Mpaka Kieleweke
JF-Expert Member
- Feb 27, 2007
- 4,132
- 1,571
Kwa taarifa zilizonifikia hivi punde ni kuwa mbunge wa jimbo la Biharamulo mh.mzee Phares Kabuye , ameng'olewa kwenye kiti chake cha ubunge asubuhi hii ya leo.
Mahakama kuu kanda ya Kagera imetoa uamuzi kuwa ameshindwa kesi ya uchaguzi iliyokuwa imefunguliwa na mgombea wa ccm na hivyo kutangaza kuwa amekosa sifa za kuendelea kuwa mbunge wa jimbo hilo.
Kwa taarifa zaidi ni kuwa anaendelea na utaratibu wa kukata rufaa na sijui hali itakuwaje ila nitaendelea kuwahabarisha zaidi hapo baadae.
Hili ni pigo kubwa kwa upinzani kwani huyu mzee aliweza kumkaba kwelikweli Karamagi wakati anatetea ufisadi wake wa kusaini mkataba nje ya nchi.
Je?huu ni mwanzo wa kuwapunguza wabunge wa upinzani?
Je?wananchi watachukua uamuzi gani kwani huyu mzee aliendesha kampeni zake kwa kutumia baiskeli halafu anashitakiwa kwa rushwa.
Mahakama kuu kanda ya Kagera imetoa uamuzi kuwa ameshindwa kesi ya uchaguzi iliyokuwa imefunguliwa na mgombea wa ccm na hivyo kutangaza kuwa amekosa sifa za kuendelea kuwa mbunge wa jimbo hilo.
Kwa taarifa zaidi ni kuwa anaendelea na utaratibu wa kukata rufaa na sijui hali itakuwaje ila nitaendelea kuwahabarisha zaidi hapo baadae.
Hili ni pigo kubwa kwa upinzani kwani huyu mzee aliweza kumkaba kwelikweli Karamagi wakati anatetea ufisadi wake wa kusaini mkataba nje ya nchi.
Je?huu ni mwanzo wa kuwapunguza wabunge wa upinzani?
Je?wananchi watachukua uamuzi gani kwani huyu mzee aliendesha kampeni zake kwa kutumia baiskeli halafu anashitakiwa kwa rushwa.