Kuamka ndio kushabikia CDM? Haya hao wa arusha na moshi wameamka kwenye nini?
Mimi nafikiri wapewe muda kwani naona Safu yao ni makini sana kwani Mwenyekiti ni Lt Col (Rtd) Kikwete na Katibu wake ni Col (Rtd) Abdul rahman Kinana. sasa tungojeee kwata lake.
Kila la kheir
Kwanini hizi pesa za kofia na tisheti msingeziongeza kidogo mkawachimbia kisima cha maji japo cha mita tatu?
basi bwana nikiwa mtaa wa coco bichi (mtwara) nikiwa kwenye pikipiki (bodaboda) nikamuuliza kijana alienipakiza kwa nini hujaenda kwenye kuwapokea viongozi wa ccm kama wenzio maana vijana wengi wenye pikipiki wamekodiwa kwenye maandamano ya kuwapokea kina kinana, kijana akajibu huku akimaanisha koko bichi na maeneo ya karibu wanatujua hatuwataki na na kama huamini lile shina lao na hapa koko bichi tumelivunja tumeweka bedera ya chadema na ni kweli lile eneo sasa ni chadema ccm haina wafuasi pale. na kweli leo vijana wamevuna mafuta ya bure kutoka ccm!!!
Kinana ni jembe na mtakoma
NImetoka ss hivi katika mkutano wa CCM nimegundua CCM bila nape hali itakua ngumu'swala la korosho na gesi ni gumu kwa serikali ya chama changu cha CCM,wananchi wa kusini tunauliza kwanini gesi ipelekwe KINYEREZI,GHASIA kajiuma umauma mpaka Nape kaja kumuokoa.kazomea mpaka amepaniki,wanakusini wanataka kujua kwanini huo mtambo uliojengwa KINYEREZI USIJENGWE MTWARA
We ni ma-ke-nde kabisa,hatujaamka kivipi!!Hakuna chama chenye hati miliki ya miji ktk nchi hii!!mtwara bado hawajaamuka.
Mpwa kwani wao wana shida na hayo maji au ni nyinyi wananchi ?
Kama kawaida ya magamba kutoa bure kofia,tisheti na kanga.Hivi hii tabia mtaacha lini?
Mimi nafikiri wapewe muda kwani naona Safu yao ni makini sana kwani Mwenyekiti ni Lt Col (Rtd) Kikwete na Katibu wake ni Col (Rtd) Abdul rahman Kinana. sasa tungojeee kwata lake.
Kila la kheir
sikushangai naana hata uwezo wako wa kufikiri ni mdogo