Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,331
- 33,141
ni maandalizi ya vita ama nini??
maana kila kukicha lazima ukutane na mahandaki kama haya ambayo yamejaa katika kila kona ya jiji letu hili,wenye data na mahandaki haya tumwagieni hapa mtaani.hili lipo pale Namanga jirani kabisa na kituo cha daladala cha mbuyuni kama unatoka mjini.
hatimae kile kipande korofi cha mtaa wa mafia,kariakoo chapatiwa ufumbuzi
hadha ya pikipiki za kichina
mambo yetu yaleee
soja wa ukweli
watoto na ujasilia mali
Baadhi ya watoto wakivuka eneo la wapitao kwa miguu katika Barabara ya Msamvu , mjini Morogoro wakiwa na mzingo mkubwa wa chupa tupu za maji baada ya kuziokota toka maeneo ya baa na vioski eneo la Msamvu, Manispaa ya Morogoro kama walivyokutwa mwishoni mwa wiki katika eneo hilo. Picha zote na John Nditi
Deiwaka Inapoingia dhahma
Leo nimeazima hii ToYo ya jamaa yangu na kwenda nayo katika misele yangu ya mtaa kwa mtaa.lakini yaliyonikuta huko sina hamu nayo tena maana imenikatikia mnyororo sehemu ambayo ni mbaya kama nini na kunibidi niipige kibega mpaka kwa fundi J na hela juu ikanitoka ya kununua mnyororo mpya.ama kweli hii ni dhahma ya deiwaka,maana ningeirudisha hivi mwenyewe angenirushia hata ngumi.
Haya ndio Maisha yetu ya kila siku Matatizo tu kila siku shida haziishi mpaka lini jamani???????????
maana kila kukicha lazima ukutane na mahandaki kama haya ambayo yamejaa katika kila kona ya jiji letu hili,wenye data na mahandaki haya tumwagieni hapa mtaani.hili lipo pale Namanga jirani kabisa na kituo cha daladala cha mbuyuni kama unatoka mjini.
hatimae kile kipande korofi cha mtaa wa mafia,kariakoo chapatiwa ufumbuzi
leo katika katiza katiza zangu za mtaa kwa mtaa,nilipita katika mtaa huu ambao siku chache zilizopita nilileta picha za eneo hili (zicheki hapa) lililokuwa limeharibika vibaya sana.lakini nilipopita leo nimekuta mambo yapo kama yanavyoonekana hapa.
hapa mtaalam wa kuendesha kile kimashine cha kushindilia akiwajibika ili kuhakikisha mtaa unakuwa poa.
hata magari yanapita vyema sasa,sio kama hali ilivyokuwa hapo awali.
hadha ya pikipiki za kichina
huyu rafiki yangu leo almanusura alipukiwe na hii pikipiki,maana ilipiga shoti katika waya za taa ya mbele na kuanza kusambaa huku akiwa katika wendo kuelekea kwenye mishe mishe zake.yaani hapo mnapomuona hana hata hamu na hiyo pikipiki ila kwa kuwa na yake,inambidi aikokote tu kuipeleka kwa fundi.daah hizi pikipiki noma kweli.
mambo yetu yaleee
wamelamba mfuniko,wameweka tairi chakavu.mambo yanakwenda kama kawa.
soja wa ukweli
huyu sasa ndio soja olijino,maana wewe mwenyewe ukimuona tu lazima uchachawe.
watoto na ujasilia mali
Baadhi ya watoto wakivuka eneo la wapitao kwa miguu katika Barabara ya Msamvu , mjini Morogoro wakiwa na mzingo mkubwa wa chupa tupu za maji baada ya kuziokota toka maeneo ya baa na vioski eneo la Msamvu, Manispaa ya Morogoro kama walivyokutwa mwishoni mwa wiki katika eneo hilo. Picha zote na John Nditi
Deiwaka Inapoingia dhahma
Leo nimeazima hii ToYo ya jamaa yangu na kwenda nayo katika misele yangu ya mtaa kwa mtaa.lakini yaliyonikuta huko sina hamu nayo tena maana imenikatikia mnyororo sehemu ambayo ni mbaya kama nini na kunibidi niipige kibega mpaka kwa fundi J na hela juu ikanitoka ya kununua mnyororo mpya.ama kweli hii ni dhahma ya deiwaka,maana ningeirudisha hivi mwenyewe angenirushia hata ngumi.
Haya ndio Maisha yetu ya kila siku Matatizo tu kila siku shida haziishi mpaka lini jamani???????????