwahi kuitwa na ubalozi mmoja ili kufanya mambo kama haya lakini mrema alikua shujaa na mzalendo halisi akakataa.

hakuna mantiki kwa serikali au pinda au kikwete kuwa wanahusika...serikali sana sana ingewafukuza hawa madaktari na kuwapiga marufuku kufanya shughuli yoyote ndani ya nchi.basi ingetosha kuwa ni adabu ya kwao kugoma kwa sababu za kisiasa.
tujihadhari...
 
Back
Top Bottom