MWALLA
JF-Expert Member
- Dec 12, 2006
- 16,952
- 10,512
Kama hutaki c ukanye[emoji90] na ustawaze maji lobo vaa tu sempele lako sepa[emoji196]Sidhani hizi picha zote zimechukuliwa Tanzania. Hii ndo baadhi ya nchi kama Sudani ya kusini na Somalia. Hata hivyo aliyeleta huzi huu hajaonyesha zilipigwa lini? Mtu kuanza kuishutumu serikali ya CCM ni kuonyesha kwa jinsi gani wewe binafsi hujitambui. Kwa zaidi ya miaka 50 tumepiga hatua kubwa japo bado changamoto zipo lakini sio kwa kiasi kinachowakilishwa na picha hizi!!!!