Confederate Spy
JF-Expert Member
- Sep 6, 2012
- 426
- 144
WANABODI,
Hivi karibuni CCM wamechagua safu yao ya Uongozi.Sasa naomba mods mnisaidie kuiweka vizuri.Kura ya maoni uongozi wa juu CHADEMA.Katibu mkuu ni nafasi ya kuteuliwa.Kwa hiyo tuangalie Mwenyekiti wa chama na wenyeviti wa mabaraza.Kuna kura nyingine ya maoni inaendelea kuhusu mgombea urais chadema kati ya Zitto vs Slaa.Hii hapa chini ni ya mapendekezo ungependa nani katika nafasi hizi kati ya hawa hapa chini?
MWENYEKITI
1: Freeman Mbowe
2: Zitto Kabwe
3: Profesa Abdala Safari
BARAZA LA VIJANA (BAVICHA)
1: Ben Saanane
2: Habibu Mchange
3: Deo Munis
Makamu Mwenyekiti BAVICHA
1: Easter Wassira
2: Shariffa
3: Juliana Shonza
3: Zawadi Khamis
BARAZA LA WANAWAKE (BAWACHA)
1: Halima Mdee
2: Susan kiwanga
3: Naomi Kaihula
Hivi karibuni CCM wamechagua safu yao ya Uongozi.Sasa naomba mods mnisaidie kuiweka vizuri.Kura ya maoni uongozi wa juu CHADEMA.Katibu mkuu ni nafasi ya kuteuliwa.Kwa hiyo tuangalie Mwenyekiti wa chama na wenyeviti wa mabaraza.Kuna kura nyingine ya maoni inaendelea kuhusu mgombea urais chadema kati ya Zitto vs Slaa.Hii hapa chini ni ya mapendekezo ungependa nani katika nafasi hizi kati ya hawa hapa chini?
MWENYEKITI
1: Freeman Mbowe
2: Zitto Kabwe
3: Profesa Abdala Safari
BARAZA LA VIJANA (BAVICHA)
1: Ben Saanane
2: Habibu Mchange
3: Deo Munis
Makamu Mwenyekiti BAVICHA
1: Easter Wassira
2: Shariffa
3: Juliana Shonza
3: Zawadi Khamis
BARAZA LA WANAWAKE (BAWACHA)
1: Halima Mdee
2: Susan kiwanga
3: Naomi Kaihula