Pigania ndoa yako si michepuko ya mumeo

Pigania ndoa yako si michepuko ya mumeo

If ur a man out there cheating while u got a loyal wife/lady by you ,ts js not fair to her..bruises take damn too long to heal rather never heal,
 
Huyo binamu yako naye asiwe na mawazo ya kuhisi hisi bana!! sasa alikubalije kupokea kama hataki kufikisha ujumbe? Kuna shida nyingine (hata kama siyo za mapenzi) hutaki kumwambia hata secretary unataka kuonana na boss mwenyewe
Alimpa uwanja afikishe ujumbe mwenyewe hata kama ni shughuli za ofisi tena binamu hapo ndiyo hahusiki kabisa, lakini mpigaji alishindwa kurudisha ujumbe. My take, uungwana unasuta, sasa kama ilikua simu ya kheri mbona alishindwa kupiga?
 
Honestly, what would u do if you catch ur wife cheating on u??
Utaendelea na ndoa? msiingie kwenye ndoa kama hamko ready kiakili na kiroho
No offence but I will deal with my wife and not the guy
My wife is my business/my responsibility
Kuendelea au kutoendelea na ndoa ni maamuzi tutakayofikia but kikubwa nadhan ni kujua mipaka ya heshima na adabu zako
 
Alimpa uwanja afikishe ujumbe mwenyewe hata kama ni shughuli za ofisi tena binamu hapo ndiyo hahusiki kabisa, lakini mpigaji alishindwa kurudisha ujumbe. My take, uungwana unasuta, sasa kama ilikua simu ya kheri mbona alishindwa kupiga?
Alihisi mke bado yuko around atambania shida yake kwa mumewe, akaona ampigie tu siku nyingine. Nawaza waza tu lakini
 
Alihisi mke bado yuko around atambania shida yake kwa mumewe, akaona ampigie tu siku nyingine. Nawaza waza tu lakini

haha ha. Binamu yangu aliniambia yeye wala haumizi kichwa kuaza jamaa yuko wapi, tena aliniambia wakati unawaza mwenzako huenda analishwa chakula huko aliko. Aliniambia mradi niko ndani, nimekula, wanangu wana afya tena wamelala muache huko, atarudi tu.
 
haha ha. Binamu yangu aliniambia yeye wala haumizi kichwa kuaza jamaa yuko wapi, tena aliniambia wakati unawaza mwenzako huenda analishwa chakula huko aliko. Aliniambia mradi niko ndani, nimekula, wanangu wana afya tena wamelala muache huko, atarudi tu.
Hahaaaaa naona kaamua kuishi stress free life kama mrsfulani
 
If ur a man out there cheating while u got a loyal wife/lady by you ,ts js not fair to her..bruises take damn too long to heal rather never heal,
Ujue wangekuwa wanakaa chini wakaweigh pros na cons za kucheat, sijui kama wangeendekeza uzinzi. Unfortunately jamii yetu ndo imeshawaaminisha kuwa cheating ni lazima, so hata asipopata reason ya kucheat, atacheat (no justification ya cheating though). Kwa hali hiyo "cheating is just a State of mind", ukishajiaminisha kuwa cheating ni lazima, possibility ya kucheat ni 99.9%. Afu hawajui tu how difficult it is kurudisha trust once mtu amecheat. Kusamehe unasamehe hata bila kuombwa msamaha, but kurudisha mambo kama yalivyokuwa before ni kazi mno(kumtrust again ni issue mno...trust is earned).
 
Ujue wangekuwa wanakaa chini wakaweigh pros na cons za kucheat, sijui kama wangeendekeza uzinzi. Unfortunately jamii yetu ndo imeshawaaminisha kuwa cheating ni lazima, so hata asipopata reason ya kucheat, atacheat (no justification ya cheating though). Kwa hali hiyo "cheating is just a State of mind", ukishajiaminisha kuwa cheating ni lazima, possibility ya kucheat ni 99.9%. Afu hawajui tu how difficult it is kurudisha trust once mtu amecheat. Kusamehe unasamehe hata bila kuombwa msamaha, but kurudisha mambo kama yalivyokuwa before ni kazi mno(kumtrust again ni issue mno...trust is earned).
Ts hard to recover,
 
Ujue wangekuwa wanakaa chini wakaweigh pros na cons za kucheat, sijui kama wangeendekeza uzinzi. Unfortunately jamii yetu ndo imeshawaaminisha kuwa cheating ni lazima, so hata asipopata reason ya kucheat, atacheat (no justification ya cheating though). Kwa hali hiyo "cheating is just a State of mind", ukishajiaminisha kuwa cheating ni lazima, possibility ya kucheat ni 99.9%. Afu hawajui tu how difficult it is kurudisha trust once mtu amecheat. Kusamehe unasamehe hata bila kuombwa msamaha, but kurudisha mambo kama yalivyokuwa before ni kazi mno(kumtrust again ni issue mno...trust is earned).
Exactly sista
 
Binamu yangu ambae anauzuri wa uaridi ameolewa, yeye na mume wake wanapendana. Ilitokea siku moja nilikuwa nao, simu iliita na shemeji alikuwa kwenye simu nyingine, alimumbia binamu apokee ile simu, binamu kupokea ilikuwa sauti ya mwanamke, yule mwanamke alitaka kukata simu, binamu alimfahamisha nimepokea kwakua mheshimiwa yuko kwenye simu nyingine. Yule dada alisema basi mwambie mimi fulani, binamu alimjibu wala usiwe na wasiwasi piga tena baada ya nusu saa, haya mambo ya 'she said, he said' ujumbe hautafika vizuri, raha ya ujumbe umfikie mlengwa utakavyo. Baada ya nusu saa hakuna simu ilipigwa tena.
He heee hata mie nisingepiga. Huyo mke alionyesha ustaarabu
 
Ndio sasa uache kutuombea mabaya sisi watu wa migombani... yani mahandsome flani hivi amazing. You know woram seyyying???
Hahhaaaa nyie nina damu yenu siwezi kuwaombea mabaya......first born ana damu ya migombani.......
 
Kujisaidia kwangu ni ile namlilia na kumkumbusha Mungu kwamba Mungu mkumbuke mume wangu, akaache njia zake potofu etc. Namkumbusha hapo na tunahojiana, sio kwamba nimekata tamaa.
Ngumi zitampa hofu yangu (of which I doubt pia) au hofu ya Mungu? Coz mwisho wa siku nataka mume wangu awe na hofu ya Mungu, that's it. Afu utapigana na wangapi, na wakati nyie kucheat ni nature yenu eti nimesikia teh? Na wengine miili yenyewe kama HS utaenda huko wewe ndo ubondwe sasa. Mishangingi/ Vibinti vyenyewe vya siku hizi, utarudi sura imechanwa viwembe + me naona ni Kujidhalilisha zaidi.

Unamkumbusha Mungu kwa maana ni msahaulifu sana au?Maana Mungu ana uwezo wote usio na kikomo,anajua shida zako hata haujasali....tatizo tunamgeuza Mungu ni kama mwanadamu...haina haja ya kusali au kwenda kanisani au kumfata mchungaji yoyote ...Mungu anajua kila kitu supposedly....hahahhaaaa
 
Itakuwa alishamaliza shida yake kwingine ama alisahau. Mara ngapi tunamuambia mtu nitakupigia jioni halafu tunasahau? Au shida inakuwa solved kabla?
Binamu yangu ambae anauzuri wa uaridi ameolewa, yeye na mume wake wanapendana. Ilitokea siku moja nilikuwa nao, simu iliita na shemeji alikuwa kwenye simu nyingine, alimumbia binamu apokee ile simu, binamu kupokea ilikuwa sauti ya mwanamke, yule mwanamke alitaka kukata simu, binamu alimfahamisha nimepokea kwakua mheshimiwa yuko kwenye simu nyingine. Yule dada alisema basi mwambie mimi fulani, binamu alimjibu wala usiwe na wasiwasi piga tena baada ya nusu saa, haya mambo ya 'she said, he said' ujumbe hautafika vizuri, raha ya ujumbe umfikie mlengwa utakavyo. Baada ya nusu saa hakuna simu ilipigwa tena.
 
Back
Top Bottom