Jamani kwa kusema na EL ndio hawakuingia kwa rushwa nadhani aliteleza na alitaka huruma ya EL kwani alianza kwa kusema wabunge wote.. Huo si mchango, wangu kwa leo nasema taarifa zinasema kwamba, WABUNGE WA UPINZANI WANATAKA UCHAGUZI UFANYIKE SASA NA SI BAADAYE NA KWAMBA WATAHAKIKISHA KABUYE ANARUDI BUNGENI KWA NGUVU ZOTE. Tayari mfano umeonekana kule Chunya, wapinzani wamechukua kiti cha ubunge, na upepo ulivyo SISI EMU HAWATAKUBALI KUFANYA UCHAGUZI SASA
Sasa ule mkakati wa kusimamisha chaguzi mpaka daftari la wapiga kura liwe updated vipi tena basi?