Uzi haukuhusuMagufuli endelea ivo ivo
Uzi haukuhusuHongera sana serikali ya Magufuli kwa kazi tukufu kwa watanzania
Wewe umekoswa kipumbu.Naona waathirika wa UKOVI(Ukosefu wa Viroba) mpo vizuri......Afu hili la kura za mitandaoni si GENI KABSA.....
Geni ndo nini?Naona waathirika wa UKOVI(Ukosefu wa Viroba) mpo vizuri......Afu hili la kura za mitandaoni si GENI KABSA.....
Utukufu una Mungu tu.Hongera sana serikali ya Magufuli kwa kazi tukufu kwa watanzania
Wagonjwa wamekufa bado wewe tu.Mnataka kuingiza sub ipi? ya yule mgonjwa?? yule hata kama golini hakuna kipa hafungi!! hhhaaaaa
Mh!Boss Kkimondoa, unaweza kuwa sawa au sio sawa, ila acha nikupe mifano miwili, Hope utanielewa.
Mfano wa Kwanza ni Mwanaume unapompa Mwanamke mimba, kuna Miezi 9 ya kusubiri uitwe Baba.
Mfano wa Pili, Mkulima anapopanda Mbegu, kuna muda wa kusubiri mpaka mavuno yaje.
Maana ya mifano yangu, kuna kipindi cha Kusubiri ili kujua hatima ya jambo husika.
Hope umenielewa.
Mkuu hii ni mechi ya ugenini hatuwezi kutoa drawKuna wengine tulisema yule alikuwa straika mzuri kwa sababu alifunga sana magoli ya penalt.
Pia straika huyu huwa ana hasira hata kipindi kike yuko mchangani mara nyingi marefarii walimpa kadi za njano au kukataa magoli yake ya kuotea.
Pia watu wanao mfaham walisema straika huwa ana roho mbaya kwao hata wanawe tu wana muogopa hali hii huathiri hata uchezaji wake kuwa ni wa rafu sana.
Sasa tume mpa nafasi acheze na kumpa ukapteni, sijui timu yetu itashindaje !!!
Usajili ujao tusikosee jamani