Picha za Rostam Aziz kwenye harakati

Picha za Rostam Aziz kwenye harakati

Kuna wengine hapa duniani wako peponi na bado watarithi pepo ya huko ahera, halafu kuna wengine pangu pakavu tia mchuzi wanaishi hapa duniani kama wako motoni na bado wataishi na Shetani huko motoni milele.
Na mbaya zaidi masikini tuna wachukia matajiri utadhini wakifirisika sisi ndio tutakuwa matajiri. Utajiri ni fikra na bahati
 
Trust me guys naposema Magufuli aliuawa. I cant say exactly by who, but kuna kikundi cha very few people ambao aliwazibia milango ya ufisadi wao. Lakini kwenye hako kakikundi i'm 99% sure yupo pia rais, rais mstaafu na huyo muhindi.

Time will tell everything very soon.
🐔M ni muiran
 
Kwenye press fulani hizi za Polepole alisema serikali ya JPM ilifikia uamuzi wa kuwasamehe baadhi ya watu waliopotoka kwa matarajio kwamba wangebadilika kabisa.

Also nakumbuka zile issues za plea bargain kwenye ofisi za DPP kama namna ya kuwaachilia mafisadi waliokuwa mahabusu (2019).

Walipaswa kukiri makosa na kulipa fidia za hela walizowafisadi Watanzania.

Nadhani hata kwenye chama walifanya kitu kama hicho kwa akina Kinana hadi kusamehewa, (isipokuwa Membe?)

Nadhani kwa msingi huo ndipo tunamwona Anko Magu akimnadi Rostam waziwazi.

NB: Polepole alisema kwenye ile press yake kwamba hilo lilikuwa kosa kubwa.

Sasa naanza kuunganisha nukta.
 
Rais Mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete akimnadi mgombea ubunge Jimbo la Igunga,Rostam Aziz katika uwanja wa SabaSaba mjini Igunga 2010
View attachment 3452446

View attachment 3452482

Rostam na Hayati Rais John Pombe Magufuli 2018
View attachment 3452435

Katika zoezi la kurejea CCM, Lowassa aliambatana na swahiba wake wa muda mrefu ambaye pia aliwahi kuwa mbunge wa Igunga na mfanyabiashara maarufu nchini, Rostam Aziz , 2019
View attachment 3452480

View attachment 3452481


View attachment 3452498

View attachment 3452489


View attachment 3452497
kwenye hiyo picha ya tano hapo hiyo wiring ya kwenye TV hapo ni Ikulu au ofisi za CCM Lumumba?
 
Kwenye press fulani hizi za Polepole alisema serikali ya JPM ilifikia uamuzi wa kuwasamehe baadhi ya watu waliopotoka kwa matarajio kwamba wangebadilika kabisa.

Also nakumbuka zile issues za plea bargain kwenye ofisi za DPP kama namna ya kuwaachilia mafisadi waliokuwa mahabusu (2019).

Walipaswa kukiri makosa na kulipa fidia za hela walizowafisadi Watanzania.

Nadhani hata kwenye chama walifanya kitu kama hicho kwa akina Kinana hadi kusamehewa, (isipokuwa Membe?)

Nadhani kwa msingi huo ndipo tunamwona Anko Magu akimnadi Rostam waziwazi.

NB: Polepole alisema kwenye ile press yake kwamba hilo lilikuwa kosa kubwa.

Sasa naanza kuunganisha nukta.
Hela za plea bargain ziko wapi?.. rostam alikua na kosa gani mpaka asamehewe?
 
Rais Mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete akimnadi mgombea ubunge Jimbo la Igunga,Rostam Aziz katika uwanja wa SabaSaba mjini Igunga 2010
View attachment 3452446

View attachment 3452482

Rostam na Hayati Rais John Pombe Magufuli 2018
View attachment 3452435

Katika zoezi la kurejea CCM, Lowassa aliambatana na swahiba wake wa muda mrefu ambaye pia aliwahi kuwa mbunge wa Igunga na mfanyabiashara maarufu nchini, Rostam Aziz , 2019
View attachment 3452480

View attachment 3452481


View attachment 3452498

View attachment 3452489


View attachment 3452497
Huna picha akiwa na mkapa?
 
Trust me guys naposema Magufuli aliuawa. I cant say exactly by who, but kuna kikundi cha very few people ambao aliwazibia milango ya ufisadi wao. Lakini kwenye hako kakikundi i'm 99% sure yupo pia rais, rais mstaafu na huyo muhindi.

Time will tell everything very soon.
Hizo ni hisia zako tena za kipuuzi. Mimi ni Shabiki wa Magufuli Pro max. Na Mwamba Magufuli alikuwa mcha Mungu kweri kweri. Na mcha Mungu kweri kweri hajui siku wala saa ambayo Bwana Mungu wake atamuita. Na yeye Mwamba alikuwa akilisema kila mara. Unakuta mtu kama wewe unaongea ujinga halafu unaenda Kanisani au Msikitini! Kufanya nini? Nyambafu!!!
 
This is to face a firing squad
Taratibu mkuu.

Kwanza utampata wapi huyo, si atakuwa kisha jiondokea siku nyingi?

Ninacho kubaliana nawe moja kwa moja, pamoja na kwamba hukukigusia; wote wanaotupitisha kwenye moto huu wanastahili kupitia kwenye 'due process', na kukutana na haki ya maovu wanayo wafanyia waTanzania wakati huu.

Ndiyo maana kuna umuhimu wa kuwatambua vyema hawa watu na kuwahusisha na maovu yao..
Hawa siyo watu wa kuwaacha tu mitaani baada ya ukombozi wa nchi hii.
 
Trust me guys naposema Magufuli aliuawa. I cant say exactly by who, but kuna kikundi cha very few people ambao aliwazibia milango ya ufisadi wao. Lakini kwenye hako kakikundi i'm 99% sure yupo pia rais, rais mstaafu na huyo muhindi.

Time will tell everything very soon.
 

Attachments

  • Screenshot_20250825-161952-1.jpg
    Screenshot_20250825-161952-1.jpg
    71.3 KB · Views: 19
Hela za plea bargain ziko wapi?.. rostam alikua na kosa gani mpaka asamehewe?
Mkuu nimezungumza kijumla nikimaanisha aina fulani ya political get-together kwa almost makundi yote yaliyokuwa mguu pande wakati huo.
 
Back
Top Bottom