Sasa kumbe CDM hawaanzishi bali wanaboresha sasa hao wanaopiga kelele walikuwa wapi wakati vijana tayari wapo kazini ila sasa tunahamasishwa kujiunga zaidi.
Hii nchi siasa zinaendeshwa kama vilabu vya soka au pombe za kienyeji....migogoro tu na namna ya kuitengeneza...blue or red guard ni hatari kama ilivyo green guard period
Kinachonifurahsha ni sura na ukakamavu wa hao GUARD, mbona kikinuka seem kama vle ngoma itakuwa droo!!!!Kama vp kisanuke tu coz naona mama vle wananch weng tnapgwa magol ya ofsd ...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.