.... several international news sources are reporting heavy fighting in dar es salaam between muslims and army. can someone update us in dar please
What are saying?
Kwa haya ndipo tunamhitaji EL kushape hii nchi.He is the right man for the job,walau yuko serious!
halafu ukifa alah atakua kumlisha mkeo na watoto wako?
hopeless deluded idiot. You know nothing about allah s.a.w.
hopeless deluded idiot. You know nothing about allah s.a.w.
upepo unapita
Asante kwa picha
lakini naona ni askari tu, hao waandamanaji wachache, Humu jamvini tunavyoaminishwa kwamba kuna fujo sana, lakini sioni kwenye picha hizi.
Masikini tanzania! Unakoelekea kama somalia vile...!tunamkumbuka sana nyerere!