Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Trans Africans Logistics Limited, Robert Dewar, Raia wa Uingereza, akiwa chini ya ulinzi wa polisi kwenye Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam, ambako jana alisomewa shtaka la uhujumu uchumi baada ya kudaiwa kukutwa na nyara za serikali zenye thamani ya zaidi ya Sh. milioni 90.
<quickprintreadystate style="display: none;"></quickprintreadystate>Nimeipenda ya huyu aliyepaa Mungu akamrudisha duniani...vita anavyoianza ni kubwa na anapigana na adui asiyemjua! Hofu yangu ni nyasi kuumia so far seem ni fahali wawili wanatwangana!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.