MTK
JF-Expert Member
- Apr 19, 2012
- 8,927
- 6,850
Mnakumbuka kauli ya Pinda kwa waliokuwa CPL -MNH siku hiyo.? . . .nanukuu. .
Ulimboka: Tunaomba kusiwe na victimization ya aina yoyote. .
Pinda: Hakutakuwa na victimization lakini mkikuta kapigwa na majambazi au kagongwa na gari msiseme ni serikali' mwisho wa nukuu
here you go Pinda, taifa linasubiri maelezo ya kina kuhusu mkasa huu wa dr. Ulimboka?!