Bakulutu
JF-Expert Member
- Nov 30, 2011
- 2,544
- 1,760
Walikuwa wanavizia juice...
Nimejukuta nachekaaa mpaka mbavu zinaniuma...!
Walikuwa wanavizia juice...
mmesikia presdaa anarudi leo ndo maana mnang'ang'ania kwenda ikulu mkagaiwe tende na pilau za oman ahahahaaaaaaaaMuulize Kova na askari wake bettles la Msimbazi na Kidogo Chekundu Polisi wote walikimbia na kwenda kuomba msaada kutoka JWTZ unadhani maandamano ya Chadema hayo FFU wawili wanasambaza uwanja mzima, watu wamefika mpaka Ikulu kama wangekuwa na nia ya kulipua saizi tungeongea mengine
Hofu mnazozidi kutupa hazionekani kwenye picha.Ndugu yangu usiwe Tomaso
Mi nipo kariakoo kwa ndugu yangu. Umejifungia ndani vurugu zimekolea ni risasi na mabomu ya machozi. Soko lilifungwa tangu saa 7 na watu wote wanalazimishwa kutawanyika kurudi makwao.
Kumetokea fujo kubwa mitaa ya Msimbazi,Congo,Mkunguni,Mafia na Nyamwezi ndio maeneo nilipo japo sijaweza kuchungulia muda mrefu kwa ajili ya mabomu.
Bado naona askari wanaogopa kuuwa waislamu......
Kama kawaida ya Ritz, lazima tu wahusishe CDM kwa namna yoyote anayoweza!
Asante kwa picha
lakini naona ni askari tu, hao waandamanaji wachache, Humu jamvini tunavyoaminishwa kwamba kuna fujo sana, lakini sioni kwenye picha hizi.