Rais Jakaya Kikwete akipokelewa na Meya wa jiji la Salzburg nchini Australia, Wilfred Haslauer, alipowasili wa Uwanja wa Ndege wa Salsburg jana kwa ajili ya kuhudhuria mkutano wa kimataifa wa masuala ya utandawazi wa Haki na Usawa.PICHA:IKULU.
Polisi Jamii na wakazi wa Kawe Ukwamani jijini Dar es Salaam, wakiupakia kwenye gari la polisi, mwili wa mwanamke Yusta Mkali jana. Mwanamke huyo alikutwa amekufa katika chumba walimokuwa wakiishi na mwanamume mmoja ambaye sasa hajulikani aliko.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.