Mpaka Kieleweke
JF-Expert Member
- Feb 27, 2007
- 4,132
- 1,571
Kosa Kubwa Alilifanya Kabuye Ni Kwenye Bunge Lililopita. Alisema Ni Yeye Peke Yake Na El Ndio Walipata Ubunge Bila Kutoa Rushwa !!!
Teh teh teh teh teh...
Siamini! Hapa nimekuwa mdogo kama piliton,hata cha kusema sina lakini Mungu yupo atampigania tu
Jamani kwa kusema na EL ndio hawakuingia kwa rushwa nadhani aliteleza na alitaka huruma ya EL kwani alianza kwa kusema wabunge wote.. Huo si mchango, wangu kwa leo nasema taarifa zinasema kwamba, WABUNGE WA UPINZANI WANATAKA UCHAGUZI UFANYIKE SASA NA SI BAADAYE NA KWAMBA WATAHAKIKISHA KABUYE ANARUDI BUNGENI KWA NGUVU ZOTE. Tayari mfano umeonekana kule Chunya, wapinzani wamechukua kiti cha ubunge, na upepo ulivyo SISI EMU HAWATAKUBALI KUFANYA UCHAGUZI SASA