Dr Matola PhD
Platinum Member
- Oct 18, 2010
- 61,429
- 108,580
Kweli ukifa maskini Bongo ni jambo la kujitakia.
Halafu mleta mada ndio bingwa wa kuweka sredi za naman hiyo......!!!
23 Julai 2014
https://www.jamiiforums.com/mahusia...ha-mmu-mademu-id-tu-hahaha-nimtaje-hahha.html
[/LIST]
[/COLOR]
Hey marafiki lets go somewhere tukae tuenjoy about life, anywhere Tarangire, Manyara, Seliani, Serengeti, Ngorongoro even for a week please members its fun we can share a lot about our differences and love as well.
Hela ni 40000 per each please just to feel happy life is amazing lets mess with nature is all good, pictures, memories we don't live forever, lets us be one and a smile in a universe please.
Halafu mleta mada ndio bingwa wa kuweka sredi za naman hiyo......!!!
23 Julai 2014
https://www.jamiiforums.com/mahusia...ha-mmu-mademu-id-tu-hahaha-nimtaje-hahha.html
[/LIST]
[/COLOR]
Hiyo figure fafanua please.
... idea ni pouwa, lakini kumbukeni tu angalizo la kudeal na yatokanayo/yaambatanayo kisaikolojia! Maaana kuna washiriki wengine hujitokeza kwa ajili ya kucheck vimo na rangi za watu tu.
... baada ya safari washiriki wasifedheheke kukutana na thread zinazosema mbona wanaJF wengi wafupi sana na wanamacho mekundu!!
Nyie nendeni tu,wengine na matumbo yetu ndo mtapata na picha za kukamilisha thread,
Wengine lugha ya Malkia imepita kushoto Kaka Nyani Ngabu unaweza nisaidia kwa hili ili nielewe hii makitu tafadhali
Hivi na kubeba mabox miaka yote unataka kuniaminisha kwamba huwezi kwenda vacation binafsi na usafiri wako mpaka mchangishane na hawa watu wa fursa?
Mimi mara ya mwisho kushiriki ujinga kama huu ilikuwa wakati nipo secondary school miaka ya tisini wajanja walikuwa wanatuchangisha pesa ya kwenda picnic Rungwe oceanic na wao wanachofanya ni kukodi coaster tu kule beach kila kitu mnajitegema wao wako na mademu zao tena siyo wanafunzi wanatumbuwa pesa zenu tu. unajuwa kipindi chetu ukianza form one wale form four tayari wana ndevu na tulikuwa tunawaamkia.
Na flat screen zetu humu ndio itakua mada,mieziii
hahahha kumbe na we unakaflat screen!!! tafuta yale mapichu yakujazia utawashika macho tu
Nimecheka sana Matola.