Picha yangu ya leo hii

Picha yangu ya leo hii

kp19072013.jpg
 
Majanga lakini si ya SNURA hii ni featuring JK... Eti ni MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA..!!??? Kazi ipo na hatosahaulika kamwe kama alivyosema mwenyewe...
 
UmemeDar.jpg

Meneja Mradi wa Tanesco Emmanuel Manirabona (kulia) akiwaeleza jambo wajumbe wa shirikisho la viwanda nchini CTI wakati walipotembelea miradi ya Tanesco mara baada ya mkutano wa wadau hao jana.(Picha na Omar Fungo)
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom