GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,689
- 109,110
Haya Msemaji wa Yanga SC Ali Kamwe, Wachambuzi na Watangazaji wa Redio wenye Uyanga tafadhali Tangazeni upesi hii Taarifa.
Na huyu Mchezaji wa Club ya Asec ndiyo alikuwa Mchezaji anayetegemewa na Yanga SC na ndiyo Yule Namba 6 aliyokuwa akiimbwa na akinadiwa Kimajigambo na Msemaji wa hovyo hovyo wa sasa wa Yanga SC Ali Kamwe.
Jana tu amesaini Club Ismailia ya nchini Misri baada ya Yanga SC kutaka Kumkopa ili wamsajili kwa Mbwembwe na Waweze Kuwakoga wana Simba SC na Kulizima Sakata la Kuporwa Mchezaji waliyekuwa Wakimhitaji mno Fabrice Ngoma anayetegemewa Kutambulishwa rasmi na Simba SC Kesho Jumamosi kwa Taarifa za ndani GENTAMIYCINE nilizozipata.
Haya Pigo la Pili hili Yanga SC na poleni sana na hapo bado mtaomba Pooo....mwaka huu.
Kudadadeki....!!
Na huyu Mchezaji wa Club ya Asec ndiyo alikuwa Mchezaji anayetegemewa na Yanga SC na ndiyo Yule Namba 6 aliyokuwa akiimbwa na akinadiwa Kimajigambo na Msemaji wa hovyo hovyo wa sasa wa Yanga SC Ali Kamwe.
Jana tu amesaini Club Ismailia ya nchini Misri baada ya Yanga SC kutaka Kumkopa ili wamsajili kwa Mbwembwe na Waweze Kuwakoga wana Simba SC na Kulizima Sakata la Kuporwa Mchezaji waliyekuwa Wakimhitaji mno Fabrice Ngoma anayetegemewa Kutambulishwa rasmi na Simba SC Kesho Jumamosi kwa Taarifa za ndani GENTAMIYCINE nilizozipata.
Haya Pigo la Pili hili Yanga SC na poleni sana na hapo bado mtaomba Pooo....mwaka huu.
Kudadadeki....!!