Bila bila
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 21,498
- 37,792
Wiki Tatu zilizopita Mwenezi wa CCM Paulo Makonda alikuwa kanda ya ziwa katika ziara aliyosema anakwenda kukagua Utekelezaji wa Ilani ya CCM na kupeleka maagizo ya Chama Kwa Watendaji wa serikali.
Baada ya ziara hiyo kimya kingi kimepita, lakini ghafla ametokea Makamu Mwenyekiti Abdulhman Kinana na kupita mle mle alimopita Makonda naye akikagua Utekelezaji wa Ilani ya Chama na kutoa maagizo ya Chama Kwa Watendaji wa serikali.
Yaani Chama kimoja kinapeleka maamuzi ya vikao vyake vya juu kupitia viongozi wawili tofauti Kwa Jambo lile lile?
Baada ya ziara hiyo kimya kingi kimepita, lakini ghafla ametokea Makamu Mwenyekiti Abdulhman Kinana na kupita mle mle alimopita Makonda naye akikagua Utekelezaji wa Ilani ya Chama na kutoa maagizo ya Chama Kwa Watendaji wa serikali.
Yaani Chama kimoja kinapeleka maamuzi ya vikao vyake vya juu kupitia viongozi wawili tofauti Kwa Jambo lile lile?