Picha yangu ya leo hii

Picha yangu ya leo hii

Ugalisonga.jpg

Waziri wa nchi ofisi ya waziri mkuu Sera uratibu wa bunge William Lukuvi akisaidia kusonga ugali katika kambi ya wathirika wa mafuriko iliypo Shule ya Sekondari ya Benjamini Mkapa wakati waziri mkuu Mizengo Pinda alipotembelea kuangalia hali za wathirika hao jana.

Huyu Lukuvi, Ndio kujikomba kwa waziri mkuu aonekane anawajibika au kweli ana nia ya dhati ya kuwasaidia waathirika????
 
W+J3l8J5P8f5yx2K4noZCQAAAAASUVORK5CYII=



Mtoto.jpg

Mmoja wa wapangaji waathirika wa mafuriko jijini Dar es Salaam, Kurwa Amir (40), akiwa na mtoto wake aliyejifungua Jumanne iliyopita katika Hospitali ya Amana baada ya kupatwa na uchungu akiwa nje ya lango la Shule ya Sekondari Benjamin Mkapa ambapo baadhi yao wanaendelea kuweka makazi yao hapo


W+J3l8J5P8f5yx2K4noZCQAAAAASUVORK5CYII=
 
maziko.jpg

President Jakaya Kikwete pays last respects to the body of Member of Parliament for Arumeru West, the late Jeremiah Solomon Sumari at the Karimjee grounds in Dar es Salaam yesterday.Extreme right is the Dar es Salaam Regional Commissioner, Said Meck Sadiq.(Photo: Tryphone Mweji)
 
mikono.jpg

Rais Jakaya Kikwete akisalimiana na Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dkt. Wilbrod Slaa jana usiku Ikulu jijini Dar es Salaamwakati uongozi wa chama hicho ulipofika kukutana na Rais kwa muendelezo wa mazungumzo ya mchakato wa katiba mpya.
 
Hama.jpg

Mmoja wa waathirika wa mafuriko, Stephen Katumba, akiwa na familia yake, Sophia Kioza na mtoto Angela Stephen, wakitua mizigo muda mfupi baada ya kuwasili katika makazi mapya ya Mwabwepande, nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam jana. (PICHA OMAR FUNGO
 
train.jpg

Tanzania Railway Limited passengers carry their luggage ready to board the train at the Dodoma Central Station yesterday. TRL resumed passenger train services after suspending them for about a week. (Photo: Ibrahim Joseph)
 
Mabwe.jpg

Abdallah Mohammed, akisogeza tofali mbele ya hema lake, Mabwepande, nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam jana. Mratibu wa Shirika la Msalaba Mwekundu nchini, Grace Mawalla, alisema mahema mengine 100 yamekamilika na kufanya jumla ya idadi ya mahema yaliyojengwa eneo hilo kufikia 400 hadi kufikia jana.(PICHA: KHALFAN SAID)
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom