Ally Kombo
JF-Expert Member
- Nov 11, 2010
- 11,429
- 2,653
Wala msiwatukane hao wanao waomba badala ya Mwenyezi Mungu, wasije na wao wakamtukana Mwenyezi Mungu kwa jeuri bila kujua. Namna hivyo tumewapambia kila umma vitendo vyao. Kisha marejeo yao yatakuwa kwa Mola wao Mlezi, naye atawaambia waliokuwa wakiyatenda. Qur'an:6:108.Mkuu kwa imani ya kikristo poa tu hiyo kupiga busu msalaba, Si unajuwa kila mtu na imani yake. wewe unaona wakristo wanabudu masanamu kwa imani yako ya Kiislam lakini kwa Wakristo ni kitu cha kawaida Mungu ndie muamuzi wa mwisho siku hiyo inakuja acha tu mkuu.