Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 43,037
- 34,741
- Thread starter
- #121
hiyo Picha ina maanisha hali ya nchi ilivyokuwa mbaya Uhalifu mwingi, njaa na mambo ya ulinzi upo poor sana huko kwetu.Dokta hii katun iinamaanisha nini? its very interesting
CCM na serikali yake wanatubedua bedua wananchi wanavyotaka wao...............ipo siku, lazima na mii nitatafuta nafasi ya kumuingiza mtu kijiti cha kalio.........hata kama nitakuwa nimesafiri.........nitarudi kwa ajili ya kazi hiyo tu!!