Pogba is doing good. Yuko sawa TU. Amebadilisha game ya manUtd.pogba ajijui tu wametumia pesa nyingi sana kumuweka pale
Kama hadi sasa unashundwa kufanya analysis mwaka mzims na miezi kadhaa?? Basi kuna haja ya kubadili mitaala yetu ya elimu
Mbona unatuhamisha kwenye mada hatuko kwenye vyamaBavicha bado mnasafari ndefu sana, kura za mitandaoni ndo zilimfanya rais wa mioyo yenu akajua kuwa atapewa nchi, kumbuka wafuasi wa ccm wengi wao hawapo mitandaoni, endeleen kujidanganya na kura zenu za mitandaon,2020 tutawapiga kipigo cha PAKA SHUME
Hongera sana serikali ya Magufuli kwa kazi tukufu kwa watanzania
Bila shaka ni yule wa call me J?Kuna beki 3 amefoji lesen ya usajili,hii timu hiii!!!