Mbutunanga
Senior Member
- Feb 15, 2011
- 182
- 45
Watamfanya chambo ili kuonyesha udhaifu uliopo katika secta ya afya, kwa mfano alitakiwa kufanyiwa CT scan haikuwezekana kwa sababu haifanyi kazi. Canula hamna ya kusaidia wamresuscitate, madawa hamna hivyo madaktari wenzake watamchangia ili wakamnunulie, vipimo vingi watachangishana ili kuonyesha tu jinsi mtanzania wa kawaida anavyohangaika kupata huduma ya afya, uzuri media itafuatilia hii habari hatua kwa hatua mpaka atakapokufa au kupona na hapo wananchi wataelewa kile madaktari wanachodai kila siku.