afande kifimbo
JF-Expert Member
- Aug 31, 2015
- 6,303
- 2,779
Yani unakataa kuokewa kisa dativa...pole sana ila funzo hilo limefika kwa jamii
Sawa basi nae ngoja nimweke kwenye schedule, ukizingatia na yeye ni kibabu kama wewe.Kizuri mtu hula na nduguye....
Sema mimi mwenyewe nilikuwa MALAYA usiite big spoon ukimaanisha koleo.Mimi mwenyewe nilikuwa player that why nimemuoa.
Sikujua mbaba mbeya hivyo. Sasa wewe mwenyewe kwanini usibadilike? Kuna ufahari gani wadada wakigombana kisa ushetwani wa excuse of a manAmen.....[emoji120]
Ama kwa hakika nimepata upako kwa neno la kujenga na kutia moyo, nimejikuta natamani (.........) apitie hapa asome uzi huu
Hahahaaaa.........Tena vile vizuri kweli kweli ndo vinafaa zaidi....
We dada wewe......Sema mimi mwenyewe nilikuwa MALAYA usiite big spoon ukimaanisha koleo.
Mpaka nitakapokuruhusu...Sawa basi nae ngoja nimweke kwenye schedule, ukizingatia na yeye ni kibabu kama wewe.
Sawa boss......Mpaka nitakapokuruhusu...
Naomba nikupuuze tafadhali, kwani hakuna unalolijua zaidi yaku concludeSikujua mbaba mbeya hivyo. Sasa wewe mwenyewe kwanini usibadilike? Kuna ufahari gani wadada wakigombana kisa ushetwani wa excuse of a man
Wewe ni muhusika?
Hahaa kumekuchaaaanakuonaaaa
Twende Hapa kazi tuumuafrika08