Kimagege
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 283
- 88
acha kiherehere wewe.kama anafikiria anataka aje mwenyewe atuambie kuwa anatka kuwa mwenyekiti wa chadema na tumuulize uhusiano wake na jack zokka wa usalama wa taifa ambaye alidaiwa kuhusika na njama za kuteswa ulimboka ukiachilia mbali za kutaka kuuawa mwakyembe,slaa na mengi.lakini pia atatuelezea nini hasa kilimzuia jk asiingie kigoma kaskazini kuomba kura za urais.