Picha za Rostam Aziz kwenye harakati

Picha za Rostam Aziz kwenye harakati

Trust me guys naposema Magufuli aliuawa. I cant say exactly by who, but kuna kikundi cha very few people ambao aliwazibia milango ya ufisadi wao. Lakini kwenye hako kakikundi i'm 99% sure yupo pia rais, rais mstaafu na huyo muhindi.

Time will tell everything very soon.
sitangu zamani tulikuwa tunasema alikuwa ana betri kwenye moyo, imekuwa kauwawa tena, sio kwamba ujuaji ndo uliomponza? mara apige pushapu mara apige judo mara acheze singeri wakati anajua ana moyo mbovu, pia kungangania kutibiwa na akina janabi nayo lilikuwa tatizo
 
Rais Mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete akimnadi mgombea ubunge Jimbo la Igunga,Rostam Aziz katika uwanja wa SabaSaba mjini Igunga 2010
View attachment 3452446

View attachment 3452482

Rostam na Hayati Rais John Pombe Magufuli 2018
View attachment 3452435

Katika zoezi la kurejea CCM, Lowassa aliambatana na swahiba wake wa muda mrefu ambaye pia aliwahi kuwa mbunge wa Igunga na mfanyabiashara maarufu nchini, Rostam Aziz , 2019
View attachment 3452480

View attachment 3452481


View attachment 3452498

View attachment 3452489


View attachment 3452497
Okay
 
Back
Top Bottom