Picha za Rostam Aziz kwenye harakati

Picha za Rostam Aziz kwenye harakati

ROSTAM NA MASHATI MEUPE

Kama umegundua, huwa anapenda kuvaa shati jeupe kwenye public.

Nenda YouTube angalia press zake.

Google picha zake.

Nyingi utakuta ana shati jeupe au koti la suti na shati jeupe ndani.

Bado sijafahamu kwa nini anapenda kuvaa hivyo.

Ila naamini kuna kitu behind.
shati jeupe alifyozi miozi ya jua linatema ,tofauti na jeusi au marangi mengine mkuu
 
ROSTAM NA MASHATI MEUPE

Kama umegundua, huwa anapenda kuvaa shati jeupe kwenye public.

Nenda YouTube angalia press zake.

Google picha zake.

Nyingi utakuta ana shati jeupe au koti la suti na shati jeupe ndani.

Bado sijafahamu kwa nini anapenda kuvaa hivyo.

Ila naamini kuna kitu behind.
Ila nyie nyumbu wakati mwingine mnazidisha usenge bwana. Haya, tuambie unaamini Kuna kitu gani?!!
 
Rais Mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete akimnadi mgombea ubunge Jimbo la Igunga,Rostam Aziz katika uwanja wa SabaSaba mjini Igunga 2010
View attachment 3452446

View attachment 3452482

Rostam na Hayati Rais John Pombe Magufuli 2018
View attachment 3452435

Katika zoezi la kurejea CCM, Lowassa aliambatana na swahiba wake wa muda mrefu ambaye pia aliwahi kuwa mbunge wa Igunga na mfanyabiashara maarufu nchini, Rostam Aziz , 2019
View attachment 3452480

View attachment 3452481


View attachment 3452498

View attachment 3452489


View attachment 3452497
Harakati nyingi inaonekana kazipiga wakati wa magufuli, lakini hii mipumbavu hata haisemi kuwa ni ufisadi lakini akifanya na kiongozi wa Sasa tayari unaitwa ufisadi na ujinga ujinga mwingine mwingiii unasemwa.
 
Trust me guys naposema Magufuli aliuawa. I cant say exactly by who, but kuna kikundi cha very few people ambao aliwazibia milango ya ufisadi wao. Lakini kwenye hako kakikundi i'm 99% sure yupo pia rais, rais mstaafu na huyo muhindi.

Time will tell everything very soon.
Kalaghabaho, endelea kubaki na ujinga, upumbavu na upunguani wako.
 
Nguo nyeupe ni nuru mkuu uje nikufundishe langi mpaka blue ujue kwanini Jayz ameita album blue print
Upo sahihi.

Nafahamu kuhusu Colour Psychology. I am a bit of Graphics Designer (kidogo).

Point yangu ni specifically kuhusu Rostam kupendelea mashati meupe kwenye public appearance.
 
Bora umnyime pumzi Rostam kuliko kumuambia atoke East Africa
 
Ila nyie nyumbu wakati mwingine mnazidisha usenge bwana. Haya, tuambie unaamini Kuna kitu gani?!!
Kama unapanic na mjadala wa kawaida huu, ni Bora uendelee na shughuli zako. Hutoweza kujadiliana na mimi kama unatumia lugha ya matusi.
 
Screenshot_20250825-201953.png
ukisikia kamdomo ndio hako kamdomo cha Rostam.......... VPN HOYEEEEEEEEE sinunui bando Mimi.......
 
Trust me guys naposema Magufuli aliuawa. I cant say exactly by who, but kuna kikundi cha very few people ambao aliwazibia milango ya ufisadi wao. Lakini kwenye hako kakikundi i'm 99% sure yupo pia rais, rais mstaafu na huyo muhindi.

Time will tell everything very soon.
Wazungu huita conspirancy theories , huwezi kupata hizo classified information kama ni kweli, huwa tukio linafutwa na evidence zake zote wanaita collateral damage!! Ni bora ushike jembe ukalime kuliko kuweka kichwani stori za mambo makubwa ambayo kamwe hutaona yakivuja maana taarifa hufutwa mara baada ya tukio.
 
Caspian Construction Limited

Sasa Taifa Gas Logistics
Mirambo
 
Back
Top Bottom