EMT
Platinum Member
- Jan 13, 2010
- 14,483
- 15,308
Maeneo ya Msimbazi
Waandamaji
Mtaa wa Livingstone karibu na I&M Bank
Wanajeshi wakifanya doria maeneo ya Kariakoo.
Kariakoo
Maktaba House.
Muumini wa dini ya Kiislamu akishahadia kwa mola wake na kusema 'Nipo tayari kufa kwa ajili ya kutetea dini ya Allah' baada kukamatwa na Askari wa Kikosi cha Kutulia Ghasia katika viunga vya eneo la Ikulu.
Askari wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), wakiwa katika Mitaa ya Kariakoo na viunga vyake kuimarisha ulinzi.Picha na Happiness Mnale
Mtawa wa kanisa katoliki na mama aliyevalia kama muislamu, wakitemba pamoja kukatisha walipo maaskari kariakoo leo jioni.
Mkazi huyu wa jijini Dar es Salaam, akitafuta mahala pa kujihifadhi yeye na watoto wake, kufuatia mabomu ya machozi yaliyokuwa yakirushwa na polisi wa kutuliza ghasia kwenye maeneo ya Magomeni, Kinondoni na Kariakoo jijini ili kutawanya makundi ya waislamu waliokuwa kwenye maeneo ya misikiti mara baada ya sala ya Ijumaa
Helkopta ya polisi ikijivinjari angani jijini Dar
Abiria wa daladala wakilikimbia gari lao kufuatia mabomu ya machozi eneo la Magomeni jijini Dar es Salaam
Wakazi hawa wa jijini Dar es Salaam, wakitaharuki, baada ya kupigwa mabomu ya machozi jirani na msikiti wa Kichangani, Magomeni Mapipa jijini Dar es Salaam Oktoba 19, 2012
PICHA ZAIDI ZIPO KWENYE POSTS NDANI YA THREAD.