GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,694
- 109,130
1. Yanga SC Kufungwa Goli 5 kwa 0 na Simba SC
2. Yanga SC Kufungwa Goli 4 kwa 1 na Simba SC
3. Yanga SC Kuukosa Ubingwa wa Ligi Kuu kwa miaka Minne mfululizo
4. Yanga SC Kushindwa Kesi na Wakili wa Kujitegemea Raia wa Ghana Bernard Morrison alipohamia kwa Wenye Akili Kubwa nchini Simba SC
5. Aliyekuwa Kocha Mkuu Luc Eymael Raia wa Belgium ( Ubelgiji ) akiwaita wana Yanga SC ( ipo YouTube ) kuwa wanapigapiga Kelele kama Nyani, Mbwa na Sokwe
6. Mchezaji Feisal Salum 'Feitoto' akila zake Ugali na Sukari akiwa Yanga SC
7. Yanga SC kuzidiwa Kete na Simba SC kwa Mchezaji wao waliokuwa wanamhitaji na walimpenda mno Fabrice Ngoma Kutekwa Kimafia na Mwanamama Asha Baraka pale JNIA Terminal III na kumuingiza katika VX yake Nyeusi na kwenda nae hadi Holiday Inn Kumsainisha huku Wao wakiwa Wanapiga Miayo na Kucheza Karata wakimsubiria hadi ilipofika Saa 1 Asubuhi na kuambiwa kuwa Mchezaji alishuka / alitua Saa 11 Alfajiri na ameshaondoka na Viongozi wa Simba SC na wakaishia Kutukana na Kusonya
Msemaji wa Yanga SC Ali Kamwe najua unanisoma na unanifolo pia GENTAMYCINE hapa JamiiForums hivyo nakuomba hakikisha Matukio yote haya Saba ( 7 ) tajwa hapo yawepo katika hiyo Documentary yenu uliyoiandaa na Pacha wako Privaldinho yasipokuwepo itakuwa ni Batili, sitoinunua na haitonunulika.
2. Yanga SC Kufungwa Goli 4 kwa 1 na Simba SC
3. Yanga SC Kuukosa Ubingwa wa Ligi Kuu kwa miaka Minne mfululizo
4. Yanga SC Kushindwa Kesi na Wakili wa Kujitegemea Raia wa Ghana Bernard Morrison alipohamia kwa Wenye Akili Kubwa nchini Simba SC
5. Aliyekuwa Kocha Mkuu Luc Eymael Raia wa Belgium ( Ubelgiji ) akiwaita wana Yanga SC ( ipo YouTube ) kuwa wanapigapiga Kelele kama Nyani, Mbwa na Sokwe
6. Mchezaji Feisal Salum 'Feitoto' akila zake Ugali na Sukari akiwa Yanga SC
7. Yanga SC kuzidiwa Kete na Simba SC kwa Mchezaji wao waliokuwa wanamhitaji na walimpenda mno Fabrice Ngoma Kutekwa Kimafia na Mwanamama Asha Baraka pale JNIA Terminal III na kumuingiza katika VX yake Nyeusi na kwenda nae hadi Holiday Inn Kumsainisha huku Wao wakiwa Wanapiga Miayo na Kucheza Karata wakimsubiria hadi ilipofika Saa 1 Asubuhi na kuambiwa kuwa Mchezaji alishuka / alitua Saa 11 Alfajiri na ameshaondoka na Viongozi wa Simba SC na wakaishia Kutukana na Kusonya
Msemaji wa Yanga SC Ali Kamwe najua unanisoma na unanifolo pia GENTAMYCINE hapa JamiiForums hivyo nakuomba hakikisha Matukio yote haya Saba ( 7 ) tajwa hapo yawepo katika hiyo Documentary yenu uliyoiandaa na Pacha wako Privaldinho yasipokuwepo itakuwa ni Batili, sitoinunua na haitonunulika.