Pigania ndoa yako si michepuko ya mumeo

Pigania ndoa yako si michepuko ya mumeo

Itakuwa alishamaliza shida yake kwingine ama alisahau. Mara ngapi tunamuambia mtu nitakupigia jioni halafu tunasahau? Au shida inakuwa solved kabla?

Na kama ilikuwa simu ya mazaga ile nusu saa muheshimiwa alikua hana amani rohoni.
 
Kama matatizo ya ndoa yako ni michepuko ya mumeo, utaipigania vipi hiyo ndoa bila kugusa hiyo michepuko? Unless uwe unamaanisha huyo dada yako alikuwa happy tu uzinzi wa mumewe ila akawa anachukia michepuko yake tu
Use your head well to dig into what someone is trying to put across. Superficial understanding leads to poorly thought responses like yours.
 
Back
Top Bottom