Picha yangu ya leo hii

Picha yangu ya leo hii

editorial-cartoon-aug8-2013.jpg
 
Mwingireza.jpg

Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Trans Africans Logistics Limited, Robert Dewar, Raia wa Uingereza, akiwa chini ya ulinzi wa polisi kwenye Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam, ambako jana alisomewa shtaka la uhujumu uchumi baada ya kudaiwa kukutwa na nyara za serikali zenye thamani ya zaidi ya Sh. milioni 90.
 
<quickprintreadystate style="display: none;"></quickprintreadystate>Nimeipenda ya huyu aliyepaa Mungu akamrudisha duniani...vita anavyoianza ni kubwa na anapigana na adui asiyemjua! Hofu yangu ni nyasi kuumia so far seem ni fahali wawili wanatwangana!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom